N Namata Senior Member Joined Sep 1, 2019 Posts 139 Reaction score 173 Nov 21, 2024 #1 Hali ni mbaya sana yule ya msingi Mkululu watoto wanasomea chini ya miti kwasababu ya kukosa madarasa. Shule ipo kata ya Mkululu wilaya Masasi mkoa wa Mtwara. Raisi tunaomba msaada wako.
Hali ni mbaya sana yule ya msingi Mkululu watoto wanasomea chini ya miti kwasababu ya kukosa madarasa. Shule ipo kata ya Mkululu wilaya Masasi mkoa wa Mtwara. Raisi tunaomba msaada wako.
Be calm JF-Expert Member Joined May 20, 2023 Posts 3,766 Reaction score 8,959 Nov 21, 2024 #2 Mercury 700 zimepotea