Ukoma wa Dodoma unavyoliathiri Taifa

Ukoma wa Dodoma unavyoliathiri Taifa

His idea was very good. But implementation went wrong, for instance look at What was Mwenge village in Dar es Salaam it was built to be an example of Ujamaa village in Tanzania. I stand to be corrected.
Kijiji cha ujamaa Mwenge kilijengwa na czechslovakia, wale ndio waliobeba wazo lile, halikuwa wazo la mchonga
 
Yaani mji mzima umejaa wakoma na upofu, halafu haya ndio makao makuu ya nchi.

Hii taswira inafikirisha sana, sijui kwanini walichagua mahali penye laana ya ukoma na upofu ndio pawe makao makuu ya nchi?

Matokeo yake uchumi wetu una ukoma, soka letu lina ukoma, maendeleo yetu yana ukoma, miradi yetu tuliuoiita miradi mikubwa ya kimkakati imejaa ukoma, sio wa treni ya mwendokasi, wala sio bwawa la kuzalisha umeme kule Rufiji tulikokata zaidi ya miti milioni mbili, kote kumejaa ukoma.

Sasa tunafikiria kwamba tozo zinaweza kutuponya na ukoma, huku ni kujidanganya.
Yote haya ni karma ya kuivamia Zanzibar Na kuuwa maelfu ya watu . Na hii haitaondoka mpaka Tanganyika iombe radhi na kuipa uhuru Zanzibar
 
Hivi Nyerere na akili zake zote, ilikuwaje akatuletea mwenge uwe ndio mungu wa taifa?
Yulemzee nikimfikiriaga, sjui alikuwa anajikuta nan katuletea wahindi yamejazana kama nyanya,yanasumbua mpaka sasa. hapo ndonlipo mshusha vyeo
 
Back
Top Bottom