DOKEZO Ukosefu wa madarasa shule ya msingi Mkululu

DOKEZO Ukosefu wa madarasa shule ya msingi Mkululu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Namata

Senior Member
Joined
Sep 1, 2019
Posts
139
Reaction score
173
Hali ni mbaya sana yule ya msingi Mkululu watoto wanasomea chini ya miti kwasababu ya kukosa madarasa.

Shule ipo kata ya Mkululu wilaya Masasi mkoa wa Mtwara.

Raisi tunaomba msaada wako.
 
Back
Top Bottom