BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Hata kama hujazaliwa kwenye system basi tafuta hata wa kuoa/ kuolewa kwenye system
Njia zipo nyingi
MaslahiHapo ndo mtihani mwingine kuoa wa kwenye system
Unataka kapuku aoe kwenye system? Labda awe wa kike aolewe ila sio mwanaume from nowhere na kabachelor kake akubalike kirahisi kuoa kwenye system. Huwa ni wabaguzi, wanataka mtu mwenye connection maisha ya binti yao yawe rahisiMaslahi
Utapata ukianza kufuatilia walipo mbona simple tu
kama Pascal Mayalla mzee wa watu kazungukaa wee lakini hata jina halipiti.Bongo nyoso hawaangalii unanini kichwani,ila ni unaconnection gani nyuma!!Baba alikuwa rais na mwanae anakuwa rais kupitia msaada wa Baba ni full connection na wakati huo Kuna vijana kila uchwao ni mguu na njia na bahasha za khaki kwa mkono.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hiyo kuoa/kuolewa siku mkitibuanaHata kama hujazaliwa kwenye system basi tafuta hata wa kuoa/ kuolewa kwenye system
Njia zipo nyingi
Paskali mzee wake alikuwaga hukokama Pascal Mayalla mzee wa watu kazungukaa wee lakini hata jina halipiti.Bongo nyoso hawaangalii unanini kichwani,ila ni unaconnection gani nyuma!!
Sasa nani atataka kumuoa Mudawote? lidada likabila na likanda lenye roho mbaya licha ya elimu yake kubwa aliyoipata uingereza.Hata kama hujazaliwa kwenye system basi tafuta hata wa kuoa/ kuolewa kwenye system
Njia zipo nyingi
Karibu niseme wewe ni jmushi1Hypochondria ...imaginary illness