Uko tayari? Dar es Salaam mpya inakuja. Serikali kutwaa eneo la mita za mraba 233,000. Maeneo ya Sinza, jirani na Mlimani City, Boko, SIMU2000 kuguswa

Uko tayari? Dar es Salaam mpya inakuja. Serikali kutwaa eneo la mita za mraba 233,000. Maeneo ya Sinza, jirani na Mlimani City, Boko, SIMU2000 kuguswa

Dar inapangwa upya, Sinza inasukwa upya, maeneo jirani na Mlimani City yanasukwa upya. Serikali inaenda kutwaa eneo la ukubwa wa mita za mraba 233,000 na kulipanga upya.

Maeneo kama Sinza yana viwanja vya 20/20, na maeneo hayo kwa sasa ndio ujenzi mkubwa wa maghorofa unakuja. Ni vyema serikali imeyatwaa maeneo hayo ili iyamiliki, ifute ramani ya eneo hilo, ifidie, kisha ilipange upya, na kugawa viwanja vikubwa kwa uwekezaji mkubwa.

Kama ujenzi ungeendelea kwa hali ilivyo, maeneo hayo yangekuwa hayana mvuto, na yenye msongamano.

Hii iende mpaka Tandale kwa awamu, tuipate Dar tunayoitaka.
View attachment 3171283
Hili tangazo nkajua ni fake.
 
Unaweza kupanua mji kujenga nje kidogo nje ya ya mji kama kibaha, Morogoro. SGR inafika.
 
Unaongea mambo ya kufikirika zaidi. Hayo ni maeneo ya watu binafsi, kuyachukua ni kuwalipa fidia sababu wakati unajenga wao hawatakuwepo au unafikiri utajenga bila kubomoa nyumba zao?

Hakuna namna nyingine zaidi ya kukipa fidia waliopo. Wahame alafu ndio uanze huo ujenzi. Hayo ya kukubaliana mje mgawane, huo muda hao wakazi wote wanakua wanaishi wapi?
umesahau kuwa ardh ina term miaka 33 au 99 serikal ikiamua inasitisha mkataba wako na wao. hati ni just paper na unaambiwa siku rais akiitaka kwa maslah ya umma inachukuliwa. wakaishi wap kwan hakuna pa kuish. hiv u a milion 200 mfukon unaambiwa pisha tujenge kwanza kisha utarud utakosa pa kwenda. ? au unapenda kuona tandale inakaa kwenye maji ya choo maisha yote ukipita pale kwa bi nyau unaziba pua. afadhal afazal alipokuwa makonda alisimamia ule mto upanuz ndio hapo harufu imepu gua
 
Piga ghorofa 20 kwenda juu tu hapo. Ofisi na apartments.

Panga parking za magari za kutosha.

Ongeza miundombinu ya kuongeza maji. Wekeza kwenye mifumo ya maji ya zimamoto na ofisi/ vifaa vyao.

Weka usafiri wa kueleweka wa mwendokasi.

Panga mitaa na shule, parks, open spaces etc.

Dar es salamm ina population growth rate ya 5%. Kwa rate hii, Dar ita double population kila baada ya miaka 15.

Serikali inatakiwa kujiandaa na mfumuko huu. By 2040 Dar itakuwa na watu mara mbili ya sasa.

Njia pekee ya kueleweka kujiandaa ni kujenga kuenda juu.
Iweke na miundo mbinu itayo wapa wazo watu kuhamia nnje ya mji, mfano ujenzi wa express way dar moro na mengine
 
Soma mtiririko ujue kwa nn nimekuuliza hivyo. Hao wote hawakujua huyu aliyeleta mada hakujua alichoandika
Ttzo sio kutokujua mleta mada, ttzo ni kusoma na kuelewa andiko.....andiko liliainisha kabisa kuwa hizo sqmts zaidi ya laki 2 zinapatikana kwenye maeneo manne tofauti ila wewe sasa ndo ukawa unalazimisha au kuuliza hizo sqmts laki 2 pale sinza zipo wapi!!!!


Kuna wengi hawatolipwa hata hiyo fidia Kwa sababu maeneo waliyojenga ni ya serikali ndo wamiliki na sio Ile kikatiba kuwa ardhi yoote ni Mali ya serikali bali wamiliki ni idara na wizara za serikali



Mfano kule Basihaya ni eneo lililokuwa linamilikiwa na wizara ya maji kipitia idara ya maji .......kule kunduchi ni eneo lililokuwa linamilikiwa na MECCO km unaikumbuka hiyo kampuni lkn pia kwakuwa pale ilikuwa ni vitalu vya madini ,Sheria inaeleza wazi ukimaliza kuyachimba basi eneo linarudi Kwa serikali na sio wewe kuliuza...........Kwa hapo Sinza eneo kubwa pia lipo chini ya Ttcl kupitia wizara husika




Sijajua kuhusu hilo eneo la mkabala na Mlimani city kutokea kule kilipo chuo Cha ardhi km sijakosea ndo lile eneo la survey
 
Iweke na miundo mbinu itayo wapa wazo watu kuhamia nnje ya mji, mfano ujenzi wa express way dar moro na mengine
Dar inatakiwa kuwa na satellite cities kama tano hivi zinatanuka.

Huku mwisho Kigamboni, huku mwisho Vikindimu kama unaenda Mkuranga, huku Kisarawe, hapo Kibaha unapanua zaidi kutoka barabarani, na kuunganisha Bagamoyo na Dar.

Unapeleka shughuli zote huko watu wengi mpaka wanakosa haja ya kuja mjini Dar, wanakuja mara moja kwa miezi 6 wasiusahau mji tu.

Halafu watu wanaofanya kazi za computer hao unawapa internet ya uhakika tu wanaweza kufanyia kazi kutoka nyumbani hawana hata haja ya kuja ofisini kila siku. Kazi zinaenda kwa email na Project Manager anafuatikia kuhakikisha kila mtu anafanya kazi yake inavyotakiwa. Ukiwa na mtandao wa uhakika na umeme wa kueleweka hiki kinakata sehemu kubwa ya watu wanaohitaji kwenda kazini ohysicalky.

Ila basi watu wanaona haya mambo ya Ulaya na Marekani tu, sisi hatuwezi.
 
umesahau kuwa ardh ina term miaka 33 au 99 serikal ikiamua inasitisha mkataba wako na wao. hati ni just paper na unaambiwa siku rais akiitaka kwa maslah ya umma inachukuliwa. wakaishi wap kwan hakuna pa kuish. hiv u a milion 200 mfukon unaambiwa pisha tujenge kwanza kisha utarud utakosa pa kwenda. ? au unapenda kuona tandale inakaa kwenye maji ya choo maisha yote ukipita pale kwa bi nyau unaziba pua. afadhal afazal alipokuwa makonda alisimamia ule mto upanuz ndio hapo harufu imepu gua
Ni ujuaji au ni ubishi aliojipa toka enzi hizo...hakuna kinachoshindikana ......wale wa pale Magomeni kota walifanyiwa hivyo na serikali na leo wamerudi na wanaishi kwenye yale maghorofa


Ikiwa mtu mmoja anaweza kumudu kununua nyumba moja pale kkoo Kwa Tshs billion 6 atashindwa kununua nyumba 26-30 zenye thamani ya mills 200 !!!???


Kuna matajiri wananunua na wanaendelea kununua nyumba maeneo ya Kurasini na baadhi ya maeneo ya vijibweni na darajani kule kata ya Kigamboni wa ajili ya maegesho tuu ndo washindwe kununua maeneo ya Buguruni

Kupanga ni kuchagua ila sio kusema kuwa haiwezekani kutoa hizo pesa kununua maeneo Kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya nyumba za kupangisha
 
Ttzo sio kutokujua mleta mada, ttzo ni kusoma na kuelewa andiko.....andiko liliainisha kabisa kuwa hizo sqmts zaidi ya laki 2 zinapatikana kwenye maeneo manne tofauti ila wewe sasa ndo ukawa unalazimisha au kuuliza hizo sqmts laki 2 pale sinza zipo wapi!!!!


Kuna wengi hawatolipwa hata hiyo fidia Kwa sababu maeneo waliyojenga ni ya serikali ndo wamiliki na sio Ile kikatiba kuwa ardhi yoote ni Mali ya serikali bali wamiliki ni idara na wizara za serikali



Mfano kule Basihaya ni eneo lililokuwa linamilikiwa na wizara ya maji kipitia idara ya maji .......kule kunduchi ni eneo lililokuwa linamilikiwa na MECCO km unaikumbuka hiyo kampuni lkn pia kwakuwa pale ilikuwa ni vitalu vya madini ,Sheria inaeleza wazi ukimaliza kuyachimba basi eneo linarudi Kwa serikali na sio wewe kuliuza...........Kwa hapo Sinza eneo kubwa pia lipo chini ya Ttcl kupitia wizara husika




Sijajua kuhusu hilo eneo la mkabala na Mlimani city kutokea kule kilipo chuo Cha ardhi km sijakosea ndo lile eneo la survey
Hilo eneo la Survey ni mali ya serikali. Walishalipwa fidia miaka mingi iliyopita. Kulikuwa na ule mradi wa reli kutoka kiwanda cha saruji Wazo Hill mpaka Ubungo. Sijui uliishia wapi.
 
Piga ghorofa 20 kwenda juu tu hapo. Ofisi na apartments.

Panga parking za magari za kutosha.

Ongeza miundombinu ya kuongeza maji. Wekeza kwenye mifumo ya maji ya zimamoto na ofisi/ vifaa vyao.

Weka usafiri wa kueleweka wa mwendokasi.

Panga mitaa na shule, parks, open spaces etc.

Dar es salamm ina population growth rate ya 5%. Kwa rate hii, Dar ita double population kila baada ya miaka 15.

Serikali inatakiwa kujiandaa na mfumuko huu. By 2040 Dar itakuwa na watu mara mbili ya sasa.

Njia pekee ya kueleweka kujiandaa ni kujenga kuenda juu.
Hii mipango siyo Dar pekee,bali ni nchi Nzima. Tunajenga vichuguu bila mpangilio halafu tunasema tuna nyumba.
Kwa hili la mipango miji, lisiwe la Dar pekee, liwe ni swala la muda mrefu na liwe la nchi nzima. Nchi nzima iwe planned, halafu utekelezaji ufuate taratibu. Na hili lisiwe la CHAMA fulani, bali uwe ni mpango wa kitaifa, kwasababu vyama vinaweza kutoka na vikaja vingine.

Nitasubiri nione, wata excute vipi plan hii, fidia zitalipwaje, na wataondolewaje, watapewa muda gani kuondoka baada ya fidia. Na je watapewa maeneo mapya au watajitafutia baada ya fidia?

Wanaweza kutumia ubabe na ikawa, maana hii ni Tangantika.
 
Piga ghorofa 20 kwenda juu tu hapo. Ofisi na apartments.

Panga parking za magari za kutosha.

Ongeza miundombinu ya kuongeza maji. Wekeza kwenye mifumo ya maji ya zimamoto na ofisi/ vifaa vyao.

Weka usafiri wa kueleweka wa mwendokasi.

Panga mitaa na shule, parks, open spaces etc.

Dar es salamm ina population growth rate ya 5%. Kwa rate hii, Dar ita double population kila baada ya miaka 15.

Serikali inatakiwa kujiandaa na mfumuko huu. By 2040 Dar itakuwa na watu mara mbili ya sasa.

Njia pekee ya kueleweka kujiandaa ni kujenga kuenda juu.
Hii movie gani unaangalia!?
 
Piga ghorofa 20 kwenda juu tu hapo. Ofisi na apartments.

Panga parking za magari za kutosha.

Ongeza miundombinu ya kuongeza maji. Wekeza kwenye mifumo ya maji ya zimamoto na ofisi/ vifaa vyao.

Weka usafiri wa kueleweka wa mwendokasi.

Panga mitaa na shule, parks, open spaces etc.

Dar es salamm ina population growth rate ya 5%. Kwa rate hii, Dar ita double population kila baada ya miaka 15.

Serikali inatakiwa kujiandaa na mfumuko huu. By 2040 Dar itakuwa na watu mara mbili ya sasa.

Njia pekee ya kueleweka kujiandaa ni kujenga kuenda juu.
Ongezeko la idadi ya watu, mara mbili kila miaka kumi baada ya 2012 sensa, haliendani na upanuzi wa barabara za Dar ambako sote tunajazana.

Kinachotakiwa kwa Tanroads, kila barabara kubwa mf Morogoro road na Ally Hassan Mwinyi au Mwai Kibaki na kuelekea Mbagala, Kawawa na Mandela na Nyerere Road hadi Chanika inahitaji juu yake kuwe na barabara mbili au tatu zaidi , yaani ngazi tatu mfano wa ubungo interchange iwe kwa njia nzima sio flyover za kwenye junctions tu.

Foleni za Dar hazifai na hatutakiwi kuona ni kitu cha kawaida sababu zinachelewesha sana watu kwenda makazini na kurudisha uchumi nyuma , ajali ni nyingi hasa boda boda na pia foleni zinapunguza wawekezaji wa nje kuja bongo.

Ikifika 2050 nchi ya bongo inaweza kuwa na idadi ya watu milioni 130 na magari yatajaa barabarani Dar bila kusogea maana barabara ni hizi hizi tangu uhuru na watu wenye hali ngumu wanakuja Dar toka bush na wengine hasa huko bush wanazaana kama panya na wengine kununua magari kwa sifa!!

Africa akili zetu zilienda na wakoloni.
 
Umetoa point za maana sana, hongera, lakini Fahamu,
Mapinga pinga chadomo yataanza kuzua maneno ya SHOMBO, ccm songa mbele!...
Katika operation zao wafikirie pia kuitwa VINGUNGUTI.
Mjinga hukimbiiia kutaja vyama badala ya kuelimishwa. Ardhi haina mbadala. Maswali ya msingi lazima yajibiwe. Wamiliki waliopo wanaenda wapi., wanalipwa vipi, je wanabakia hapo kama wabia wa mradi au wanaporwa.
 
Back
Top Bottom