To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣KwannHao hawawezi watamuonea sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣KwannHao hawawezi watamuonea sana
Amezidi mno kupretend ( anajikuta Mtume Paul )ilhali kiuhalisia sivyo alivyo. Wewe na Evelyn mko wachangamfu sana kiasi kwamba sidhani kama mnaweza kuendana na mwanaume wa kaliba ya mleta Uzi [emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwann
Kabisa,atapoteana mazimaAmezidi mno kupretend ( anajikuta Mtume Paul )ilhali kiuhalisia sivyo alivyo. Wewe na Evelyn mko wachangamfu sana kiasi kwamba sidhani kama mnaweza kuendana na mwanaume wa kaliba ya mleta Uzi [emoji1]
Umpate mwanaume charming halafu wakati Fulani awe serious hasa "akikuweka" aungurume kama dume la Simba, awe shababi haswaa hapo nahisi mtaenda sawaKabisa,atapoteana mazima
Kabisa...kwangu mwanaume inatakiwa awe mwanaumeUmpate mwanaume charming halafu wakati Fulani awe serious hasa "akikuweka" aungurume kama dume la Simba, awe shababi haswaa hapo nahisi mtaenda sawa