oVp mkuu ni mchongo gani hujapata kwasababu wewe ni mwembamba? Au kuna dem kakwambia una mkwaza kwa wembamba wako?
Mwili wake upo vizuri tuAkiwa na moyo wa kuridhika anapata body.
Demu wake hataki hilo anataka awe kama Nay wa Mitego vile π€£π€£π€£Mwili wake upo vizuri tu
Yani hapo ndo atakonda kisenge...humuoni Snoppy alivo pamoja na hela zote alizonazo..ganja sio ya mchezomchezoAnza kuvuta bangi 3Γ per day
Hutaki ninenepe my dear?Ole na wewe uje kuomba jinsi ya kunenepa humu ..
Basi sio saizi yake huyo π πDemu wake hataki hilo anataka awe kama Nay wa Mitego vile π€£π€£π€£
Unenepe kwani wewe ng'ombeππββοΈπββοΈπββοΈHutaki ninenepe my dear?
Kitaalamu sikushauri kabisa cheki kwanza BMIAhsante mkuu ila kwa sasa nataman mwili flani wenye kitambi maana kila kitu kinanafasi yake kulingana na sehem uliyopo mwili wangu unaninyima michongo mingi kutokana na kutaminika kwa watu ninaotakiwa kufanya nao kazi
ππSasa mbona wewe mnene mkuu embu acha masihara halafu shukuru wewe ni mfupi. Sisi ni vimbau mbau halafu ni warefu.Mimi huyooView attachment 1172843
Hivi kumbe una maneno hiviππUnenepe kwani wewe ng'ombeππββοΈπββοΈπββοΈ
Ujinga wa demu ukishanenepa na kitambi ataanza kukuzodoa hata hupendezi kama zamani.π€£π€£π€£Basi sio saizi yake huyo π π
snoop na wiz hawapati mlo kamiliYani hapo ndo atakonda kisenge...humuoni Snoppy alivo pamoja na hela zote alizonazo..ganja sio ya mchezomchezo
Asante mkuu nimedandia huu ushauri, mi mwenyewe ni mwembamba hadi naogopa kupima uzito ingawa nachukulia poa tu sijawai kujishughurisha na hilo, ila ushauri wako nitaufanyia kazi na mimi nione.
Wanagonga mamisosi heavy ila ndo hivo maganja yana wanyonya miili....snoop na wiz hawapati mlo kamili