Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Yego Jaji....😜Majaji gani unaongelea hapa ... Maana mkoa wa Mara kila MTU ana jaji ( babu)
Huyo anafrustration zake muache na ujinga wakeMwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.
Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Duh mi sekta binafsi huo mshahara nilikua nalipwa 4 years back na bachelor yangu. Na other benefits juu,gari kali,nyumba kali, airtime 180k kwa mwezi, perdiem 250k kwa siku nikitoka nje ya kituo cha kazi...na makolokolo mengine kama credit card with 80 percent cash advance and purchase, makopo ya maziwa, membership ya corporate clubs etc. Serikalini sometimes miyayusho sijui ni uogaProfessa si tulikubaliana analipwa million 6 au?
Naomba connection mkuuDuh mi sekta binafsi huo mshahara nilikua nalipwa 4 years back na bachelor yangu. Na other benefits juu,gari kali,nyumba kali, airtime 180k kwa mwezi, perdiem 250k kwa siku nikitoka nje ya kituo cha kazi...na makolokolo mengine kama credit card with 80 percent cash advance and purchase, makopo ya maziwa, membership ya corporate clubs etc. Serikalini sometimes miyayusho sijui ni uoga
Hujamuelewa vzr mkuuNa yeye hatakuwa ameelimika ...hatuwezi kufanya kazi sehemu moja au kazi moja wote kuna DIVISION OF LABOUR aache uzwazwa.
HahaaaaNa wanaodai wametolewa jalalani walimaanisha nini?
Bila shaka mkuuKwamba Mshahara wa Professor ni Mkubwa kuliko Majaji? [emoji2375]
Wapo wengi 2 wanaendesha discovery 2021Mmmmh. Maprofesa wanaendesha IST na kufuga nywele tu hawana lolote. Atakuwa nshomile huyo alikuwa anawaoshea.
Duuuh Kweliii mkuuu?Akili za kuambiwa changanya na zako ..kuna ma DGs, MDs wa taasisi za umma wana vuta fungu huyo.professor anaomba poo
Sio mchezoo mkuuuExtrovert hao viumbe ni waongo, tazama walivyo lambanuteuzi enzi za hayati wengi walikuwa wana chekelea tu..mtazame deputy speaker, ivi fungu analolamba sasa utalifananisha na fungu alilokuwa analamba pale chuo ?
Bila shakaa mkuuuKuna jamaa operator wa mtambo flan hiv adim sana katika moja ya migodi ya Barrick anakunja 15M kwa mwezi dah jamaa ana bahat sana huo ujuz wenyewe alipelekwa kusomea na haohao wa canada.
Professor wako atakua anavuta hata 20M hivi si ndio?
Kabisaaa mkuuu ckupingiiBarick sio taasisi ya umma.
Kwaajili ya faida ungeitaja mkuuukuna kada sitoitaja humu,huwa tunaidharau sana ila kwenye hiyo kada kuna level fulani ukifika unakunja 11m. huo ni mshahara,posho ni kama 1+m
profesa huyo alishiba ugali akaamua kuropoka tu
Duuuh umefika mbalii sanaaa mkuuuHuyo anafrustration zake muache na ujinga wake
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.
Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Wewe na mwalimu wako wote ni vihiyo.Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.
Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Sawa....Bahati mbaya hakubainisha na sisi hatukumuuliza pia mkuuu
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Soma komenti zote za wachangiaji, haihitajiki Phd kupata ukweli wa Professor wako alichokisemaMwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.
Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Nilistaajabu sana, ukizingatia mimi pia ni Mwalimu.Huyu alikuwa kilaza