Sijala bossUmekula lakini?
Right, pesa pia ni sehem ya kujali.Akinuna mpe pesa!
haya yote sawa ishu inakuja je mbususus anakususia?Salaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako..
Hii tu ndio ulisahau mtoa mada ,wewe umewajua ,umefauli mtihani ππππAkinuna mpe pesa!
Nimechukua bia kabisa bossPata Pepsi bariidi Kwa mangi nitalipa!
Sana yaantukikupenda utaenjoy life
Si kweli.Ukianza kuwaelewa wanawake ujue umekaribia kufa