ππππππππ Muhuni anashika tama akiwa kaegamia limousine huku kganjani amevaa saa yenye thamani zaidi ya nyumba ya waziri mkuuπJordan Belfort : Let me tell you something. There's no nobility in poverty. I have been a rich man and I have been a poor man. And I choose rich every fuckin' time. Because, at least as a rich man, when I have to face my problems, I show up in the back of the limo, wearing a $2000 suit and a $40,000 gold fuckin' watch.hahaha naipenda hii movie
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.
Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Maprofesa 90% ni njaa tu. Theories nyingi kichwani ila mfukoni hamna pesa.Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.
Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)
Mwalimu wangu profesa mmoja akiwa anatoa mhadhara alisema yeye anazidiwa mshahara na mbunge pekee tofauti na hapo hakuna kada nyingine hapa Tanzania yenye mishahara minono.
Mwisho mwalimu(profesa) akatushauri tusome kwa bidii tufanye kazi katika vyuo vikuu ili tupate ujira mnono(mlima)