Ukoloni mamboleo unaitafuna Kenya

Ukoloni mamboleo unaitafuna Kenya

Umeonaeeee
Mkuu mimi najua Nairobi vizuri
Wazungu mkiwaita Tanzania mnawaita wawekezaji lakini wakiwekeza Kenya mnawaita wakaloni
Hao hao wakileta msaada mnawaita wahisani
Wakiuliza msaada wao umetumika vipi mnawaita mabeberu
Ndumilakuwili
 
Mkuu mimi najua Nairobi vizuri
Wazungu mkiwaita Tanzania mnawaita wawekezaji lakini wakiwekeza Kenya mnawaita wakaloni
Hao hao wakileta msaada mnawaita wahisani
Wakiuliza msaada wao umetumika vipi mnawaita mabeberu
Ndumilakuwili
Hakuna msaada utakaoinua taifa. No free lunch allover the world. Tangu tupate uhuru tunapata misaada isiyotusogeza popote. Mataifa yamejaa madeni hata kwa ambao hawajazaliwa.

But Kenya na misaada ni kama uji na mgonjwa. Wakenya
 
Hakuna taifa limeendelea kwa wananchi wake kutangatanga kila mahali. Wakenya wengi ni cheap labor kwa mataifa ya wazungu. Wakoloni walitupeleka ulaya kwa majahazi kama watumwa kwenda kuwafanyia kazi zao, lakini sasa wakenya hawapelekwi tena kwa majahazi kama watumwa kufanya kazi ulaya na marekani sasa hivi miaka 60 baada ya uhuru wakenya wanatoroka nchi yao kwenda ulaya, marekani na uarabuni kufanya kazi za kitumwa zilezile eti green pastures!!
Mkuu umewahi kwenda ughaibuni?
Je unajua wa bongo kazi zao huko?
Je wajua wakenya ni wasomi na kila nchi wanafanya kazi smart sana?
Wabongo Sisi huko viwanja ni aibu mpaka kuongea kiswahili ni aibu
 
Mkuu umewahi kwenda ughaibuni?
Je unajua wa bongo kazi zao huko?
Je wajua wakenya ni wasomi na kila nchi wanafanya kazi smart sana?
Wabongo Sisi huko viwanja ni aibu mpaka kuongea kiswahili ni aibu

Wewe ni mjinga kabisa. Wewe juzi juzi tu hujawahi ona mayaya wakikenya waliyotelekezwa mitaani na vitoto vyao huko Syria? Eti kila mkenya!!!?
 
Wewe ni mjinga kabisa. Wewe juzi juzi tu hujawahi ona mayaya wakikenya waliyotelekezwa mitaani na vitoto vyao huko Syria? Eti kila mkenya!!!?
Bro I am Tanzanian who live abroad
Please control your language
Hao mayaya kutoka pwani ya Kenya kule uarabuni wapo kweli na wengine wanatoka Tanga, Zanzibar nk
Lakini ukweli utabaki pale pale Wakenya wengi wao waliopo ughaibuni wanafanya kazi smart kwa sababu ni wasomi na Wabongo wanabangaiza kwa sababu wengi wametoka vijiweni
Kubali ukatae Kenya wametuzidi kila kitu
 
80% of tanzanians are tilting their own lands. Land is abundant, water bodies, forests, national parks, natural gas, animals husbandry . guys tanzania can survive without bagging.

In kenya migomo ni kila siku, wakora wengi.

Kibera and mathare slums are the evidence for the poverty in kenya. They are waiting for help from abroad to rebuild Kibera
Tanzania ni nchi tajiri naturally but very poor in reality
Mpaka Leo huku kwetu kusini ambako kuna gesi nyingi watoto bado wanasoma chini ya miti.. Maji tunafuata kilometre kadhaa
Shule za secondary haba sana
Wakenya hawana gesi wala madini lakini huduma za jamii wametupita
Kuhusu migomo ni demokrasia Tanzania hatuwezi kugoma hata korosho zetu zikichukuliwa.. Miaka Mingi hakuna nyongeza ya mishahara tukigoma tutafukuzwa kazi na kupewa kesi za uhujumu na kutakatisha fedha
 
India ina watu billion 1.3, wanayo demokrasia na nchi inatawalika vizuri sana.
Ile ngazi waliyoitumia wazungu kupandia juu waliko kiuchumi wameiondoa na kuificha na pengine wameichoma moto kabisa.

Kiuchumi wazungu walifika pale walipo kwa kufunja haki za binadamu na kwa kukanyaga sheria na demokrasia. Walikusanya mitaji ya uwekezaji kwa kutumia njia zisizokubalika kama vile kupora makoloni, kufanyakazi kwa masaa mengi bila kujali umri kwa ujira mdogo, walitumia watumwa bure na kukanyaga demokrasia na usalama pahala pa kazi. Hawakuwa na malipo ya ajali kazini au pension.

Walipohakikisha kuwa wao tayari wana uhakika wa mitaji na masoko duniani wakatulazimisha sisi wadogo kabisa tujali haki za binadamu, demokrasia, usalama kazini, malipo ya ajali kazini, uhuru wa kuabudu, mifuko ya kijamii ya pension, kulipia huduma za kijamii kama shule, hospitali, maji, nk. Nchi zetu hizi changa haziwezi kupiga hatua kimaendeleo kama zitakumbatia uhuru wa sheria, democrasia, usalama kazini, utunzaji wa mazingira, haki za binadamu, uhuru wa kuandamana, vyama vingi, uchaguzi kila miaka 5, nk. Tutatumia muda na rasilimali nyingi sana Afrika kuhangaikia mambo hayo.

Nchi kama za China, N Korea, Asia ya kati, Asia ya mbali, Rwanda, nk zinapiga hatua kiuchumi kwa kuachana na mambo ya haki za binadamu, utawala wa sheria, democrasia, nk. China ina watu zaidi ya 1 bn, kama wakiruhusu demokrasia haitatawalika na watashindwa kuwalisha.

Kenya ni taifa dogo sana, demokrasia, sheria, haki za binadamu, malipo halali kwa wafanyakazi, nk ni ghali sana to undertake kwenye ulimwengu ambao masoko yote yanadhibitiwa na wazungu. Utapata wapi fedha za kuendeshea mfumo wa vyama vingi, sheria, bunge, na serikali?. Jaji anasema uchaguzi ufutwe maana yake taifa litumie hela na muda tena kurudia uchaguzi huku wananchi hawana maji, umeme, madawati shuleni, chakula, madawa, barabara, madawati. Hatuwezi kuendelea milele, na hii sio kwa bahati mbaya bali tulitegeshewa na wakoloni ili tusiende mbele.
 
Hakuna kitu kibaya kama kutawaliwa fikra. Kujiona haufai na Wengine ndio bora. Njia zako hazifai na za wengine ndio bora.

Kuitupa historia yako na kuruhusu wengine wakutumie kuiandika kwa namna watakavyo wao na kwa mrengo wao.

Hiyo ni Assimilation...yes, ile ile ya Wafaransa na Makoloni yao.. na kama french colonies, Wenzetu wako waaaay deep hawaoni utofauti..

Be free.. be you in peace. Cheers.
 
Tanzania ni nchi tajiri naturally but very poor in reality
Mpaka Leo huku kwetu kusini ambako kuna gesi nyingi watoto bado wanasoma chini ya miti.. Maji tunafuata kilometre kadhaa
Shule za secondary haba sana
Wakenya hawana gesi wala madini lakini huduma za jamii wametupita
Kuhusu migomo ni demokrasia Tanzania hatuwezi kugoma hata korosho zetu zikichukuliwa.. Miaka Mingi hakuna nyongeza ya mishahara tukigoma tutafukuzwa kazi na kupewa kesi za uhujumu na kutakatisha fedha
eti nini😂😂😂😂😂😂 ujafika kenya wewe
 
The most stupid commentary I have read this year, ujinga mtupu, hizi ni stories za abunwasi[emoji23][emoji23]
Kwa sababu hujui maisha yalivyo ndiyo maana unakurupuka tu na kutoa upuuzi usio na maana. Wewe una IQ ndogo sana ya kujiulizwa wewe mwenyewe kwa nini mambo kama haya yanatokea Kenya. Unaijua jinsi Kenya ilivyo wewe au unadakia tu mambo?
 
Bro I am Tanzanian who live abroad
Please control your language
Hao mayaya kutoka pwani ya Kenya kule uarabuni wapo kweli na wengine wanatoka Tanga, Zanzibar nk
Lakini ukweli utabaki pale pale Wakenya wengi wao waliopo ughaibuni wanafanya kazi smart kwa sababu ni wasomi na Wabongo wanabangaiza kwa sababu wengi wametoka vijiweni
Kubali ukatae Kenya wametuzidi kila kitu
what do you mean by kazi smart. Wazungu wenyewe wanahangaika na unemployment, wewe mgeni utapataje kazi smart kwa malipo smart? Hao wanafanya zile kazi ambazo wazungu hawazipendi at all, na wakenya wanafanya hizo kazi bila ku negotiate habari za mshahara wala usalama kazini, wacha kuwa cheap labor ugenini, rudini nyumbani mjenge nchi zenu.
 
what do you mean by kazi smart. Wazungu wenyewe wanahangaika na unemployment, wewe mgeni utapataje kazi smart kwa malipo smart? Hao wanafanya zile kazi ambazo wazungu hawazipendi at all, na wakenya wanafanya hizo kazi bila ku negotiate habari za mshahara wala usalama kazini, wacha kuwa cheap labor ugenini, rudini nyumbani mjenge nchi zenu.
Ndugu cheap labour ya uingereza tofauti na kazi ya maana bongo
Hakuna mtu anapenda kufanya kazi au kuishi ugenini lakini Hali Ndio inatulazimu
Bongo kuna ndugu zangu wanaelimu ya juu wanafanya kazi lakini kipato kidogo sana wengine hawana kazi kabisa
Wakenya wanafanya kazi nzuri kwa sababu ni wasomi na wanakubalika na hao mnaowaita mabeberu
 
Back
Top Bottom