Ukizielewa Siasa za Tanzania huwezi kupata tabu. Hongera Rais Samia kwa kuzielewa vyema Siasa za Tanzania, nasema kazi iendelee

Haujiulizi kwanini uzi wako una comments ishirini tu ndani ya siku mbili? — ambazo kati ya hizo, za kwako tu ni zaidi ya kumi.

Niulize nikujuze.
Nyuzi za kijinga ndizo ambazo watu wanachangia sana kuliko zenye mambo ya msingi.sasa uzi kama huu umejitosheleza unataka watu wachangie nini zaidi ya kuusoma na kuelewa.Mambo yote yako wazi ila kama akili zako ni ndogo utataka kupinga.
 
Nyuzi za kijinga ndizo ambazo watu wanachangia sana kuliko zenye mambo ya msingi.sasa uzi kama huu umejitosheleza unataka watu wachangie nini zaidi ya kuusoma na kuelewa.Mambo yote yako wazi ila kama akili zako ni ndogo utataka kupinga.
Nyuzi zenye akili Kama hizi sio saizi yake yeye na mataga wenzake waliozoea kushikiwa akili na mwendazake
 
Hivi Mwendazake alikuwa anatufokea kwa nini jamani? mbona mambo mengi hayajakaa sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…