fisadi la kuijengea nchi flyovers, SGR, Mwl. Nyerere HED, terminal 3, melis, ndeges, hospitalis, vifaa tibas, nk, nk, nk, nk, nk...........................!Mkuu uadilifu wa Magufuli ni upi??Tanzania Kiongozi aliyekuwa Mwadilifu kwa kauli na vitendo ni Nyerere&Sokoine tu.
Magufuli alikuwa fisadi kama akina Mkapa,Kikwete na Lowassa.
Huu mwandiko ni wa Mwanaharakati HuruBinafsi sina kabisa interest na siasa ila nilimpenda JPM kama ambavyo ninampenda baba yangu na watu wengine wengi tu katika jamii, ukweli kuwa watu ninaowakubali huwa au huweza kuwa na upande wao wa pili ambao siukubali upo wazi pia ila kukiri kuwa nawakubali ni matokeo ya mchanganuo wa jumla ya pande zote mbili.
JPM alikuwa mwadilifu, mwenye kujiamini , msema kweli, mwenye akili kubwa, mwenye maonao, jasiri kwelikweli, mwanasiasa asiyependa siasa za propaganda na Mchapakazi, sifa hizi nzuri na nyingine nyingi alizokuwa nazo ni nani asiyezikubali? kama zile conspiracy za JK kuwa alikuwa anaenda south kula bata usiku asubuhi yuko ikulu Kwa karba ya JPM alitengenezewa conspiracy theory zinazoendana nae pia kama kumuu mwandishi wa habari 😳😳
Anyway to cut a long story short
uko tayari kugharamia shilingi ngapi kama tozo tu ya kuona kaburi la huyu Mwamba achiliambali gharama za nauli na nyinginezo
Mimi naamini ikitokea kaburi la JPM likafunguliwa kwa umma kwenda kulitazama kwa tozo ya Tsh. 10,000 tu mapato yatakayopatikana yanaweza fikia pato la mikoa kama Rukwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] au nasema uongo ndugu zangu?
View attachment 1991803
Hizo ni hoja maarufu kwa watu wenye uwezo finyu wa kufikiri, na kuishia kutoa majibu mepesi kwenye masuala magumu!!Wengi wenu msiompenda Magufuli mtakuwa vyeti feki, watumishi hewa, mafisadi, wala rushwa, wadhulumaji, magaidi, wavivu, wapiga madili
Mimi hata unilipe siendi!!!Hata laki ntatoa, mi ntaenda kuabudu kabisa na intervally ntafanya reccuring trips but annually.
Ukiona MTU anampenda huyo juaWengi wenu msiompenda Magufuli mtakuwa vyeti feki, watumishi hewa, mafisadi, wala rushwa, wadhulumaji, magaidi, wavivu, wapiga madili
Jipe moyohuwezi amini wakiruhusu 3/4 ya watanzania wataenda chato
Kisa una wajihi wa jina pombe Kama yeye?daktanta ama'Wengi wenu msiompenda Magufuli mtakuwa vyeti feki, watumishi hewa, mafisadi, wala rushwa, wadhulumaji, magaidi, wavivu, wapiga madili
upendo mkubwa wa watanzania kwa magufuli hauepukiki hata kama team makasiriko hamtaki kusikiaJipe moyo
na nyie mnaomchukia Samia mpo kundi ganiWengi wenu msiompenda Magufuli mtakuwa vyeti feki, watumishi hewa, mafisadi, wala rushwa, wadhulumaji, magaidi, wavivu, wapiga madili
kuna ka mtazamo kuwa wanaompenda Magufuli wanamchukia Samia sijui hata kanatupeleka wapi binafsi (nadhani kuna wengi tu kama mimi) sina chuki kwa Samia so far (namuheshimu kama mkuu wa nchi tu) ila simpendi na kumkubali kama Ninavyomkubali Magufulina nyie mnaomchukia Samia mpo kundi gani
Walikutaarifu[emoji15][emoji15]huwezi amini wakiruhusu 3/4 ya watanzania wataenda chato