Jacob kalokola
JF-Expert Member
- Mar 26, 2022
- 893
- 2,721
Jeshi la anga la Ukraine waliidungua kimakosa.Haijapigwa tukio kweli hiyo ndege?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshi la anga la Ukraine waliidungua kimakosa.Haijapigwa tukio kweli hiyo ndege?
Ukraine haijabweteka. Taiari Zelensky ameomba kikao na Rais wa China.Watu mnakimbilia uvamizi bila kujali sababu za uvamizi!Basi jitetee na mwisho wa siku nchi inageuzwa magofu!
Mpaka SMO inaisha,ukifika sehemu atakayoachiwa Ukraine itakuwa kama umefikia mwezini!
Safari hii vitaishia Kyiv 😅😅😅Vilianzia Crimea vitaishia Crimea, haya makelele ya maustadhi hayanipi tabu maana mimi uwoga niliokua nao nilipoona ule msafara siku za mwanzo, nilikuja kufurahi sana namna ulifyekwa, haya mengine ya kugombani tumji twa mpakani sio issue kwangu, Mrusi keshaishiwa hadi amesabaisha msiba Tanzania.
Chanini😅😅😅Ukraine haijabweteka. Taiari Zelensky ameomba kikao na Rais wa China.
Watasingizia iliishiwa mafutaOngezea na pilot error,
Helicopter ilikua inafly too low
Through residantial tall buildings
Safari hii vitaishia Kyiv 😅😅😅
Endelea, kwanini asivamiwe Finland, Poland, TurkeyKwa nini wasivamiwe Belarus, Serbia, nk! Kwa nini Ukraine?
Na vitaendelea tu kupiganwa, hata Russia anatamani hiyo vita iishe hata kesho ila Ukraine nao sasa ndiyo wanataka iendeleeSiametaka mwenyewe kuvamiwa njia zilikuwepo za kuepusha maafa lakini yy aliamua kuchagua vita,russia na ukraine walishasaini mkataba wa amani kila mtu anatakiwa aufuate yy akauvunja kusudi kutegemea kuna watu watamsaidia matokeo yake wamekaa pembeni wanampa machuma apambane mwenyewe yy alijua wataingiza jeshi la nato kumsaidia
Ndiyo mnavyopangana, Russia mwenyewe anatamana kusanda maana hasara anayokutana nayo hakuitarajia yeye hesabu zake zilikua siku tatu, sasa hivi anapelekwa kwenye anniversay ya mwaka mmoja halafu mmekusanyana mnamsifia ujingaWatu mnakimbilia uvamizi bila kujali sababu za uvamizi!Basi jitetee na mwisho wa siku nchi inageuzwa magofu!
Mpaka SMO inaisha,ukifika sehemu atakayoachiwa Ukraine itakuwa kama umefikia mwezini!
Russia sio tu anatamani viishe hata kesho bali russia alikuwa anatamani hv vita visiwepo kabisaa ndio maana kabla ya vita putin alimbembeleza sn dogo aachane na mipango yake afuate mkataba waliotia saini lakini usa+ nato wakamjaza kichwa akajiona mkubwa nae mkubwa anaweza kupgana na russia eti watamsaidia.Na vitaendelea tu kupiganwa, hata Russia anatamani hiyo vita iishe hata kesho ila Ukraine nao sasa ndiyo wanataka iendelee
Hii ndio akili sasa. na sasa alafu wanakimbilia oh kavamia yani watu wanalazimisha ule uwe uvamiziRussia sio tu anatamani viishe hata kesho bali russia alikuwa anatamani hv vita visiwepo kabisaa ndio maana kabla ya vita putin alimbembeleza sn dogo aachane na mipango yake afuate mkataba waliotia saini lakini usa+ nato wakamjaza kichwa akajiona mkubwa nae mkubwa anaweza kupgana na russia eti watamsaidia.
Acha story za vijiweni hizo. Mbona Belarus yupo na Russia na hakuna nchi imeivamia? Yaani Ukraine ndiyo asiwe na Uhuru wa kuwa na Upande kisa Russia anaogopa?Russia sio tu anatamani viishe hata kesho bali russia alikuwa anatamani hv vita visiwepo kabisaa ndio maana kabla ya vita putin alimbembeleza sn dogo aachane na mipango yake afuate mkataba waliotia saini lakini usa+ nato wakamjaza kichwa akajiona mkubwa nae mkubwa anaweza kupgana na russia eti watamsaidia.
Kama hutaki kuwa na upande mbona nyinyi mkichangishana silaha kwa ajili ya Ukraine na ni sawa na nchi nyingie zikijichanga kwa ajilk ya Russia sio sawa??Acha story za vijiweni hizo. Mbona Belarus yupo na Russia na hakuna nchi imeivamia? Yaani Ukraine ndiyo asiwe na Uhuru wa kuwa na Upande kisa Russia anaogopa?
Huyo Russia mbona ni Jirani na Marekani na wana share border? Finland naye tayari ameshachagua upande, mbona huyo hajamvamia? Tena wana share the longest border.
Yaani Ukraine kama nchi ndiye apangiwe namna ya kuishi na nchi nyingine? Yeye Russia nani anayempangia?
Wewe mwenyewe kwa akili zako za kawaida tu ukiambiwa uchague upande kati ya Ulaya/US na Russia lazima utawatosa Russia. Ila kwa IDs hizi za kujificha ndiyo mnajifanya Russians die harder fans. Hata Taleban, Wasomali huwakuti wakihangaika na Visa za Russia.
Iran wenyeww hakuna nchi utawakuta kwa wingi zaidi ya US, Russians wenyewe hakuna nchi utawakuta kwa wingi zaidi ya US, hlafu leo uwapangie Ukraine kuwalazimisha kuwa upande wa Russia. Hixo ni akili au matope?
Russians wanamkataba gani na finland ambao finland kauvunja ? Ukraine amevunja makubaliano ya mkataba hapa sio suala mbona fulani kajiunga tunataka tujue hao wengine walikuwa na mkataba gani na russia km hawana mkataba usiwatolee mfano labda ungesem mbona finland kavunja makubaliano ya mkataba hamshambulii hapo sawa,yaani ww hauna tofauti na fei toto anavunja mkataba kwasababu azizi k analipwa hela nyingi anasahau hela anayolipwa yy mwenyewe ndio alisaini alipwe hvyo mjifunze kufuata makubaliano ya mkataba na mikataba muisome.Acha story za vijiweni hizo. Mbona Belarus yupo na Russia na hakuna nchi imeivamia? Yaani Ukraine ndiyo asiwe na Uhuru wa kuwa na Upande kisa Russia anaogopa?
Huyo Russia mbona ni Jirani na Marekani na wana share border? Finland naye tayari ameshachagua upande, mbona huyo hajamvamia? Tena wana share the longest border.
Yaani Ukraine kama nchi ndiye apangiwe namna ya kuishi na nchi nyingine? Yeye Russia nani anayempangia?
Wewe mwenyewe kwa akili zako za kawaida tu ukiambiwa uchague upande kati ya Ulaya/US na Russia lazima utawatosa Russia. Ila kwa IDs hizi za kujificha ndiyo mnajifanya Russians die harder fans. Hata Taleban, Wasomali huwakuti wakihangaika na Visa za Russia.
Iran wenyeww hakuna nchi utawakuta kwa wingi zaidi ya US, Russians wenyewe hakuna nchi utawakuta kwa wingi zaidi ya US, hlafu leo uwapangie Ukraine kuwalazimisha kuwa upande wa Russia. Hixo ni akili au matope?
PUT IN anaua MAGAIDI tuuu ukiona RAIA huyo kafa kwa bakhati mbayaMikono ya Putin imejaa damu za raia wema wa Ukraine.
Nani alimchangia Russia ikawa siyo sawa? Ulijiuliza kwannini? Haya mtaje nikujibuKama hutaki kuwa na upande mbona nyinyi mkichangishana silaha kwa ajili ya Ukraine na ni sawa na nchi nyingie zikijichanga kwa ajilk ya Russia sio sawa??
Kamikaze za iran mpaka mmeitisha kikao baraza la usalama umaja wa mataifaNani alimchangia Russia ikawa siyo sawa? Ulijiuliza kwannini? Haya mtaje nikujibu
Look at it this way: Ndani ya Marekani Rais na serikali wanakuwa na adabu sana kwa kila raia. Wanahakikisha wanatimiza maslahi ya raia wao kwa juhudi zote na kuwa tayari kuwajibishwa kisheria na kidemokrasia wakati wowote. Wanasemewa ovyo wakati wowote. Rais hawezi kumfokea hata mfagizi wa uwanja wa ndege akabaki salama. Ndani ya US raia ni mfalme.Baadhi ya huo uharibifu, wameutaka wao wenyewe kwa kufungamana na Taifa la uovu duniani (Marekani), na washirika wake.
Kwamba haujui kuwa Helsink na Moscow waliingia mkataba mwaka 1992? Duuh!!Russians wanamkataba gani na finland ambao finland kauvunja ? Ukraine amevunja makubaliano ya mkataba hapa sio suala mbona fulani kajiunga tunataka tujue hao wengine walikuwa na mkataba gani na russia km hawana mkataba usiwatolee mfano labda ungesem mbona finland kavunja makubaliano ya mkataba hamshambulii hapo sawa,yaani ww hauna tofauti na fei toto anavunja mkataba kwasababu azizi k analipwa hela nyingi anasahau hela anayolipwa yy mwenyewe ndio alisaini alipwe hvyo mjifunze kufuata makubaliano ya mkataba na mikataba muisome.