Ukosefu wa ajira Vijana wa kiume wamegeukia bodaboda vijana wa kike wamegeukia kujiuza

Ukosefu wa ajira Vijana wa kiume wamegeukia bodaboda vijana wa kike wamegeukia kujiuza

Alafu tunaishia kutukanwa wanaume wa sikuhizi hatuna pesa. Hebu fikiria wanawake wote wanaouza baa Tanzania hii ni wangapi jumlisha na hao malaya wanaojiuza wazi na kwenye mitandao, njoo kwenye hizi saluni za kiume vinyozi wawili lakini mabinti wa kukusafisha wajepinga watano. Hao woote wanalishwa na wanaume. Mishahara ya mabaa medi haifiki laki lkn angalia wanavyomiliki, hizo ni pesa za wanaume zinawatunza. Tunataka haki sawa,,, sawa ya nyoko.
True
 
Alafu tunaishia kutukanwa wanaume wa sikuhizi hatuna pesa. Hebu fikiria wanawake wote wanaouza baa Tanzania hii ni wangapi jumlisha na hao malaya wanaojiuza wazi na kwenye mitandao, njoo kwenye hizi saluni za kiume vinyozi wawili lakini mabinti wa kukusafisha wajepinga watano. Hao woote wanalishwa na wanaume. Mishahara ya mabaa medi haifiki laki lkn angalia wanavyomiliki, hizo ni pesa za wanaume zinawatunza. Tunataka haki sawa,,, sawa ya nyoko.
😀😀
 
Kujiuza ni tabia na Wala hakusababishwi na ugumu wa maisha.
Kila Malaya ana history yake.
 
Mama kwa mwezi anaingiza milion 3 yaani kila siku anacheza mchezo wa laki huyo ni tajiri Sasa anamzidi hata mtumishi wa Serikali mwenye masters.
 
Pesa haramu ni tamu na rahisi kuipata waambie pesa wapatazo wapi wanapeleka utakuta zinaishia kwenye starehe.
 
Mimi ninachojua, japo wanatafuta pesa ya kuka kweli, ila uhakisia ni kwamba hiyo ni starehe kwao pia, ndio maana moe
Malaya milioni 50 leo, keshoxutamkuta anajiuza, ile pesa atanunua nyumba labda ili awe anaingiza wateja ndani kwa uhuru. Ni starehe hii jamani.
Ni ishu za kiroho zao.
Malaya ni mtu aliyeuza nafsi yake kwa shetani atumike Kama wakala wa kusambaza magonjwa ya kiroho na kimwili.
Thus nafsi zao zikikomboka mtu anaacha na kuuchukia kabisa ushoga, umalaya,wizi,uuaji nk na kujitia kabisa maisha hayo.
Kujutia au kuhisi hatia ni hali ya nafsi kurudi.
 
Malaya, kibaka,teja hata umpe milion 100 kesho ataendelea kuuza.
Ni sawa na mzoea rushwa ofisin hawezi acha hata umpe mshahara milion 10,elf tano aachi.
 
Usisahau kubeti.

Khalifa wa The Chanzo alikuwa anaongelea hili janga na Jenerali Ulimwengu.

Bora ubeti kuliko kufikiri kuwa Mungu hayupo.

Karibu Kanisani Jumamosi
 
Mama kwa mwezi anaingiza milion 3 yaani kila siku anacheza mchezo wa laki huyo ni tajiri Sasa anamzidi hata mtumishi wa Serikali mwenye masters.
Usiamini sana hizo habari kuwa wakati wanakatisha wiki hawajaguswa na ndo maana wanaenda sana kwa waganga
 
Sina uhakika wa takwimu za ukosefu wa ajira lakini nimefanya uchunguzi wangu makini kabisa kutoka na uzoefu wangu wa jiji. Nia yangu siku zote ni kufanyakazi za kijamii baada ya kazi zangu za kuajiliwa na wachina.

Katika pita pita zangu nimegundua vijana wengi sana ambao awali walikuwa makondakta na wafanyakazi na vibarua viwandani wamegeukia kazi ya bodaboda.
Barabara mbovu na foreni na ukosefu wa mipango miji umefanya bodaboda kuwa nyingi sana na maarufu.

Lakini kwa Mshangao nimegundua bodaboda zimeitikiwa kwa mwingi na jinsia ya kiume kuliko ya kike. Je jinsia ya kike amboa ndio idadi kubwa wako wapi?

Nilikazunguka kwenye masoko mengi nikagundua muitikio wa wanaume na wanawake ni 50/50 katika eneo la masoko na maduka.
Nikaenda kwenye ma club za usiku na sehemu mbali mbali nikagundua bado mwitikio wa wanawake na wanaume ni 50/50 hakuna wanawake wengi sana. Nikajiuliza jinsia ya kike iko wapi?

Nikatembele dangulo Moja maalufu lipo sinza. Hili dangulo ni nyumba ya kulala wageni. Humo wanawake hupanga na kuishi kama eneo la kazi. Nilipewa na mhudumu wa baa Moja nikaambiwa hapo Kuna mama na mwanae so ni Hague mama au mtoto nikatoa hela ya udalali Elfu 5 nikapewa namba ya mtoto. mwanae wamepanga hapo guest Moja wanalipa kila siku Elfu 10.

Ikabidi nijifanye mteja ila mwisho wa siku nikamwambia sijisikii kufanyachochote tukaanza story. Akaniambia baada ya masaa mawili nimlipe 50k.

Tukaongea mengi akaniambia alipomaliza degree chuo cha ustawi wa jamii mama yake alimpa milioni tano kama mtaji wa mpesa ili afanya biashara asikae nyumbani tuu. Akamkodia banda mitaa ya misugusugu Kibaha. Kwahiyo kila siku alikuwa naamka kutoka mbezi ruisi(mbezi magufuri stand) ambapo mama yake amejenga mpaka Kibaha.

Mwanzoni biashara ilikuwa nzuri tu sana mpaka tamaa ya Maisha mazuri na Ushawishi wa ujana ukamuingia. Akaanza mahusiano na mtoto mmoja wa Tajiri ambae kwao wanamiliki Sheli za mafuta. Sasa kutoka na kijana bado Hana kipato anatumwatumwa tu na familia wakatumia mtaji taratibu mpaka ukaisha. Mtaji ulivyoisha kijana akambadilikia wakaachana. Sasa Hawezi kumwambia mama yake ikabidi anze kujiuza kwa madereva wa malori taratibu kwasababu misugusugu Kuna malori mengi sana.

Alinieleza mengi sana mpaka mama yake akaja kujua kuwa biashara imekufa. Mama yake alivyojua mtaji umekata alilia sana usiku kucha. Akasema maneno magumu sana ambayo yalimfanya akimbie usiku uleule.
Akawambia Ile hela amepata kwenye group la danguro ambalo kila siku wacheza laki moja. Akawambia mwangu kupata laki moja Kwa siku nalala na wanaume watano mpaka kumi kwa siku. Sasa wewe unaenda kuhonga hela yote.

Anasema alivyomalizia tu hiyo sentensi tu walikimbia nje kachukua bodaboda anakimbia Moja kwa Moja akaenda sinza.

Kwakuwa ni mzoefu wa maeneo ya sinza akienda kwa Rafiki yake ambae anamjua amepanga sinza na amejisomesha kwa biashara ya kuuza mwili.
Ilikuwa saa Moja asubuhi akamkuta wakasalimiana. Yale maneno yakawa yanajirudiarudia maana alilelewa bukoba kwa bibi yake ambapo nyumbani kwao Ndugu zao wanajua mama yake ni nesi katika hospital ya Jeshi hivyo huenda huko week Moja Juma nne ndio yupo off.

Alimaliza form six na kujiunga Moja kwa Moja chuo cha ustawi mpaka alivyohitimu chuo na kurudi nyumbani na kwakuwa mama ahakumlea hakuwa na karibu sana na mama yake.

Toka siku hiyo nikaanza rasmi hii kazi. mama yake alikuwa kwenye danguro la mwananyamala hospital na Sasa amemuingiza kwenye magroup ya telegram ambayo hupata wateja na kuwafata hapo guest.

Maisha ya kujiuza ni kazi ngumu sana, wateja siku nyingine hakuna wateja huku wakilazimika kutumia akiba yao. magonjwa ya ngono ni mengi na ingawa Kuna Taasisi (NGO) zinawasaidia.

Akaniambia Kuna asilimia Karibu 40% ya wasichana Tanzania hadi wake za watu wapo kwenye magroup wengine kama starehe wengine kuingiza kipato.

Kuna Mitandao mingi ambapo wanawake hujiuza.
Telegram
Whatssap
Tinder
Badoo
Twitter
Escort
Xvideos. Com
Escort

Biashara hii Sasa imengiliwa na watu wengi kiasi kwamba wateja hakuna kabisa. Wanabangaiza tu kupata hela ya kujikimu.

Anaomba serikali iwape ajira wanawake wa nchii hii kwani wanawake wengi Sasa wanajiingiza kwenye matumizi ya bange na madawa kulevya. Alimalizia kama mama anatumia bange na ndio amepewa jukumu la kulea familia hao watoto wa badae watakuwaje?

Ukaomba kimoja baada ye maelezo. Ila natumaini ulitumia kinga?
 
Bora ubeti kuliko kufikiri kuwa Mungu hayupo.

Karibu Kanisani Jumamosi
Hivi nisipokuja kanisani na nisipokubali uwepo wa Mungu wewe inakuuma sana eeh?

Naona unaichomekea hiyo logical non sequitur kama guluguja anayebiringita kwa reflex action bila kuwa na ubongo wala uti wa mgongo.
 
Kujiuza ni zao la factor nyingi ingekuwa ni ishu ya uchumi Ulaya wasingejiuza kule uhakika wa ajira kwa mzawa ni mkubwa awe amesoma au la hata uarabuni penye uchumi mzuri ujio wa mitandao umesaidia kujiuza kuwa rahisi.
Nje ya hapo kichwa chako ni mali ya serikali.
Uzinzi ni kosa la kukatwa kichwa uarabuni thus rate ya HIV na magonjwa ya STD ni chache.
 
Back
Top Bottom