Ukokotoaji wa bei ya petroli kwa mwezi June baada ya ruzuku ya Sh 100 billion huu hapa: Bei inapaswa kupungua kwa zaidi ya asilimia 60%

Boss,Hizi hesabu mnazopiga zote zinachukulia kuwa hiyo ruzuku ya 100bn ni kwa mwezi June tuu.Kama hivyo ni sahihi maana yake kuanzia July tutarudi kwenye bei za kawaida bila ruzuku!?
Ndo hivyo?
Bunge la bajeti ya mwaka unaoanzia Julai mosi 2022 hadi 30 June 2023 litapanga hizo pesa za ruzuku na kiasi chake.
 
Kwa maroli ajira watch out
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…