professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
We jamaa we eti wanampa machuma chuma. Alafu wayakusanye tu wauze sekerepa ili wajipoze machungu.Siametaka mwenyewe kuvamiwa njia zilikuwepo za kuepusha maafa lakini yy aliamua kuchagua vita,russia na ukraine walishasaini mkataba wa amani kila mtu anatakiwa aufuate yy akauvunja kusudi kutegemea kuna watu watamsaidia matokeo yake wamekaa pembeni wanampa machuma apambane mwenyewe yy alijua wataingiza jeshi la nato kumsaidia
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app