Ukizaliwa Afrika tayari life limekuchapa 3-0, kuchomoa na kuongeza ni juu yako!

Ukizaliwa Afrika tayari life limekuchapa 3-0, kuchomoa na kuongeza ni juu yako!

amshapopo

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
1,834
Reaction score
4,161
Habari,

Maisha ya bara letu ni changamoto sana. Kitendo cha kuzaliwa hai na una pumua ni mzigo tosha, inafika kipindi unajiuliza nilizaliwa kuja kubeba majukumu yote haya?

Kusoma kwa kuungaunga na ukimaliza kazi hamna, na kama ukipata kazi ukoo mzima unakutegemea na bado hujaanza ku-settle maisha yako na familia yako. Kazi zenyewe mshahara hand to Mouth Duh! Kazi sana. Africa usipokaza buti umepoteza ramani na utatengeneza viscous circle of poverty kwa wanao kufuata.

Tupambane wakuu coz yajayo ndo magumu zaidi.
 
Sema kwako na marafiki zako kwa mfano Ridhiwani kikwete sio mwenzio.....
 
Sehemu yoyote ile ukizaliwa kwenye familia inayojiweza tayari una nafuu

Kwa hapa Afrika ni wachache wanaopata hizo bahati japo nao inawabidi watie kakmkazo kupigaa ili kujiweka sehemu wanayoweza kubebeka
 
Sasa mtu umezaliwa Tanzania unasema eti mechi ni 3-0,

Asubuhi unapata chai na maandazi bila shida yoyote.

Je wanaozaliwa Goma waseme ni ngapi ngapi?
 
Nilichomoa hizo tatu nikawa naongoza 3-4 mwaka jana life likarudisha double hattrick saiv tupo 9-4 na nishakata tamaa hata droo sipatiiii over
 
Unaanza saw 3-0 unajitahis unachomoa inakua 3-3 unapewa mke, kitemdo cha kupewa mke unapigwa zingine 3 inakua 6-3 kazi inabaki kuchomoa izo 3 na kisha uongeze kuutafta ushindi
 
Unaanza saw 3-0 unajitahis unachomoa inakua 3-3 unapewa mke, kitemdo cha kupewa mke unapigwa zingine 3 inakua 6-3 kazi inabaki kuchomoa izo 3 na kisha uongeze kuutafta ushindi
😂😂😂 Hiyo inaitwa kazini kuna kazi
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Back
Top Bottom