Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa zinaliwaHostel ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam tawi la Ubungo kuna matatizo mengi yanawakumba wanafunzi.
Moja kati ya matatizo hayo ni upatikanaji wa maji. Hostel ya Ubungo licha ya kukaa zaidi wanafunzi wa master na PhD lakini tatizo la upatikanaji wa maji unasumbua sana.
Maji yanayopatikana hapo ni ya Serikali ambapo yanatoka kwa wiki siku 2 au siku 3 jambo ambalo wanaoishi hapo wanaishi kwa shida.
Matanki ya kuhifadhia maji ni madogo mno na yanawafanya wakazi wa hapo kutembea na ndoo wanapokwenda na kurudi vyooni kama wakazi Kinyangara ya juu huko Tabora.
Vyoo ni vichafu sana na vinanuka sana kwa sababu hakuna maji. Jambo la kufanya ni kuchimbwa kisima ili maji masaa 24 katika mabomba ya vyooni yanapatikana na sio kama hivi sasa ukienda chooni ubebee ndoo.
Jambo la pili ni internet. Jengo halina internet kabisa na wanafunzi wanaoishi hapa wanafanya tafiti na wengine na wanataka kujisomea.
Jengo limekosa kabisa huduma hiyo ambapo maisha yamekuwa magumu. Makazi haya hayapo Iringa milimani, yapo mjini kabisa karibu kabisa na Ubungo Plaza.
Kwa leo ni hayo tu
Ndo huko Kabudi alisema ni jalalani?Shida ya maji na internet in 2024!! From one of the most respected education institution in the country.
Nilikwenda kusoma mahali. Kulikuwa na graduate students village. Nikawa najisemea dah nakwenda kukaa bwenini. Kuingia ni two bedrooms halafu viko full furnished utafikiri hotelini. Kila kitu kipo ndo nikajua hawa watu wapo siriazi na mambo yao aisee.Na kweli wewe mshamba haswa. Nchi gani duniani ambako hakuna hostel za wanafunzi wa post-graduate? au ukisikia hostel unakuwa na picha gani kichwani?
Shalom ya vyoo kwa UDSM ni kubwa sana…..Hostel ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam tawi la Ubungo kuna matatizo mengi yanawakumba wanafunzi.
Moja kati ya matatizo hayo ni upatikanaji wa maji. Hostel ya Ubungo licha ya kukaa zaidi wanafunzi wa master na PhD lakini tatizo la upatikanaji wa maji unasumbua sana.
Maji yanayopatikana hapo ni ya Serikali ambapo yanatoka kwa wiki siku 2 au siku 3 jambo ambalo wanaoishi hapo wanaishi kwa shida.
Matanki ya kuhifadhia maji ni madogo mno na yanawafanya wakazi wa hapo kutembea na ndoo wanapokwenda na kurudi vyooni kama wakazi Kinyangara ya juu huko Tabora.
Vyoo ni vichafu sana na vinanuka sana kwa sababu hakuna maji. Jambo la kufanya ni kuchimbwa kisima ili maji masaa 24 katika mabomba ya vyooni yanapatikana na sio kama hivi sasa ukienda chooni ubebee ndoo.
Jambo la pili ni internet. Jengo halina internet kabisa na wanafunzi wanaoishi hapa wanafanya tafiti na wengine na wanataka kujisomea.
Jengo limekosa kabisa huduma hiyo ambapo maisha yamekuwa magumu. Makazi haya hayapo Iringa milimani, yapo mjini kabisa karibu kabisa na Ubungo Plaza.
Kwa leo ni hayo tu
Hilo la competency ya wahitimu wetu pengine halina uhusiano kabisa na kuwepo kwa intaneti. Linaweza kuwa limesababishwa na mitaala yetu na namna tunavyowaandaa na kuwatunza walimu wetu kwa ngazi zote. Aliyeleta hii mada ana hoja ya msingi sana na ambayo haikwepeki kabisa, uwepo wa huduma za internet za uhakika na ambazo watu wataweza kuzimudu.Hahaaaaa, siku hizi hata kuchakata data zenu mnazozipika imekuwa rahisi sana. 😀😃😄😁 kila kitu kinafanyika mtandaoni.
Ukishamaliza kupika data za uongo na kuokoteza material mtandaoni na kupewa cheti chako cha Master's njoo kwenye "utendaji ni zero". Master's inatakiwa ireflect utendaji wako ila hadi huruma. Mtu ana Master's ila kujieleza kiswahili hawezi wala kiingereza hawezi. Mtu ana Master's ila kuandika taarifa na reports za hata page 1 hawezi. Tunao maofisini, tunao mitaani inasikitisha sana. Mungu awasaidie.
Uko sahihi kabisa, dunia nzima si wote wanaitumia kwa matumizi chanya, na hilo halitaondoa umuhimu wake kwetu.Internet si wote wanaitumia kwa matumizi chanya
PhD na Master m akaa chuo. Hapana kapangeni mjifunze Maisha.Hostel ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam tawi la Ubungo kuna matatizo mengi yanawakumba wanafunzi.
Moja kati ya matatizo hayo ni upatikanaji wa maji. Hostel ya Ubungo licha ya kukaa zaidi wanafunzi wa master na PhD lakini tatizo la upatikanaji wa maji unasumbua sana.
Maji yanayopatikana hapo ni ya Serikali ambapo yanatoka kwa wiki siku 2 au siku 3 jambo ambalo wanaoishi hapo wanaishi kwa shida.
Matanki ya kuhifadhia maji ni madogo mno na yanawafanya wakazi wa hapo kutembea na ndoo wanapokwenda na kurudi vyooni kama wakazi Kinyangara ya juu huko Tabora.
Vyoo ni vichafu sana na vinanuka sana kwa sababu hakuna maji. Jambo la kufanya ni kuchimbwa kisima ili maji masaa 24 katika mabomba ya vyooni yanapatikana na sio kama hivi sasa ukienda chooni ubebee ndoo.
Jambo la pili ni internet. Jengo halina internet kabisa na wanafunzi wanaoishi hapa wanafanya tafiti na wengine na wanataka kujisomea.
Jengo limekosa kabisa huduma hiyo ambapo maisha yamekuwa magumu. Makazi haya hayapo Iringa milimani, yapo mjini kabisa karibu kabisa na Ubungo Plaza.
Kwa leo ni hayo tu
Nakuwa na picha flani amazing!Na kweli wewe mshamba haswa. Nchi gani duniani ambako hakuna hostel za wanafunzi wa post-graduate? au ukisikia hostel unakuwa na picha gani kichwani?
Na ni aibu tupuUkisikia neno chuo unaweza kudhani watu wako serious, kumbe wako bize na ngono tu.
Mpaka mwenye PhD hawezi kujielezaHahaaaaa sasa wanalilia Internet mkuu. Kila kitu kinakuwa copied toka mtandaoni.
Juzi kuna mmoja kaja ofisini kwangu akaomba anihoji kama mzimamizi wa Ofisi anafanya utafiti wake, akaniambia "research title yake" nikamwambia mbona hii Tittle yako kuna mmoja alishakuja hapa na Title hii hii na akanihoji toka chuo fulani na akanihoji maswali kama haya yako na aligraduate mwaka jana? Akajingatangata nikamuonea huruma na kumruhusu anihoji atajua mwenyewe huko.
Wakija maofisini mbwembwe nyingiiii nina Master's na blah blah ila mwambie asimame ajielezee. Utaona aibu.
Hayo labda ndo matumizi yako ukipata internet.Zinasaidia nini kwenye masomo hizo huduma za internet. Mbona sisi tuliosoma Msc kipindi hiko SUA wakati hakukuwa na internet tulisoma vizuri tu.
Internet zinawadumaza nkuwafanya wawe vilaza hao wanafunzi wa kisasa. Wanashindwa kununua bundle binafsi? Hizo WiFi ndio wanatumia kuangalia video za ngono na kudownload movie tu hakuna lolote.
sasa unataka akakae baa? Tatizo la watz ndio hivyo, akipata kimaster chake anajiona hawezi kukaa hostel. Nchi zilizoendelea hayo mambo yapo, hujatembea ndio maana unasema .PhD anakaa hostel!?mbona mnadeka sana PhD
PhD na masters inatakiwa unakaa mahali kwenye ka apartment hata ka laki na nusu mahali ila hostel tena hapa mjini hapana.
Anyway ushauri wako wa kuchimba kisima ni mzuri
Watakuwa wa st J hao, wa MUM wapo vizuriHahaaaaa, siku hizi hata kuchakata data zenu mnazozipika imekuwa rahisi sana. 😀😃😄😁 kila kitu kinafanyika mtandaoni.
Ukishamaliza kupika data za uongo na kuokoteza material mtandaoni na kupewa cheti chako cha Master's njoo kwenye "utendaji ni zero". Master's inatakiwa ireflect utendaji wako ila hadi huruma. Mtu ana Master's ila kujieleza kiswahili hawezi wala kiingereza hawezi. Mtu ana Master's ila kuandika taarifa na reports za hata page 1 hawezi. Tunao maofisini, tunao mitaani inasikitisha sana. Mungu awasaidie.