Ukizaliwa Afrika tayari life limekuchapa 3-0, kuchomoa na kuongeza ni juu yako!

Ukizaliwa Afrika tayari life limekuchapa 3-0, kuchomoa na kuongeza ni juu yako!

Sasa mtu umezaliwa Tanzania unasema eti mechi ni 3-0,

Asubuhi unapata chai na maandazi bila shida yoyote.

Je wanaozaliwa Goma waseme ni ngapi ngapi?
Hao ni 3-0 fakika ya kumi tu
 
Back
Top Bottom