Ukiwatoa wabunge, Wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya Umma ndio wanalipwa mishahara mikubwa

Ukiwatoa wabunge, Wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya Umma ndio wanalipwa mishahara mikubwa

Jordan Belfort : Let me tell you something. There's no nobility in poverty. I have been a rich man and I have been a poor man. And I choose rich every fuckin' time. Because, at least as a rich man, when I have to face my problems, I show up in the back of the limo, wearing a $2000 suit and a $40,000 gold fuckin' watch.hahaha naipenda hii movie
😂😂😂😂😂😂😂😂 Muhuni anashika tama akiwa kaegamia limousine huku kganjani amevaa saa yenye thamani zaidi ya nyumba ya waziri mkuu😅
 
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.

Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)

Huyo alikuwa motivation speaker!
Au huwajui wale walio uza nyanya Ikulu wakatajirika?
 
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.

Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Maprofesa 90% ni njaa tu. Theories nyingi kichwani ila mfukoni hamna pesa.
Angalia project za maprofesa na ma Dr wa vyuo vikuu utakuta miradi ya kuku na ngombe 6 wa maziwa ama kiduka cha mpesa. Hawana fedha ya heavy projects.

Magari yao : raum,IST,land cruza third hand, Carina, macedece Benz no A, na mikweche ya Toyota.

Makazi yao nyumba za kawaida sana, hazina tofauti na za std7

Wahashiri kwenye vyuo vikuu vya afya ndio wana maisha ila hawa maprofesa wa Kiswahili,history, Englishinchoka mbaya tu.

Unamkuta vijana std 7 pale kariakoo ana maisha na uhuru wa kiuchumi mpaka unaanza kumwonea huruma profwesa
 
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.

Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)

Mtu anashinda na makaratasi waliyoandoka wenzake tu, muda mwingi ni lab na darasani; unaanzaje kumuamini?
 
Back
Top Bottom