Father of Chemistry
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 401
- 1,282
Apumzike salamaaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi utafutiwe daktari wa akili,una tatizo!
Wewe umeongea cha darasani Mimi nimeongea cha kitaani "Harlem"Hapa ulikusudia kusema "Even for free I'll never ever" sawa great thinkers wamekuelewa
kumbe tuna uadilifu wa kauli na uadilifu wa vitendo!? nadhani mimi nitamcategorize JPM kama muadilifu wa vitendo for your matterMkuu uadilifu wa Magufuli ni upi??Tanzania Kiongozi aliyekuwa Mwadilifu kwa kauli na vitendo ni Nyerere&Sokoine tu.
Magufuli alikuwa fisadi kama akina Mkapa,Kikwete na Lowassa.
Hivi wewe ndo umejuwa leo. Hiyo inaeleweka tokea mwanzo. Pia na ule upande wa pili.Wengi wenu msiompenda Magufuli mtakuwa vyeti feki, watumishi hewa, mafisadi, wala rushwa, wadhulumaji, magaidi, wavivu, wapiga madili
Wewe umeongea cha darasani Mimi nimeongea cha kitaani "harlemHapa ulikusudia kusema "Even for free I'll never ever" sawa great thinkers wamekuelewa
Baada ya kukuona kwenye notification nikasema nije ghafla nikijua nitakuta boom,infact nimekuta boom! Ha ha ha.labda mimi ndiyo nilipwe ili niende hapo kufanya huo uchuro.
Hata million nitatoaBinafsi sina kabisa interest na siasa ila nilimpenda JPM kama ambavyo ninampenda baba yangu na watu wengine wengi tu katika jamii, ukweli kuwa watu ninaowakubali huwa au huweza kuwa ....
🤣🤣🤣🤣Weka na mabaya yake
Tatizo watu watakufuru wataenda kuabudu badala ya kuhijiTwende tukahij tu tukielew kuwa alikuwa binadamu hata manabii walikosea yeye ni nani ? tukahiji kuenzi mazuri yake basi