KERO Ukosefu wa huduma muhimu ya maji na intaneti hosteli za UDSM za wanafunzi wa Masters na PhD ni mateso makubwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hayo labda ndo matumizi yako ukipata internet.
Kwa Dunia ya sasa hata hostel za undergraduate zilifaa ziwe na internet.
Kuitumia kujijenga au kujibomoa ni maamuzi ya mtu binafsi.
Nyie mnaoshindia kubet mna nini zaidi ha kuangalia ngono. Kama mnapewa Boom mna betia, hiyo internet mtaangalia nini la maana? Pathetic and idiotic generation
 
Nyie mnaoshindia kubet mna nini zaidi ha kuangalia ngono. Kama mnapewa Boom mna betia, hiyo internet mtaangalia nini la maana? Pathetic and idiotic generation
Hunijui hata chembe ila unaandika kama vile unanifahamu.
Kama unashindwa kutambua umuhimu wa internet kwa ngazi ya postgraduate basi hata uwezo wako wa kuja na mawazo chanya ni mdogo.
 
Kwa mwandiko huu? Una ofisi ya kufuatwa na mtu wa PhD?
Shikamoo jf ๐Ÿ™Œ
 
Internet si wote wanaitumia kwa matumizi chanya
Kutumika kwa Uranium kutengenezea silaha za maangamizi hakuwezi kuhalalisha kufungwa kwa migodi yake. Na ndo imefanya baadhi ya nchi kufuta mawazo ya kukosa umeme kwa wanachi wao.
Kutumia nyenzo yoyote kwa uzuri au ubaya ni maamuzi ya mtumiaji mwenyewe. Internet nayo ni hivyo hivyo. Unaweza kuitumia utakavyo, ila it's one of the greatest inventions of our time. Trillions of dollars revolve around it.
 
PhD bado unalia shida ya makazi na unataka internet ya bure? kazi ipo hapo jalalani..Waziri anataka internet ya bure

Inasikitisha. Ukiwamaliza HAMAS akina Malaria 2 njoo uwamalize hawa wenye PhD za mchongo akina Mama Abdul๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜
Wewe umeshia std 7 , umetoka kijijini umeenda mjini kuuza machungwa unajifanya una mdomo. HAMAS ni wanaume wanapigana na USA, NATO na wengine. sio kama nyinyi chadema mpira wa baskeli ukipasuka tu mnakimbilia mvunguni
 
dah
 
Intaneti? Kuna Mbu sana uko Daslam eeh mpaka na hiyo iwe huduma Muhimu kiiasi iko?
 
Jengo limekosa kabisa huduma hiyo ambapo maisha yamekuwa magumu. Makazi haya hayapo Iringa milimani, yapo mjini kabisa karibu kabisa na Ubungo Plaza.
Billion 900 zimetengwa kwa ajili ya Magari yao nyinyi mnaishi MJINI mnakunya vichakani ndoo Mkononi hakuna Maji km mpo Bariadi huko ndanindani mnakunya vichakani kumbe ni Ubungo MJINI kabisa hapo na idara ya Maji haipo mbali na hapo, huu ni uzembe wa uongozi wa Chuo au uzembe wa nani? Au ndio maana yule Bwana alipaita JALALANI? Sasa pamegeuka CHOONI vyoo vinanuka?

Nitakushauri Jambo usijitambulishe hata Jina hao mamwehu wakikujua huna Chuo watakufukuzisha Chuo
 
Intaneti? Kuna Mbu sana uko Daslam eeh mpaka na hiyo iwe huduma Muhimu kiiasi iko?
Mbu na internet Wapi na Wapi? Emu Kanye machakani kwanza alafu uje tuongee vizuri uhakikishe umejipangusa na Majani vizuri mwendo wa kunuka Mavi tu
 
Sasa broo una akili kweli yaan masters na phd holder bando la jero unajielewa kweli au ndo mnajitoa ufahamu unajua kusoma online wew unaweza soma 30hrs kwa bando la jero au ukishiba magimbi unaanza kashfa
 
Nimekaa hapo nilipokuwa nafanya masters yangu,uongozi wa hicho chuo ni zero kabisa.
Sijui hicho chuo kinashindwa nini kuandikia kwenye bajeti wapatiwe fedha za kuchimba visima katika hostel za Wanafunzi.
Masters ya uongozi nayo ni degree?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ