Uko tayari? Dar es Salaam mpya inakuja. Serikali kutwaa eneo la mita za mraba 233,000. Maeneo ya Sinza, jirani na Mlimani City, Boko, SIMU2000 kuguswa

Serikali ya ccm ni ya kijinga sana.Imeshindwa kuipanga Nchi lakini inasubiri watu wabanane na wafanye uwekezaji mkubwa ndiyo ianze kuwafukuza na kujifanya inataka kuendeleza?Ukizunguka Nchi nzima mipango miji ni ya hovyohovyo tu Huku wapangaji wa miji na wizara ya ardhi yanatumbua Kodi zetu.
 
Huwa nashangaa sana vile vibanda vya NHC kuuzwa kwa bei hizo! Sijui walijenga kwa ajili ya kuuza kwa Wawekezaji wageni! Inashangaza sana.
 
Kwani wakjnunua hayo maeneo unayoyaita mashamba pori ni makosa kisheria!? Au ndio uwezo wao ulipoishia!?
 
Wilaya ya Kigamboni inazidi kusahaulika kwenye miradi hii mikubwa.
 
Hawa jamaa waache mzaha. Pale Ubungo zamani "Stendi ya Mkoa" wanajenga uchafu TU wa kuuzia takataka za Mchina, Wakati lilikuwa eneo sahihi la kuweka karakana ya mwendo_kasi ile iliyohamishwa Toka bondeni Jangwani. Hii nchi ina ujinga mwingi sana wa viongozi.
 
Yaani serikali is the biggest bully na dhulumati number moja

"maslahi ya umma" which is nonsense hayawezi chukua haki yangu mimi mtu mmoja

yaani haki ya wengi ya kunidhulumu mali yangu halali haiwezi kua halali kuninyang'anya haki yangu

Kwanza wenye viwanja na nyumba zao hapo msihame,fungueni kesi isimamieni mahakamani na uamuzi utatoka baada ya 20years

Nchi hii CCM ikizengua kesi yenu nendeni United Nations

Sio rahisi kuibia watu mali zao eti sababu wewe ni serikali eti "una mradi wa kimkakati",thats nonsense,mradi wako wa kimkakati haukupi jeuri ya kuvamia na kudhulumu watu ardhi zao eti sababu wewe ni serikali halafu eti una "maslahi ya umma"

Huu ni us3ng3 wa ajabu sana

Huwezi watoa wananchi kirahisi hivyo...hapo itakua ni kuvurugana miaka 30 hawahami na sio kirahisi hivyo kwa vi-press release vya hovyo hivi

Ndio maana I really HATE GOVERNMENT!
 
safi sana! Dar ndio New York ya Tanzania.
Kwa wewe kutaka Dar iwe New York hakukupi haki ya kudhulumu watu ardhi zao

Watu wahame kwa hiyari kwa fidia wanazotaka wao,huu ujinga wa hii nchi kua na serikali inayojiamulia maamuzi ya kunyang'anya watu mali zao kwa sababu yeyote ile ikome
 
Mkuu

Ardhi inanyang'anywa wanapewa matajiri na wala serikali haina uwezo wa kufanya lolote maana haina fedha yeyote

Na kudhulumu mali ya wananchi sio kazi ndogo,hapo kesi itaunguruma miaka 30 uamuzi ndio utoke

Huwezi jiamulia eti unaamka asubuhi unataka kuchukua maeneo ya watu kisa eti unataka pawe New York sijui blah blah...huu udhulumati unaofanywa na serikali UISHE
 
Ukihamishwa na serikali huwez rudi nyuma kiuchumi, hata siku moja
 
Ukihamishwa na serikali huwez rudi nyuma kiuchumi, hata siku moja
Kawaulize waliohamishwa jangwani kama huujui ukweli, ila kama ni mmojawapo wa wale wanaotumia tumbo kufikiri usiwaulize.
 
Mtogo mtodo tu, ujue ukienda kijini flan hapao karibu na dar, ukachongo barabara ukaweka lami, maji, na umeme mwezi mmoja tu viwwanja vinanunuliwa vyote na kuna jaa,
Shida selikari yetu inaamini inchi itajegwa na wawekezaji kutoka njee kumbe si kweli, kukuwa kwa mji selikali lazima itie mikono hasa miundo mbinu, barara nzuri, umeme, na maji mengi, na internet
 
Naam.

Ukiangalia miji mikubwa utaona kuna sehemu zinaonekana mbali na mji hapo Dar, kumbe kiuhalisia ni suburbs za Dar tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…