Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisamehe sana mkuu.Ni wewe mkuu?
Mleta mada fanyia kazi huu ushauri, utakuja kunishukuru baadae..Kwanini mpaka mmefikia uku unamuogopa huyo jamaa?
Mkeo alipokupa taarifa ya kuwa anasumbuliwa alitegemea wewe kama mwanaume utatafuta namna mkeo asisumbuliwe tena na huyo jamaa
Kwa mfano nilitegemea umwambie amblock Kila namba atayomtafuta amblock, hasimjibu mpaka achoke mwenyew
Mpaka anawatumia picha me naona mnamwendekeza
Kulipa kisasi kuvujisha picha zake sijui haikusaidii chochote, futa hizo picha, mblock, achana naeeee
Hapo tofali zimeshushwa site!!!Ni Jamaa ambaye alishawahi kuwa hawara wa mkeo, akamwacha kwa kashfa kibao alimchafua mitaani na huko Facebook, wewe bila kujali udhalilishaji aliofanyiwa bila kujali kashfa ukaamua kumuoa.
Sasa baada ya miaka kadhaa kupita Jamaa anaaanza kummendea mkeo,mara atume watu mara apige simu, Mkeo anachoshwa na usummbufu wa Jamaa anaamua kukwambia kila kitu, Wakati mwingine akimtumoa ujumbe anakupa simu uchati naye.
Jamaa anakomaa analazimisha warudiane kwa siri, siku ya siku mkeo akiwa safarini Jamaa anaanza kumtumia jumbe mkeo, mkeo anakupa taarifa yule mtu bado ananisumbua.
Wewe mkeo mnakubaliana kufungua akaunti nyingine ya WhatsApp ambayo atapewa Jamaa kwa ajili ya mawasiliano yao, ndipo Jamaa anaanza kujieleza mengi na kufikia hatua ya kutuma picha zake za uchi nanii ikiwa imesimama.
Yeye akijua anachati na mke wako kumbe ni wewe! Nahitaji ushauri wenu tafadhali, ungekuwa wewe msomaji ungefanya nini? Utamlipia kisasi mkeo umdhalilishe kama alivyomdhalilisha ili watu waujue ukweli?
Kutongozwa kwa mwanamke hawezi kuzuia, ila anaweza kuzuia mazoea mara moja na asiendelee tenaUkiona mwanamke anatongozwa ujue ameamua kwa ridhaa yake kukubali atongozwe maana wanapenda kutongozwa na wao ndo huruhusu mazingira ya kutongozwa otherwise huwezi mtongoza, hutapata hiyo nafsi na mawasiliano yako atayablock.
Kuna nafasi flani anampa uyo jamaa ndo maana anaendelea kuwasliana naye, maana navojua mwanamke akitongozwa km hana aja ya kuendelea na mawasliano anakuwa na majibu yenye msimamo ambao mwanaume mwenye akili timamu haezi endelea muda wote huo....chunguza kuna jambo utagundua afu cha kuuliza, mkeo toka umemuoa katongozwa na mtu mmoja tu? Kutongozwa hakuepukiki kwa mwanamke je, wote wanaomfuata anakwambia? Km hakuambii ni kwann huyo mmoja tuu? chunguza utarudi na majibu niko hapa napata kahawaNi zaidi ya miaka miwili anamtafuta na sijawahi kuchukua hatua yoyote,mpaka nilipoamua kuchat naye
Nitazi delete. Ukiona mkeo anagongwa eidha tatizo ni wewe, au tatizo ni mkeo. Third part hana tatizo.
Kabisa👊Nitazi delete. Ukiona mkeo anagongwa eidha tatizo ni wewe, au tatizo ni mkeo. Third part hana tatizo.
Ni Jamaa ambaye alishawahi kuwa hawara wa mkeo, akamwacha kwa kashfa kibao alimchafua mitaani na huko Facebook, wewe bila kujali udhalilishaji aliofanyiwa bila kujali kashfa ukaamua kumuoa.
Sasa baada ya miaka kadhaa kupita Jamaa anaaanza kummendea mkeo,mara atume watu mara apige simu, Mkeo anachoshwa na usummbufu wa Jamaa anaamua kukwambia kila kitu, Wakati mwingine akimtumoa ujumbe anakupa simu uchati naye.
Jamaa anakomaa analazimisha warudiane kwa siri, siku ya siku mkeo akiwa safarini Jamaa anaanza kumtumia jumbe mkeo, mkeo anakupa taarifa yule mtu bado ananisumbua.
Wewe mkeo mnakubaliana kufungua akaunti nyingine ya WhatsApp ambayo atapewa Jamaa kwa ajili ya mawasiliano yao, ndipo Jamaa anaanza kujieleza mengi na kufikia hatua ya kutuma picha zake za uchi nanii ikiwa imesimama.
Yeye akijua anachati na mke wako kumbe ni wewe! Nahitaji ushauri wenu tafadhali, ungekuwa wewe msomaji ungefanya nini? Utamlipia kisasi mkeo umdhalilishe kama alivyomdhalilisha ili watu waujue ukweli?
Ni Jamaa ambaye alishawahi kuwa hawara wa mkeo, akamwacha kwa kashfa kibao alimchafua mitaani na huko Facebook, wewe bila kujali udhalilishaji aliofanyiwa bila kujali kashfa ukaamua kumuoa.
Sasa baada ya miaka kadhaa kupita Jamaa anaaanza kummendea mkeo,mara atume watu mara apige simu, Mkeo anachoshwa na usummbufu wa Jamaa anaamua kukwambia kila kitu, Wakati mwingine akimtumoa ujumbe anakupa simu uchati naye.
Jamaa anakomaa analazimisha warudiane kwa siri, siku ya siku mkeo akiwa safarini Jamaa anaanza kumtumia jumbe mkeo, mkeo anakupa taarifa yule mtu bado ananisumbua.
Wewe mkeo mnakubaliana kufungua akaunti nyingine ya WhatsApp ambayo atapewa Jamaa kwa ajili ya mawasiliano yao, ndipo Jamaa anaanza kujieleza mengi na kufikia hatua ya kutuma picha zake za uchi nanii ikiwa imesimama.
Yeye akijua anachati na mke wako kumbe ni wewe! Nahitaji ushauri wenu tafadhali, ungekuwa wewe msomaji ungefanya nini? Utamlipia kisasi mkeo umdhalilishe kama alivyomdhalilisha ili watu waujue ukweli?
TrueAtakua ni fukara, ndio maana mke kamwambia Mume.
Angekua ana Hela, Muamala tu ingetosha kumfanya Mke afanye Siri
NashangaaIla wadau mngoni si analiwa mtungo tigo
Sasa huyu jamaa anafikiria nini
Chukuwa hiyo picha, ikuze kwenye A4 or A3 size, toa copy.nyingi sana, tafuta anakofanyia kazi nenda saa Tisa za asubuhi bandika kila kona mazingira ya kazini, weka maandishi kwamba anatafuta watu wa kumla tigo. Hizo picha peleka mitaani kwake na kwenye vijiwe vyake vyote. Hapo atahama mii. Kila ukisikia yuko sehemu furani peleka hizo picha kwa Siri Sana. Hapo lazima akili itakaa sawa.Alishajichanganya katuma moja kama alivyo ,alituma ya kwanza ikiwa haionyeshi sura nikamwambia tuma nione na sura yako akatuma.
Labda ajiulize swali moja.Hapa pagumu na panahitaji hekima na utulivu sana hasa ukizingatia kuwa ni mke maana ukikurupuka unaweza kufanya mambo ya kitoto sana ukaishia kujiharibia maisha hata wewe mwenyewe.
Kumbuka pia ukizimwaga hizo picha mtandaoni akikukomalia unaweza kufungwa (sheria ya makosa ya mtandao).
Aliyapa kuwa mwaminifu kwako ni mkeoHivi kama unamtaka mke wa mtu na huyo mwanamke hataki halafu wewe unatumia nguvu kubwa kumshawishi akubali,hapo tatizo ni mwenye mke ,wewe mtongozaji au mwanamke?