Ukiweka ushabiki pembeni; Wanaume tumeumbwa ili kupiga bao moja tu kama kuku wafanyavyo na kusepa

Ukiweka ushabiki pembeni; Wanaume tumeumbwa ili kupiga bao moja tu kama kuku wafanyavyo na kusepa

Moja bora usiniguse kabisa
Hii ndio shida. Msikariri idadi ya mabao. Mjue mwanaume wako uwezo wake utafurahi

Kuna wanaume wanapiga bao moja kwa dakika 25 hadi 45 na mara nyingine hata saa zima.

Kuna wanaume wanapiga bao nyingi kwa dakika 5 kila baada ya dakika 5 au 10

Kuna wanaume wanapiga bao hata 4 in 1 bila kushuka. Na akishuka harudi tena ni mpaka nusu saa au saa 1 ipite au hata mpaka kesho.

Hao wote hapo juu wako sawa kabisa ila nje ya hapo ndio kuna shida.
 
Moja bora usiniguse kabisa
Hii ndio shida. Msikariri idadi ya mabao. Mjue mwanaume wako uwezo wake utafurahi

Kuna wanaume wanapiga bao moja kwa dakika 25 hadi 45 na mara nyingine hata saa zima.

Kuna wanaume wanapiga bao nyingi kwa dakika 5 kila baada ya dakika 5 au 10

Kuna wanaume wanapiga bao hata 4 in 1 bila kushuka. Na akishuka harudi tena ni mpaka nusu saa au saa 1 ipite au hata mpaka kesho.

Hao wote hapo juu wako sawa kabisa ila nje ya hapo ndio kuna shida.
 
Kusema kweli kukojoa ni jambo la nadra sana kwa mwanamke, wengi hawaridhishwi. Kuna ambao wako ndoani na hawajakojozwaga

Kuna dada nilikutana nae ana mtoto kabisa, Anasema kwenye maisha habari ya kukojoa anaisikia tu
Tatizo la wanaume wengi kutokuwa wabunifu,sawa sawa na mtoa mada,eti wanaume wapige kimoko[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Tatizo la wanaume wengi kutokuwa wabunifu,sawa sawa na mtoa mada,eti wanaume wapige kimoko[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Ubunifu upi unautaka dear! Ubunifu huja baada ya kulazimisha nyege!
Lakini kiuhalisia nyege zikipanda huwa hazihitaji ubunifu wowote wa ziada!

Shida ya ubunifu huja pale mnapolazimisha kukusanya nyege wakati hazipo!
Nyege ni kama bahari inavyojaa na kupwa! Haihitaji kufosi zikijaa lazima gemu inoge!

Bao la kwanza linajibu yote!
 
Nikimpenda na miili ikaendana bas ajiandae kukesha,usingiz ndo utatuokoa.Ila kama ni nyege za vipindi tu bas mawili tu hata asiponiaga fresh
SOMA KWA MAKINI UZI WANGU! Utakuja kuniekewa baadae sana ndugu!

Wee endekea kuhangaika na uchi hakuna kitu utagundua mle!
 
Kama unaona usumbufu si ukojolee mkono, lazma ukojolee mbususu?
Bao moja halikubaliki
Halafu mkimaliza hizo round unaomba hela; wanaume laiti tungejua shahawa zilivyobeba uhai hakika tungeishia bao moja tu!
Na kama kuna ziada tungewauzia!
Lakini kwasababu hatujui, pesa mnataka, na bao nyingi mnataka na kileleni mfike! Na matunzo mpewe
 
Mtoa mada , ngoja nikupe kisa hiki. Cku moja daktar wa mifugo alitembelea wafugaji fuani , wakati anamuhudumia ng'ombe mama mwenye nyumba akamuuliza daktar wa cku ng'ombe hufanya tendo mara ngapi ? Akajibiwa zaid ya mala 5 mwanamama akamwambia mumewe unaona.

Mume akamuuliza daktari je hiyo mara 5 humuingilia jike mmoja akajibiwa hapana kwa majike tofauti ,sasa kuku hufanya goli moja lkn kuku kwa cku hufanya zaid ya mara 6 kwa majike tofauti, sasa ww ishi kama kuku uwone faida yake, binadamu anaweza fanya leo bao 4 lkn akaaaa cku 2 au 3 kitu ambacho wanyama hawawezi.
 
Mtoa mada , ngoja nikupe kisa hiki. Cku moja daktar wa mifugo alitembelea wafugaji fuani , wakati anamuhudumia ng'ombe mama mwenye nyumba akamuuliza daktar wa cku ng'ombe hufanya tendo mara ngapi ? Akajibiwa zaid ya mala 5 mwanamama akamwambia mumewe unaona. Mume akamuuliza daktari je hiyo mara 5 humuingilia jike mmoja akajibiwa hapana kwa majike tofauti ,sasa kuku hufanya goli moja lkn kuku kwa cku hufanya zaid ya mara 6 kwa majike tofauti, sasa ww ishi kama kuku uwone faida yake, binadamu anaweza fanya leo bao 4 lkn akaaaa cku 2 au 3 kitu ambacho wanyama hawawezi.
Nimefafanua vyema hilo kwenye mada husika
 
Inategemea na hicho kimoja chako kinachukua muda gani, sisi tofauti na viumbe wengine, wao tendo wameumbiwa kwa ajili ya kuzaliana, ila sisi ni kuzaliana na starehe pia.. Ukitaka ufanye km anavyofanya braza jogoo utakuwa umemdhulumu mwenzio, we ukipata starehe nae ameumbiwa hiyo starehe, anahitaji kufika juu ya mlima.

Hivyo vitu viwili, la 3 kubwa kuliko pia kwichi kwichi inaleta heshima(uanaume) mzee kama unaweza kupiga kimoja yee akapiga vyake mpaka miguu ikaishiwa nguvu, unaweza pewa shikamoo kimasihara[emoji23][emoji1787]
 
Hapana, kusema cha wizi ni kitamu sio kweli. Yani mimi niibe na niende vichakani sijawa jogoo. Hao ni watu waliokosa staha. Kuku wako mwenyewe manati ya nini. Hivi vitu vinahitaji nafasi ukaribu na muunganiko. Sio ishu ya kudumbukiza tuu. Kuna kitu inaitwa sex yoga ukiielewa utafurahia maisha ya mapenzi na sio kila mara inatakiwa kumaliza nguvu zako kwa kumwagiana mwagiana. Sexual energy inaweza kuwa harnessed kwenye vitu vingine. Siendelei sana maana kwa wengi sutaeleweka. Washazoea hivyo, wanajua hivyo lakini haimaanishi ni hivyo.
 
Bao moja au matano kwa nani na kwa muda gani?. Mimi naamini mwanaume anaweza kupiga hata 4 au 5 ILA inategemea kakutana na mwanamke wa namna gani na amekaa nae kwa muda gani. Ila kama kuna mwanaume ambae anaishi na mke ndani halafu akaweza kupiga hizo 4 au 5 kila siku basi huyo abnormal na anastahili tuzo.
 
Hapana, kusema cha wizi ni kitamu sio kweli. Yani mimi niibe na niende vichakani sijawa jogoo. Hao ni watu waliokosa staha. Kuku wako mwenyewe manati ya nini. Hivi vitu vinahitaji nafasi ukaribu na muunganiko. Sio ishu ya kudumbukiza tuu. Kuna kitu inaitwa sex yoga ukiielewa utafurahia maisha ya mapenzi na sio kila mara inatakiwa kumaliza nguvu zako kwa kumwagiana mwagiana. Sexual energy inaweza kuwa harnessed kwenye vitu vingine. Siendelei sana maana kwa wengi sutaeleweka. Washazoea hivyo, wanajua hivyo lakini haimaanishi ni hivyo.
Unaukweli hapoo kwa kutosex masaa yotee . Ila hujaiba wewe cha wizi ni ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ ushimen uko wapi??
 
Hii sidhan kama ni kweli
Mda huu wa barid huku kitaa naona mbwa wanafuatana wawili wawili
Tena bora ungesema mnyama mwingne ila sio mbwa, mbwa usex pale jike linapokuwa kwenye siku za kushika mimba tu
 
Back
Top Bottom