Ukraine imekata tamaa; sasa inadai mpaka ipewe ndege za kijeshi F-16 ndio iweze kushinda vita yake na Urusi

Ukraine imekata tamaa; sasa inadai mpaka ipewe ndege za kijeshi F-16 ndio iweze kushinda vita yake na Urusi

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Hadi sasa Ukraine imepewa silaha lukuki za mabilioni ya pesa, lakini imedai kuwa HAZITOSHI!!. Walipopewa HIMARS wakasema sasa watashinda, lakini wimbo wa HIMARS hauimbiki tena, wakataka vifaru vikubwa ili washinde. Wakapewa vifaru vya mjerumani LEOPARDS na vifaru vya Marekani ABRAHAMS na vya Uingereza kwa mbwembwe.

Sasa hivi hizo mbwembwe hazisikiki tena maana mrusi anavichoma moto kama alivyowaambia mwanzoni. Wakapelekewa Patriot air defense lakini kwa sasa huo wimbo wa Patriot hauimbiki tenas.

Ifahamike kuwa ukraine ilijaribu kuanzisha kile wanachokiita COUNTER OFFENSIVE au mashambulizi ya kutaka kuing'oa urusi kwenye majimbo iliyoyateka lakini wakashindwa vibaya.

Kwa sasa Ukraine wanadai mchana kweupe kuwa hizo silaha walizopewa HAZITOSHI kuishinda Urusi. Wanataka wapewe ndege za kizazi cha nne za Marekani F-16. Wanadai wakipewa hizo wataishinda Urusi. Lakini Marekani inafahami kuwa Urusi ina S-400 ambazo zina uwezo wa kuzidungua hizo F-16.

Mwisho wa siku Ukraine watataka wapewe silaha za nyuklia maana kila wanachopewa hakijaweza kuizuia Urusi.

Zelensky ameigharimu sana Ukraine. Mwisho wa siku Marekani atakuja kumgeuka Zelensky na watamkamata na kumfunga. Wanayajua maovu yake lakini kwa sasa wanayafumbia macho ili aendelee kutumika katika harakati zao za kuidhoofisha urusi. Mikakati hii itakaposhindwa lazima watamtosa!! Walifanya hivyo kwa Osama bin Laden, kwa Sadaam Hussein na kwa Gadaffi.

=============​

Ukraine claims it will ‘win the war’ with F-16s​

Air defense systems supplied by the West are not enough to counter Russian drones and cruise missiles, according to Kiev

Ukraine claims it will ‘win the war’ with F-16s

FILE PHOTO: A US F-16 fighter jet © Global Look Press / US Air Force / Msgt. Matthew Plew

F-16 fighter jets could be a game changer in the ongoing conflict between Moscow and Kiev, a spokesman for the Ukrainian Air Force Command, Yury Ignat, claimed in remarks to Ukraine’s Espreso TV broadcaster on Saturday.

“When [we] have F-16, we will win this war,” Ignat said, adding that Kiev has repeatedly told its Western backers that the air defense systems it has already obtained from the West are insufficient to protect all of Ukraine’s territory against Russian air strikes.
 
Maana yan
Osama usimuweke kundi moja moja na sadam hussein, sadam hakuwa na hatia
gu ni kwamba Marekani huwa haina rafiki wa kudumu. Wanakutumia tu kwa manufaa yao, ikifika kipindi wakaona huwezi tena kuwasaidia kufanikisha matakwa yao lazima wakugeuke na kukumaliza. Osama alikuwa rafiki wa Marekani akitumiwa kuimaliza Urusi nchi Afghanistan, mwisho wa siku wakamgeuka. Sadaam Hussein pia alikuwa rafiki wa Marekani kwa ajili ya kufanya ufisadi kwenye mafuta ya Iraq. mwisho wa siku walimgeuka na kumwangamiza. Zelensky pia lazima wamgeuke maana ni dhahiri sasa kuwa hataweza kufanikisha shabaha ya marekani kuimaliza urusi!

Kumbuka Sadaam Hussein alikuwa anasaidiwa na marekani kwenye vita yake na Iran kwa lengo la kuimaliza Iran. Iliposhindikana hiyo akawa adui tayari.
 
Siku zote Zelensky hutani kile ambacho hana akidhani kuwa akipewa hicho ataishinda urusi. Lakini uzoefu umeonesha kuwa kila akipewa anachokihitaji huwa hakina tena uwezo wa kukidhi matarajio yake. Siku zile alikuwa analilia HEAVY WEAPONS akimaanisha vifaru vya ujerumani, uingereza na Marekani. Ameshapewa tayari na havijafua dafu!! Hata akipewa hizo F-16 zitakumbana na S-400 na kilio kitabaki hapo hapo!​
 
Maana yan

gu ni kwamba Marekani huwa haina rafiki wa kudumu. Wanakutumia tu kwa manufaa yao, ikifika kipindi wakaona huwezi tena kuwasaidia kufanikisha matakwa yao lazima wakugeuke na kukumaliza. Osama alikuwa rafiki wa Marekani akitumiwa kuimaliza Urusi nchi Afghanistan, mwisho wa siku wakamgeuka. Sadaam Hussein pia alikuwa rafiki wa Marekani kwa ajili ya kufanya ufisadi kwenye mafuta ya Iraq. mwisho wa siku walimgeuka na kumwangamiza. Zelensky pia lazima wamgeuke maana ni dhahiri sasa kuwa hataweza kufanikisha shabaha ya marekani kuimaliza urusi!

Kumbuka Sadaam Hussein alikuwa anasaidiwa na marekani kwenye vita yake na Iran kwa lengo la kuimaliza Iran. Iliposhindikana hiyo akawa adui tayari.
Uko sahihi mkuu, hata akina haqani wa Taliban walikuwa CIA, marekani ndio anaivuruga dunia, sema anatumia njia ambayo mtu wa kawaida hawezi gundua
 
Osama usimuweke kundi moja moja na sadam hussein, sadam hakuwa na hatia
Tumia akili kwani osama alifundishwa na nani kuwa gaidi ? Ujui kuwa marekani ndiyo kamfundisha ili kumsumbua mrusi ila baadae naye kamgeuka mmarekani
 
Tumia akili kwani osama alifundishwa na nani kuwa gaidi ? Ujui kuwa marekani ndiyo kamfundisha ili kumsumbua mrusi ila baadae naye kamgeuka mmarekani
Osama aliongozwa na imani yake ya kidini kuwa gaidi akiamini kwamba mtu yeyote ambaye sio muislam ni wa kuuawa tu. Very lunatic.
 
Osama aliongozwa na imani yake ya kidini kuwa gaidi akiamini kwamba mtu yeyote ambaye sio muislam ni wa kuuawa tu. Very lunatic.
Ugaidi siyo dini ...osama alifundichwa ugaidi na marekani kwa maslai ya marekani dhidi ya mrusi ila baadae ndiyo akamgeuka mmarekani kwa sababu za kidini na kuwa gaidi kinyume na marekani
 
Hadi sasa Ukraine imepewa silaha lukuki za mabilioni ya pesa, lakini imedai kuwa HAZITOSHI!!. Walipopewa HIMARS wakasema sasa watashinda, lakini wimbo wa HIMARS hauimbiki tena, wakataka vifaru vikubwa ili washinde. Wakapewa vifaru vya mjerumani LEOPARDS na vifaru vya Marekani ABRAHAMS na vya Uingereza kwa mbwembwe.

Sasa hivi hizo mbwembwe hazisikiki tena maana mrusi anavichoma moto kama alivyowaambia mwanzoni. Wakapelekewa Patriot air defense lakini kwa sasa huo wimbo wa Patriot hauimbiki tenas.

Ifahamike kuwa ukraine ilijaribu kuanzisha kile wanachokiita COUNTER OFFENSIVE au mashambulizi ya kutaka kuing'oa urusi kwenye majimbo iliyoyateka lakini wakashindwa vibaya.

Kwa sasa Ukraine wanadai mchana kweupe kuwa hizo silaha walizopewa HAZITOSHI kuishinda Urusi. Wanataka wapewe ndege za kizazi cha nne za Marekani F-16. Wanadai wakipewa hizo wataishinda Urusi. Lakini Marekani inafahami kuwa Urusi ina S-400 ambazo zina uwezo wa kuzidungua hizo F-16.

Mwisho wa siku Ukraine watataka wapewe silaha za nyuklia maana kila wanachopewa hakijaweza kuizuia Urusi.

Zelensky ameigharimu sana Ukraine. Mwisho wa siku Marekani atakuja kumgeuka Zelensky na watamkamata na kumfunga. Wanayajua maovu yake lakini kwa sasa wanayafumbia macho ili aendelee kutumika katika harakati zao za kuidhoofisha urusi. Mikakati hii itakaposhindwa lazima watamtosa!! Walifanya hivyo kwa Osama bin Laden, kwa Sadaam Hussein na kwa Gadaffi.

=============​

Ukraine claims it will ‘win the war’ with F-16s​

Air defense systems supplied by the West are not enough to counter Russian drones and cruise missiles, according to Kiev

Ukraine claims it will ‘win the war’ with F-16s

FILE PHOTO: A US F-16 fighter jet [emoji2398] Global Look Press / US Air Force / Msgt. Matthew Plew

F-16 fighter jets could be a game changer in the ongoing conflict between Moscow and Kiev, a spokesman for the Ukrainian Air Force Command, Yury Ignat, claimed in remarks to Ukraine’s Espreso TV broadcaster on Saturday.

“When [we] have F-16, we will win this war,” Ignat said, adding that Kiev has repeatedly told its Western backers that the air defense systems it has already obtained from the West are insufficient to protect all of Ukraine’s territory against Russian air strikes.
Story za Vifaru zimeishia wapi?
 
Siku zote Zelensky hutani kile ambacho hana akidhani kuwa akipewa hicho ataishinda urusi. Lakini uzoefu umeonesha kuwa kila akipewa anachokihitaji huwa hakina tena uwezo wa kukidhi matarajio yake. Siku zile alikuwa analilia HEAVY WEAPONS akimaanisha vifaru vya ujerumani, uingereza na Marekani. Ameshapewa tayari na havijafua dafu!! Hata akipewa hizo F-16 zitakumbana na S-400 na kilio kitabaki hapo hapo!​
Vilitangazwa sana hivi vifaru ila sijavisikia tena
 
Back
Top Bottom