Ukiwatoa wabunge, Wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya Umma ndio wanalipwa mishahara mikubwa

Ukiwatoa wabunge, Wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya Umma ndio wanalipwa mishahara mikubwa

Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.

Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)

Kwamba Mshahara wa Professor ni Mkubwa kuliko Majaji? [emoji2375]
 
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.

Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Ukute mshahara wenyewe ni milioni 4 tu, wakati hiyo siku 5 tu unaingiza..
 
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na haponiwa changa hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.

Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Akili za kuambiwa changanya na zako ..kuna ma DGs, MDs wa taasisi za umma wana vuta fungu huyo.professor anaomba poo
 
Professa si tulikubaliana analipwa million 6 au?
Extrovert hao viumbe ni waongo, tazama walivyo lambanuteuzi enzi za hayati wengi walikuwa wana chekelea tu..mtazame deputy speaker, ivi fungu analolamba sasa utalifananisha na fungu alilokuwa analamba pale chuo ?
 
Kuna jamaa operator wa mtambo flan hiv adim sana katika moja ya migodi ya Barrick anakunja 15M kwa mwezi dah jamaa ana bahat sana huo ujuz wenyewe alipelekwa kusomea na haohao wa canada.

Professor wako atakua anavuta hata 20M hivi si ndio?
 
Kuna jamaa operator wa mtambo flan hiv adim sana katika moja ya migodi ya Barrick anakunja 15M kwa mwezi dah jamaa ana bahat sana huo ujuz wenyewe alipelekwa kusomea na haohao wa canada.

Professor wako atakua anavuta hata 20M hivi si ndio?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaaah profesa ale 20m, itakuwa sio mshahara wa chuo labda biashara nyingine
 
Kuna jamaa operator wa mtambo flan hiv adim sana katika moja ya migodi ya Barrick anakunja 15M kwa mwezi dah jamaa ana bahat sana huo ujuz wenyewe alipelekwa kusomea na haohao wa canada.

Professor wako atakua anavuta hata 20M hivi si ndio?
Barick sio taasisi ya umma.
 
Akili za kuambiwa changanya na zako ..kuna ma DGs, MDs wa taasisi za umma wana vuta fungu huyo.professor anaomba poo
Sasa DG's na MD's Hawa ni viongozi ambao kwa vyuo vikuu tunawalinganisha na ma VC's
 
Extrovert hao viumbe ni waongo, tazama walivyo lambanuteuzi enzi za hayati wengi walikuwa wana chekelea tu..mtazame deputy speaker, ivi fungu analolamba sasa utalifananisha na fungu alilokuwa analamba pale chuo ?
Hahahahahahah
 
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.

Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
msomi mzima anaropoka tu,kuna watu wanavuta hela
 
Kuna jamaa operator wa mtambo flan hiv adim sana katika moja ya migodi ya Barrick anakunja 15M kwa mwezi dah jamaa ana bahat sana huo ujuz wenyewe alipelekwa kusomea na haohao wa canada.

Professor wako atakua anavuta hata 20M hivi si ndio?
Hakuna pakupelekwa popote mkuu.
Hii mitambo wanafundishwa huko migodini kwa nadharia, na mtambo mgumu zaidi kuujua ni Jumbo ambayo haimchukui mwanfunzi mjinga zaidi zaidi ya miezi sita kuweza kifuzu
 
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.

Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Huyo hajitambui, labda anakaribia kustaafu hivyo hajui yanayoendelea nje ya boxi. Mimi najua waadhiri wenye PhD wanamshahara wa around 2m
Kwenye kada zingine nyeti huo ni mshahara wa kawaida na bado hizo kada zingine zina maposho kibao
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaaah profesa ale 20m, itakuwa sio mshahara wa chuo labda biashara nyingine
Na vyuo vya serikali vinapaswa kutoa huduma na sio kuendeshwa kibiashara
 
Back
Top Bottom