Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #61
niko Dodoma na sijakutana na mkoma hata mmoja. hao wakoma wapo wapi? au unamaanisha hawa machangudoa wanaofuata wabunge hapa?
Kweli makao makuu ya vitu vya hovyoPia gereza la kunyonga waliohukumiwa kifo lipo Dodoma,
HaaKweli makao makuu ya vitu vya hovyo
Na tozo makao makuu yake ni hukohuko
Dodoma Kila Kitu Cha Ajabu Ni Huko HukoNa tozo makao makuu yake ni hukohuko
ππ€£π ππππππππNdiyo Ukweli WenyeweNinaishi Dom zaidi ya miaka 9 kimsingi maisha yapo juu pesa ngumu nataka kulala mbele soon
Huwezi kufanikiwa hapo kwenye madhabahu hiyo inayoachilia upofu, ukoma, ufukara, ukoma nk bila kusimamisha madhabahu yako yenye nguvuNinaishi Dom zaidi ya miaka 9 kimsingi maisha yapo juu pesa ngumu nataka kulala mbele soon
834kjMaji Ya Magadi Yanatoka Mzakwe Jeshini Ukioga, Kufua, Unapauka Mpaka Upake Grease
Kijiji cha ujamaa Mwenge kilijengwa na czechslovakia, wale ndio waliobeba wazo lile, halikuwa wazo la mchongaHis idea was very good. But implementation went wrong, for instance look at What was Mwenge village in Dar es Salaam it was built to be an example of Ujamaa village in Tanzania. I stand to be corrected.
Wanajiua huko834kj
ππ€£π πππππWanajiua huko
Kuwahi Kuwepo Hapa TanzaniaDodoma Ni Mkoa wa hovyo sn[emoji3525]
Dodoma maji wanayoa SwaswaMaji Ya Magadi Yanatoka Mzakwe Jeshini Ukioga, Kufua, Unapauka Mpaka Upake Grease
Lakini hauzidi Kilimanjaro na Kigoma.Dodoma Ni Mkoa wa hovyo sn[emoji3525]
Yote haya ni karma ya kuivamia Zanzibar Na kuuwa maelfu ya watu . Na hii haitaondoka mpaka Tanganyika iombe radhi na kuipa uhuru ZanzibarYaani mji mzima umejaa wakoma na upofu, halafu haya ndio makao makuu ya nchi.
Hii taswira inafikirisha sana, sijui kwanini walichagua mahali penye laana ya ukoma na upofu ndio pawe makao makuu ya nchi?
Matokeo yake uchumi wetu una ukoma, soka letu lina ukoma, maendeleo yetu yana ukoma, miradi yetu tuliuoiita miradi mikubwa ya kimkakati imejaa ukoma, sio wa treni ya mwendokasi, wala sio bwawa la kuzalisha umeme kule Rufiji tulikokata zaidi ya miti milioni mbili, kote kumejaa ukoma.
Sasa tunafikiria kwamba tozo zinaweza kutuponya na ukoma, huku ni kujidanganya.
Njoo Dar. Maisha kawaida na pesa inapatkanaNinaishi Dom zaidi ya miaka 9 kimsingi maisha yapo juu pesa ngumu nataka kulala mbele soon
Yulemzee nikimfikiriaga, sjui alikuwa anajikuta nan katuletea wahindi yamejazana kama nyanya,yanasumbua mpaka sasa. hapo ndonlipo mshusha vyeoHivi Nyerere na akili zake zote, ilikuwaje akatuletea mwenge uwe ndio mungu wa taifa?