KERO Ukosefu wa huduma muhimu ya maji na intaneti hosteli za UDSM za wanafunzi wa Masters na PhD ni mateso makubwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Masters na Phd unawezaje kutegemea Wi-fi ya chuo na kukaa Hostel? Au elimu ya kibongo imekuwa ya kijinga
 
1. Humo ndani Kuna kisima na pump, imekuaje?
2. Mataqo baa bado upo?
3. Humo ndani tulikua tunaingiza Malaya Hadi walinzi wanaanza kituzuia,
4. Bila maji Hadi game hau-enjoy.
 
Seriously unawabeza kwa kutumia mtandao? Mtandao sio tu unapanua wigo wa data na knowledge unayoweza kutumia katika research yako. Mtandao unakupa uwezo wa kuongeza ujuzi katika nyanja yako bila kuingia darasani. Mtandao unakuwezesha kujua nani mwingine anafanya research katika eneo lako na hivyo kukuwezesha kushirikiana nae. Plagiarism enzi hizi za mtandao ni ngumu kwa sababu kuna app kibao ambazo zimejikita katika kupanda nao. Aidha, ukichukua sehemu ambayo mtu ameandika ukaitafuta mtandaoni, kama kuna mwengine aliyewahi kuiandika utajua tu. Hii ni tofauti na ule wakati ambapo mlikuwa mnaandika thesis zenu kwa mkono.
Kitu kingine ni gharama ya vitabu. Hapo zamani watu walikuwa wanapewa vitabu bure. Siku hizi wanapaswa kununua vya second hand kwa bei mbaya. Ukiwa na mtandao, unaweza kupata e-books nyingi kwa bei nafuu. Ili kuvi download unahitaji mtandao uliokaa vizuri.

Badala ya kuwabeza kuwa wasomi wa siku hizi hawawezi kuandika report, zibeze shule zilizowaelimisha ambako bila shaka utakuta maprofesa wake nao walisomea slide rule. Shida ni mfumo wetu wa elimu,vsio wanafunzi.

Tuwe gracious katika kukosoa. Tusitake watoto wetu wasivae viatu kwa vile sisi hatukuvaa.

Amandla...
 
Ulimwengu kiganjani 22nd century
 
PhD anakaa hostel!?mbona mnadeka sana PhD
PhD na masters inatakiwa unakaa mahali kwenye ka apartment hata ka laki na nusu mahali ila hostel tena hapa mjini hapana.
Anyway ushauri wako wa kuchimba kisima ni mzuri
Acha kukariri kwaiyo wewe unaona Masters ni issue kubwa sanaa ambao hawez kukaa hostel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…