Ukomavu wa Freeman Mbowe unashangaza! Pamoja na kushambuliwa na wengi lakini hajawahi kulipa kisasi

Ukomavu wa Freeman Mbowe unashangaza! Pamoja na kushambuliwa na wengi lakini hajawahi kulipa kisasi

Pamoja na mashambulizi makali toka kwa Msigwa, Mbowe yupo kimya.

Wengine wanatafsiri kama kiburi cha umiliki wa chama. Kule nchi za watu ukilaumiwa na wanachama wenzako unajiuzulu, mfano former UK PM, Johnson alijuzulu baada ya kulaumiwa kuwa "alikula bata" wakati wa lockdown ya Corona .

Hata huyu wa sasa, Sunak Jana kaomba radhi kweli kweli baada ya kuikimbia D-Day na kwenda kupiga kampeni.
Wanaomtuhumu Mbowe ni akina nani na wako wangapi?

Unatuhumu baada ya kushindwa uchaguzi! kwamba kama ungeshinda ingekuwaje?

Huo ni unafiki
 
Unatuhumu baada ya kushindwa uchaguzi! kwamba kama ungeshinda ingekuwaje?
Kwa kweli Msigwa kaonesha utoto sana ktk hilo. Mara baada ya uchaguzi alimtoa pongezi akaoneaha ukomavu wa kisiasa. Siku 2 baadaye akaja na ngonjera za malalamiko. Hii ni Ishara kwamba alishikwa masikio na mnunuzi wa wanasiasa.

Hata hivyo ni busara Mbowe kutogombea uenyekiti mwaka huu. Na msithubutu kusogeza mbele uchaguzi wa mwenyekiti eti ufanyike baada ya uchaguzi mkuu. Itawakaanga vibaya mno kwenye kampeni.

Lkn
 
Kwa kweli Msigwa kaonesha utoto sana ktk hilo. Mara baada ya uchaguzi alimtoa pongezi akaoneaha ukomavu wa kisiasa. Siku 2 baadaye akaja na ngonjera za malalamiko. Hii ni Ishara kwamba alishikwa masikio na mnunuzi wa wanasiasa.

Hata hivyo ni busara Mbowe kutogombea uenyekiti mwaka huu. Na msithubutu kusogeza mbele uchaguzi wa mwenyekiti eti ufanyike baada ya uchaguzi mkuu. Itawakaanga vibaya mno kwenye kampeni.

Lkn
Nitamshawishi Mbowe agombee natamka wazi kabisa bila kificho
 

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, ambaye Wachambuzi wanamueleza kama ndiye bingwa wa siasa za Kisasa kwenye Ukanda wa eneo la Maziwa Makuu, Anashangaza sana!

Pamoja na kushambuliwa, Kudhalilishwa na kutukanwa hata Matusi ya nguoni, tena wakati mwingine anatukanwa na watu ambao amewakuza na kuwalea kisiasa na kimaisha, Lakini hakuwahi kuwajibu, Kulipa kisasi wala hata kupambana nao, mara zote amekuwa kama Kaka Mkubwa au kama Mzazi, ambaye anaamini kwamba Mtoto akinyea mkono basi usiukate, chukua maji na sabuni uoshe utatakata tu .

Nikiwa kama Mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa kimataifa na Mbobevu wa siasa za Tanzania nimempigia simu Mwamba huyu na kumuuliza kwanini asiitishe Press ili kufafanua Tuhuma na matusi dhidi yake kutoka kona mbalimbali, ambayo inaonekana kama yanamchafua?

Kwanza alinijibu kwa ufupi kwamba NO COMMENT, hapa alilenga kunikatisha niishie hapo na nisiendelee tena kumuuliza chochote kuhusu hilo, lakini nilipombana sana Mwamba huyo alisema kwamba hatojibu hoja ambazo zinahusu, kashfa, Matusi kwake binafsi, na kwa kadri ya kumbukumbu zake matusi na kashfa dhidi yake ni nyingi mno na isingekuwa rahisi kuzijibu na wala hazina tija yoyote, Na kwamba yuko tayari kujibu maswala yote yanayohusu Chadema na mipango yake.

Sasa kwa vile hoja zangu zilihusu Mashambulizi anayoyapata yeye binafsi, na wala haikuwa masuala ya Chadema kama Chama ikabidi niishie hapo .

Swali langu ni hili, Mtu huyu ana Moyo wa aina gani kiasi cha kuvumilia mambo haya?

Pia soma:
Kakomaa kisiasa na anazishinda hisia
Namkubali kwa Hilo

Lakini aangalie uwezekano wa kuachia kiti Cha uenyekiti
 
Kipindi Mbowe anagombea u -Rais, alikuwa anapata kura kidogo sana kuliko hata Lipumba na CUF yake. Sasa sijui ubingwa wa siasa kwenye maziwa makuu kaupatia wapi..?🤣🤣🤣
 
Kipindi Mbowe anagombea u -Rais, alikuwa anapata kura kidogo sana kuliko hata Lipumba na CUF yake. Sasa sijui ubingwa wa siasa kwenye maziwa makuu kaupatia wapi..?🤣🤣🤣
ni mwaka gani? na huyo Lipumba yuko wapi leo?
 

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, ambaye Wachambuzi wanamueleza kama ndiye bingwa wa siasa za Kisasa kwenye Ukanda wa eneo la Maziwa Makuu, Anashangaza sana!

Pamoja na kushambuliwa, Kudhalilishwa na kutukanwa hata Matusi ya nguoni, tena wakati mwingine anatukanwa na watu ambao amewakuza na kuwalea kisiasa na kimaisha, Lakini hakuwahi kuwajibu, Kulipa kisasi wala hata kupambana nao, mara zote amekuwa kama Kaka Mkubwa au kama Mzazi, ambaye anaamini kwamba Mtoto akinyea mkono basi usiukate, chukua maji na sabuni uoshe utatakata tu .

Nikiwa kama Mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa kimataifa na Mbobevu wa siasa za Tanzania nimempigia simu Mwamba huyu na kumuuliza kwanini asiitishe Press ili kufafanua Tuhuma na matusi dhidi yake kutoka kona mbalimbali, ambayo inaonekana kama yanamchafua?

Kwanza alinijibu kwa ufupi kwamba NO COMMENT, hapa alilenga kunikatisha niishie hapo na nisiendelee tena kumuuliza chochote kuhusu hilo, lakini nilipombana sana Mwamba huyo alisema kwamba hatojibu hoja ambazo zinahusu, kashfa, Matusi kwake binafsi, na kwa kadri ya kumbukumbu zake matusi na kashfa dhidi yake ni nyingi mno na isingekuwa rahisi kuzijibu na wala hazina tija yoyote, Na kwamba yuko tayari kujibu maswala yote yanayohusu Chadema na mipango yake.

Sasa kwa vile hoja zangu zilihusu Mashambulizi anayoyapata yeye binafsi, na wala haikuwa masuala ya Chadema kama Chama ikabidi niishie hapo .

Swali langu ni hili, Mtu huyu ana Moyo wa aina gani kiasi cha kuvumilia mambo haya?

Pia soma:
Lakini, hataweza kuja kusema wakati akiwa kwenye kazi ya kulipa kisasi, maana visasi vya wasio na mamlaka makubwa haviwi hadharani.

Na kwa kawaida vigogo walio katika siasa kitambo, majibu yao kwa watu waliowakera huyatoa kwa kutumia 'chawa' wao. Hawajibu wenyewe.

Ova
 
Enzi sinafedha ,nilikuwa mdomo wazi ,kweli
Kwasasa hua napuuzia ila sio usalama wangu

Lakini
Kama unamsema Lisu ,funga mdomo wako
 

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, ambaye Wachambuzi wanamueleza kama ndiye bingwa wa siasa za Kisasa kwenye Ukanda wa eneo la Maziwa Makuu, Anashangaza sana!

Pamoja na kushambuliwa, Kudhalilishwa na kutukanwa hata Matusi ya nguoni, tena wakati mwingine anatukanwa na watu ambao amewakuza na kuwalea kisiasa na kimaisha, Lakini hakuwahi kuwajibu, Kulipa kisasi wala hata kupambana nao, mara zote amekuwa kama Kaka Mkubwa au kama Mzazi, ambaye anaamini kwamba Mtoto akinyea mkono basi usiukate, chukua maji na sabuni uoshe utatakata tu .

Nikiwa kama Mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa kimataifa na Mbobevu wa siasa za Tanzania nimempigia simu Mwamba huyu na kumuuliza kwanini asiitishe Press ili kufafanua Tuhuma na matusi dhidi yake kutoka kona mbalimbali, ambayo inaonekana kama yanamchafua?

Kwanza alinijibu kwa ufupi kwamba NO COMMENT, hapa alilenga kunikatisha niishie hapo na nisiendelee tena kumuuliza chochote kuhusu hilo, lakini nilipombana sana Mwamba huyo alisema kwamba hatojibu hoja ambazo zinahusu, kashfa, Matusi kwake binafsi, na kwa kadri ya kumbukumbu zake matusi na kashfa dhidi yake ni nyingi mno na isingekuwa rahisi kuzijibu na wala hazina tija yoyote, Na kwamba yuko tayari kujibu maswala yote yanayohusu Chadema na mipango yake.

Sasa kwa vile hoja zangu zilihusu Mashambulizi anayoyapata yeye binafsi, na wala haikuwa masuala ya Chadema kama Chama ikabidi niishie hapo .

Swali langu ni hili, Mtu huyu ana Moyo wa aina gani kiasi cha kuvumilia mambo haya?

Pia soma:
Umenikumbiusha Marehemu Chacha Wangwe na Zitto Kabwe! Ahahahahaha!!!
 
Back
Top Bottom