Uko tayari kulipa shilingi ngapi kama tozo ya kuona kaburi la Magufuli pale Chato?

Uko tayari kulipa shilingi ngapi kama tozo ya kuona kaburi la Magufuli pale Chato?

Mkuu uadilifu wa Magufuli ni upi??Tanzania Kiongozi aliyekuwa Mwadilifu kwa kauli na vitendo ni Nyerere&Sokoine tu.
Magufuli alikuwa fisadi kama akina Mkapa,Kikwete na Lowassa.
kumbe tuna uadilifu wa kauli na uadilifu wa vitendo!? nadhani mimi nitamcategorize JPM kama muadilifu wa vitendo for your matter
 
Hapa ulikusudia kusema "Even for free I'll never ever" sawa great thinkers wamekuelewa
Wewe umeongea cha darasani Mimi nimeongea cha kitaani "harlem
labda mimi ndiyo nilipwe ili niende hapo kufanya huo uchuro.
Baada ya kukuona kwenye notification nikasema nije ghafla nikijua nitakuta boom,infact nimekuta boom! Ha ha ha.
 
Binafsi sina kabisa interest na siasa ila nilimpenda JPM kama ambavyo ninampenda baba yangu na watu wengine wengi tu katika jamii, ukweli kuwa watu ninaowakubali huwa au huweza kuwa ....
Hata million nitatoa
 
Siku alipokufa ilikuwa zaidi ya sherehe kwangu, Nilichinja mbuzi na kuku kadhaa...

Labda nikalipake mavi hilo karibu
Naomba Fikra za huyu Manzi ziheshimiwe wazee mwenye Manzi ake atajua cha kumfanya
 
Back
Top Bottom