Achana na hostel kimamingo PhD na masters kaeni apartments nje kabisa ya chuo tena uishi kama uko kwako ikibidi familia mara Moja Moja ikutembeleeAcha kukariri kwaiyo wewe unaona Masters ni issue kubwa sanaa ambao hawez kukaa hostel.
Ha ha haMtoa mada katika fee structure yako, gharama za internet zilikuwepo .?
Poleni sana alaf utume kazi kwa supervisor ikae miezi mitatu ndio utajutaa, pole wanafunzi wa PHD siji kusoma UDSM ng'o, na admission yenu siitaki tenaa.Hostel ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam tawi la Ubungo kuna matatizo mengi yanawakumba wanafunzi.
Moja kati ya matatizo hayo ni upatikanaji wa maji. Hostel ya Ubungo licha ya kukaa zaidi wanafunzi wa master na PhD lakini tatizo la upatikanaji wa maji unasumbua sana.
Maji yanayopatikana hapo ni ya Serikali ambapo yanatoka kwa wiki siku 2 au siku 3 jambo ambalo wanaoishi hapo wanaishi kwa shida.
Matanki ya kuhifadhia maji ni madogo mno na yanawafanya wakazi wa hapo kutembea na ndoo wanapokwenda na kurudi vyooni kama wakazi Kinyangara ya juu huko Tabora.
Vyoo ni vichafu sana na vinanuka sana kwa sababu hakuna maji. Jambo la kufanya ni kuchimbwa kisima ili maji masaa 24 katika mabomba ya vyooni yanapatikana na sio kama hivi sasa ukienda chooni ubebee ndoo.
Jambo la pili ni internet. Jengo halina internet kabisa na wanafunzi wanaoishi hapa wanafanya tafiti na wengine na wanataka kujisomea.
Jengo limekosa kabisa huduma hiyo ambapo maisha yamekuwa magumu. Makazi haya hayapo Iringa milimani, yapo mjini kabisa karibu kabisa na Ubungo Plaza.
Kwa leo ni hayo tu
Watakwambia internet ni luxury!Hostel ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam tawi la Ubungo kuna matatizo mengi yanawakumba wanafunzi.
Moja kati ya matatizo hayo ni upatikanaji wa maji. Hostel ya Ubungo licha ya kukaa zaidi wanafunzi wa master na PhD lakini tatizo la upatikanaji wa maji unasumbua sana.
Maji yanayopatikana hapo ni ya Serikali ambapo yanatoka kwa wiki siku 2 au siku 3 jambo ambalo wanaoishi hapo wanaishi kwa shida.
Matanki ya kuhifadhia maji ni madogo mno na yanawafanya wakazi wa hapo kutembea na ndoo wanapokwenda na kurudi vyooni kama wakazi Kinyangara ya juu huko Tabora.
Vyoo ni vichafu sana na vinanuka sana kwa sababu hakuna maji. Jambo la kufanya ni kuchimbwa kisima ili maji masaa 24 katika mabomba ya vyooni yanapatikana na sio kama hivi sasa ukienda chooni ubebee ndoo.
Jambo la pili ni internet. Jengo halina internet kabisa na wanafunzi wanaoishi hapa wanafanya tafiti na wengine na wanataka kujisomea.
Jengo limekosa kabisa huduma hiyo ambapo maisha yamekuwa magumu. Makazi haya hayapo Iringa milimani, yapo mjini kabisa karibu kabisa na Ubungo Plaza.
Kwa leo ni hayo tu
Haha nimecheka sana nchi za wenzetu mwanafunzi anapewa acces ya network kila mahali ndani ya chuo na hostel anajifunza vitu vingi sana huku kwetu unawek bando la buku usome online kozi ya masaa 40 utawezaana hahha lecture anakupa 2/10Poleni sana alaf utume kazi kwa supervisor ikae miezi mitatu ndio utajutaa, pole wanafunzi wa PHD siji kusoma UDSM ng'o, na admission yenu siitaki tenaa.
Utajua hujui hahahHaha nimecheka sana nchi za wenzetu mwanafunzi anapewa acces ya network kila mahali ndani ya chuo na hostel anajifunza vitu vingi sana huku kwetu unawek bando la buku usome online kozi ya masaa 40 utawezaana hahha lecture anakupa 2/10