professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
We jamaa we eti wanampa machuma chuma. Alafu wayakusanye tu wauze sekerepa ili wajipoze machungu.Siametaka mwenyewe kuvamiwa njia zilikuwepo za kuepusha maafa lakini yy aliamua kuchagua vita,russia na ukraine walishasaini mkataba wa amani kila mtu anatakiwa aufuate yy akauvunja kusudi kutegemea kuna watu watamsaidia matokeo yake wamekaa pembeni wanampa machuma apambane mwenyewe yy alijua wataingiza jeshi la nato kumsaidia
Usawa wa gorofa 2 au3 kunakuwa na ukungu?🤭🤭🤭🤭🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hawa jamaa waseme tu kuwa chombo kilikutana na bomu angani ikabaki story, we ndege inayopaa usawa wa nyumba na miti inauaje watu kirahisi hivyo.
Wakubali tu kuwa kuna jambo wamefanyiwa kijasusi🤣
Hahahahahah jamaa wazushi kweli, bado tuna shida na kichwa cha yule mwehu zelenskyUsawa wa horofa 2 au3 kunakuwa na ukungu?🤭🤭🤭🤭
Saivi aendelee kuzurura mtaani ndio atajua kamanda mpya atamfanyaje🤣🤣Hahahahahah jamaa wazushi kweli, bado tuna shida na kichwa cha yule mwehu zelensky
Sisi sio wazushi wewe we hujui fani yetu kua ni comedian tupo location tunafanya kaziHahahahahah jamaa wazushi kweli, bado tuna shida na kichwa cha yule mwehu zelensky
Hakuna cha kuvamiwa taifa lile linaangamia kwa sababu ya umbea.Kwamba Mtu akikuvamia Nyumbani kwako na kuanza kukupiga Usijitetee?
wee jamaa bhana ngoja MK254 aje hapa
OumbavuBaadhi ya huo uharibifu, wameutaka wao wenyewe kwa kufungamana na Taifa la uovu duniani (Marekani), na washirika wake.
Ndio maana hawasemi Helicopter iliundwa kutoka Taifa gani!! Haingii akilini kwamba Pilot mwenye akili timamu anaweza kukubali kuendesha chopper kwenye hali mbaya ya hewa - iliyojaa ukungu: Zero visibility,high rise buildings na kibaya zaidi sehemu kubwa ya mji waKiev ni giza totoro hakuna taa/umeme - that was obviously a suicidal mission eti wanakwenda ku-check kinacho endelea frontline - mambo ya politics ya ajabu sana husikute wanatafuta sababu yakuhujumiana kisiasa - mambo kama haya yaliwahi kujitokeza huko Uganda wakati helicopter iliyo mbeba Kanali/General Oyite Ojoko maadui zake walipo jaza maji na mafuta kwenye fuel tank - mafuta yanaelea juu, maji yanakuwa chini ya tank, fuel ikiisha pump zinasukuma maji kwenda kwenye injini na kusababisha injini isimame ghafla na kuangusha helicopter - Ojok alipoteza maisha kutokana na walizi wake kuwa wazembe.Hii itakuwa helicopter ya msaada kutoka marekani maana tunaambiwa vitu kutoka marekani vinashindwa ku function kwa sababu ya baridi kali
Mungu azilaze roho za hao watoto wa kindergarten mahali pema peponi
Ongezea na pilot error,Sababu zinazotajwa kama chanzo ndege kuanguka ni
-Malfunction
-Violation of security rules
-Sabotage
Sasa hapo sijaelewa yote matatu yanawezaje kuapply Kwa pamoja!
Haijapigwa tukio kweli hiyo ndege?
Ukungu hata usawa wa mita 2 juu unakuwepo Mkuu. Nenda Kitulo (Njombe) hasa mwezi wa 8 utashuhudia haya niyasemayo.Usawa wa gorofa 2 au3 kunakuwa na ukungu?🤭🤭🤭🤭
Angalia picha za process ya uokoaji angalia unioneshe ukunguUkungu hata usawa wa mita 2 juu unakuwepo Mkuu. Nenda Kitulo (Njombe) hasa mwezi wa 8 utashuhudia haya niyasemayo.
Mkuu nimekujibu kwa kuangalia uzoefu wa ukungu unavyokuwa. Sikuhusisha na tukio la Ukraine. Samahani kwa hilo.Angalia picha za process ya uokoaji angalia unioneshe ukungu
Mikono ya Putin imejaa damu za raia wema wa Ukraine.Ukraine ilijengeka vizuri sna daah masikini nchi yote imeharibiwa
2014-2022 unajua Ukraine [emoji1255] walikuwa wanatesa na kuwauwa watu wa South East Donbass?Kwamba Mtu akikuvamia Nyumbani kwako na kuanza kukupiga Usijitetee?