Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa huku nyumbani haina shida maana utakuwa tayari umepata shavu na hela zipo na waswahili wanaheshimu sana mtoto akiolewaHiyo kuoa/kuolewa siku mkitibuana
[emoji1]
Ova
Uwe mjanja mjanja na msoma alama za nyakati kiufupi u kipata nafas tumiaHiyo kuoa/kuolewa siku mkitibuana
[emoji1]
Ova
Unakaa mguu mmoja ndani,mwingine njeUwe mjanja mjanja na msoma alama za nyakati kiufupi u kipata nafas tumia
Si mpaka na wewe ujiongeze> Unaweze ukawa mzembe kama Lemutuz mpaka wazazi wako wakakutelekezaHapa ni kuwa tayari kubebeka maana wa kukubeba wapo wengi ni kuchagua mgongo huu unibebe na mgongo huu usinibebe.
Just imagine wakati wengine wanapambana kupata kazi kwenye Taasisi ndogondogo Daddy anakuja na list ya Taasisi kubwa na nyeti kwenye Taifa anakwambia son chagua Taasisi ya kufanyia kazi.
Life is game but it's not fair.
Kuna watu wamejaribu kila njia kufikia malengo yao lakini wapi na kamwe hawatafikia mpaka wanakufa, japo hata mimi yangu bado sijayafikia.kama Pascal Mayalla mzee wa watu kazungukaa wee lakini hata jina halipiti.Bongo nyoso hawaangalii unanini kichwani,ila ni unaconnection gani nyuma!!
Namshangaa hata mimi huyo Lloyd Munroe . Wakati hizi mapicha ziko mingi. Atafute nyingine.Karibu niseme wewe ni jmushi1
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Roho mbaya tu blad futyeini Maghayo
That is the fucking shit about life,but you can make ur self one of "system guys"get rich,accumulate wealth like Dangote,Bakheresa,Diamond,and then ur kids and kids of ur kids will forever be greatfully to you Great great grand mom or dadyyyHapa ni kuwa tayari kubebeka, maana wa kukubeba wapo wengi ni kuchagua mgongo huu unibebe na mgongo huu usinibebe.
Just imagine, wakati wengine wanapambana kupata kazi kwenye Taasisi ndogondogo Daddy anakuja na list ya Taasisi kubwa na nyeti kwenye Taifa anakwambia son chagua Taasisi ya kufanyia kazi.
Life is game, but it's not fair.
Ni picha zako kumbe .Namshangaa hata mimi huyo Lloyd Munroe . Wakati hizi mapicha ziko mingi. Atafute nyingine.
Umesahau na wengine wengi wanapiga tu miyayo jua linazama.Kuna Wala keki ya Taifa, Half Cake, Donut,Andazi,Bolilo na Boflo.
Utaendelea kuonekana 'outsider' tu na hao wenye system Yao na mwishowe utajiona Kama umeolewa vile.Huna kauli yoyote Ile juu ya familia yako.Maslahi
Utapata ukianza kufuatilia walipo mbona simple tu
Mpk sasa ameanza kuandika makala za kumsifia JK maana anaijua nguvu yake kwny connections.kama Pascal Mayalla mzee wa watu kazungukaa wee lakini hata jina halipiti.Bongo nyoso hawaangalii unanini kichwani,ila ni unaconnection gani nyuma!!
Motivational speakers kila Kona.That is the fucking shit about life,but you can make ur self one of "system guys"get rich,accumulate wealth like Dangote,Bakheresa,Diamond,and then ur kids and kids of ur kids will forever be greatfully to you Great great grand mom or dadyyy
Wewe dogo, unafikiria kubebwa bebwa tu muda wote.Hapa ni kuwa tayari kubebeka, maana wa kukubeba wapo wengi ni kuchagua mgongo huu unibebe na mgongo huu usinibebe.
Just imagine, wakati wengine wanapambana kupata kazi kwenye Taasisi ndogondogo Daddy anakuja na list ya Taasisi kubwa na nyeti kwenye Taifa anakwambia son chagua Taasisi ya kufanyia kazi.
Life is game, but it's not fair.