Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Aaghh wacha tuWakuu kwanza kabisa niwe wazi mimi sio daktari wala sipo kabisa kwenye eneo la afya.
Habari hii ni kwa hisani ya vyanzo mbalimbali vya taarifa nilizosoma na kusikia.
Matumizi ya vitu hivyo ni mojawapo ya vichocheo vya ugonjwa wa kansa.
Tunapeana taarifa tu mkuu. Maamuzi ya mwisho ni juu yako mwenyewe.Aseee mbona mnataka maisha yawe magumu sana jamani
ChaiWakuu kwanza kabisa niwe wazi mimi sio daktari wala sipo kabisa kwenye eneo la afya.
Habari hii ni kwa hisani ya vyanzo mbalimbali vya taarifa nilizosoma na kusikia.
Matumizi ya vitu hivyo ni mojawapo ya vichocheo vya ugonjwa wa kansa.
Shida iliyopo Tanzania sasa hivi wagonjwa ndio wanajitia washauri wa watu wenye afya zaoWakuu kwanza kabisa niwe wazi mimi sio daktari wala sipo kabisa kwenye eneo la afya.
Habari hii ni kwa hisani ya vyanzo mbalimbali vya taarifa nilizosoma na kusikia.
Matumizi ya vitu hivyo ni mojawapo ya vichocheo vya ugonjwa wa kansa.
Utaacha vingapi?Kumbe? Ngoja niache
Yeye mwenyewe Dk Janabi unaona ngoxi yake ilivyopauka? haina mng'ao wa ngozi ya binadamu yenye afyaBora umsaidie dk. Janabi maana peke yake hatoweza kuwafikia watu wote
Wachache watakuelewa wengi wao watakushambulia kama anavyoshambuliwa JanabiWakuu kwanza kabisa niwe wazi mimi sio daktari wala sipo kabisa kwenye eneo la afya.
Habari hii ni kwa hisani ya vyanzo mbalimbali vya taarifa nilizosoma na kusikia.
Matumizi ya vitu hivyo ni mojawapo ya vichocheo vya ugonjwa wa kansa.
Tule michemsho au sioWakuu kwanza kabisa niwe wazi mimi sio daktari wala sipo kabisa kwenye eneo la afya.
Habari hii ni kwa hisani ya vyanzo mbalimbali vya taarifa nilizosoma na kusikia.
Matumizi ya vitu hivyo ni mojawapo ya vichocheo vya ugonjwa wa kansa.
mkuu unatafuta balaa gani ile ngoma tuendelee kuila ikiwa imekaangwa au rost na ndizi mbili na coke ya baridiiiii mbali na hapo mkuu unatafuta balaa tusilolijua😂Sasa itakuaje....Sijui Nile kitimoto ikiwa mbichi
🤣🤣🥴Utaacha vingapi?
Vitu vya kuchoma? Umesababisha nimkumbuke sana hayati Bob Marley. Alikua anapenda sana kuvuta vitu vya kuchoma.Wakuu kwanza kabisa niwe wazi mimi sio daktari wala sipo kabisa kwenye eneo la afya.
Habari hii ni kwa hisani ya vyanzo mbalimbali vya taarifa nilizosoma na kusikia.
Matumizi ya vitu hivyo ni mojawapo ya vichocheo vya ugonjwa wa kansa.
Mtoa mada kanitisha sana....mm mada yeyote inayohusu vyakula Cha kwanza nareflect mdudumkuu unatafuta balaa gani ile ngoma tuendelee kuila ikiwa imekaangwa au rost na ndizi mbili na coke ya baridiiiii mbali na hapo mkuu unatafuta balaa tusilolijua😂
hahaha jani la mbuzi jani la kondeniVitu vya kuchoma? Umesababisha nimkumbuke sana hayati Bob Marley. Alikua anapenda sana kuvuta vitu vya kuchoma.
Ukimiliki account ya social media, uko katika risk kubwa sana ya kupigia kampeni ajenda za watu ambazo hata hauelewi malengo yake, hujui zinaanzia wapi wala matokeo yake yatakuja kuwa nini.Hii agenda ya Cancer mbona mna i push sana???, ngalia usije kutumika kama wakala wa Big pharma ku push agenda usizozijua.
Hivyo tu? Duuh!! Noma kweliWakuu kwanza kabisa niwe wazi mimi sio daktari wala sipo kabisa kwenye eneo la afya.
Habari hii ni kwa hisani ya vyanzo mbalimbali vya taarifa nilizosoma na kusikia.
Matumizi ya vitu hivyo ni mojawapo ya vichocheo vya ugonjwa wa kansa.
yaani tuache nyama choma na mahindi chomaWakuu kwanza kabisa niwe wazi mimi sio daktari wala sipo kabisa kwenye eneo la afya.
Habari hii ni kwa hisani ya vyanzo mbalimbali vya taarifa nilizosoma na kusikia.
Matumizi ya vitu hivyo ni mojawapo ya vichocheo vya ugonjwa wa kansa.
nakubali mkuu tupo pamoja hawawezi kutukatisha tamaaMtoa mada kanitisha sana....mm mada yeyote inayohusu vyakula Cha kwanza nareflect mdudu