Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁Nilichomoa hizo tatu nikawa naongoza 3-4 mwaka jana life likarudisha double hattrick saiv tupo 9-4 na nishakata tamaa hata droo sipatiiii over
😀😀😀😀😀Nilichomoa hizo tatu nikawa naongoza 3-4 mwaka jana life likarudisha double hattrick saiv tupo 9-4 na nishakata tamaa hata droo sipatiiii over
0-8976Habari,
Maisha ya bara letu ni changamoto sana. Kitendo cha kuzaliwa hai na una pumua ni mzigo tosha, inafika kipindi unajiuliza nilizaliwa kuja kubeba majukumu yote haya? Kusoma kwa kuungaunga na ukimaliza kazi hamna, na kama ukipata kazi ukoo mzima unakutegemea na bado hujaanza ku-settle maisha yako na familia yako. Kazi zenyewe mshahara hand to Mouth Duh! Kazi sana. Africa usipokaza buti umepoteza ramani na utatengeneza viscous circle of poverty kwa wanao kufuata.
Tupambane wakuu coz yajayo ndo magumu zaidi.
Mmmh nao ni dunia nyingine kabisaSasa mtu umezaliwa Tanzania unasema eti mechi ni 3-0,
Asubuhi unapata chai na maandazi bila shida yoyote.
Je wanaozaliwa Goma waseme ni ngapi ngapi?
Daaaa gepu n 5 bilaaa hapo ,ila maishaaa bac tuNilichomoa hizo tatu nikawa naongoza 3-4 mwaka jana life likarudisha double hattrick saiv tupo 9-4 na nishakata tamaa hata droo sipatiiii over
Yaani wale watoto wa kikwete nao ni 3-0 au?Habari,
Maisha ya bara letu ni changamoto sana. Kitendo cha kuzaliwa hai na una pumua ni mzigo tosha, inafika kipindi unajiuliza nilizaliwa kuja kubeba majukumu yote haya?
Kusoma kwa kuungaunga na ukimaliza kazi hamna, na kama ukipata kazi ukoo mzima unakutegemea na bado hujaanza ku-settle maisha yako na familia yako. Kazi zenyewe mshahara hand to Mouth Duh! Kazi sana. Africa usipokaza buti umepoteza ramani na utatengeneza viscous circle of poverty kwa wanao kufuata.
Tupambane wakuu coz yajayo ndo magumu zaidi.
Shida ni miundombinu mkuu,maisha Afrika ni rahisi sana na rasilimali ni za kutosha,tatizo ni mipango tuu,Ulaya ni kugumu kuliko unavyodhani,maana ili utoboe lazima uwe msanii naarufu,mwanamichezo hodari ndio Ulaya wengi wanatoboa!Hapa kwetu kuamka tajiri ni rahisi mno mkuu ukiweka Marengo murua.Habari,
Maisha ya bara letu ni changamoto sana. Kitendo cha kuzaliwa hai na una pumua ni mzigo tosha, inafika kipindi unajiuliza nilizaliwa kuja kubeba majukumu yote haya?
Kusoma kwa kuungaunga na ukimaliza kazi hamna, na kama ukipata kazi ukoo mzima unakutegemea na bado hujaanza ku-settle maisha yako na familia yako. Kazi zenyewe mshahara hand to Mouth Duh! Kazi sana. Africa usipokaza buti umepoteza ramani na utatengeneza viscous circle of poverty kwa wanao kufuata.
Tupambane wakuu coz yajayo ndo magumu zaidi.
🤣🤣🤣🤣Kuna watu wanakuchomolea dk 90 3-3 wakiwa na umri wa miaka 75
Kweli mkuu lakini mpaka kutoboa inahitaji jitihada za hali ya juuShida ni miundombinu mkuu,maisha Afrika ni rahisi sana na rasilimali ni za kutosha,tatizo ni mipango tuu,Ulaya ni kugumu kuliko unavyodhani,maana ili utoboe lazima uwe msanii naarufu,mwanamichezo hodari ndio Ulaya wengi wanatoboa!Hapa kwetu kuamka tajiri ni rahisi mno mkuu ukiweka Marengo murua.