Ukraine ipo tayari kwa lolote, wananchi wake wataingia vitani kupigana na majeshi ya Urusi

Ukraine ipo tayari kwa lolote, wananchi wake wataingia vitani kupigana na majeshi ya Urusi

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Ukraini imeamua sasa kufundisha wananchi wake na kuongeza jeshi la akiba hata na lisilo na akiba.kwa ajili lolote litakalo tokea na mzozo huu baina mbili kati ya ukraini na vikosi vya Urusi.

IMG_4396.jpg
 
Hakuna kitu inashinda wananchi wenye hari na nia ya kufa kulinda nchi yao.Watu wa namna hii wanakuaga hatari sana.Ni ngumu sana kuwawekea order ukawatawala labda uamue kupiga nuclear wafe wote.
Hakuna vita hapo mkwala tu Dunia ya leo vita baina ya nchi na nchi sio rahisi. Vita iliyopo ni ya ndani ya wenyewe kwa wenyewe sio nchi na nchi.
 
Hakuna kitu inashinda wananchi wenye hari na nia ya kufa kulinda nchi yao.Watu wa namna hii wanakuaga hatari sana.Ni ngumu sana kuwawekea order ukawatawala labda uamue kupiga nuclear wafe wote.
Unayumba sana Mkuu Sir Chief!
Nakumbuka raia kama Hawa walishika bunduki pia nchini Iraq dhidi ya majeshi ya Marekani na washirika wake,lakini haikusaidia kitu.
 
Hii inaonesha tu kwamba 'local support' ya Ukraine juu ya uvamizi unaotarajiwa wa Urusi ni ndogo sana. Mpaka mastaa kama Wladimir Klitschko wamejiunga na jeshi la akiba.
 
Unayumba sana Mkuu Sir Chief!
Nakumbuka raia kama Hawa walishika bunduki pia nchini Iraq dhidi ya majeshi ya Marekani na washirika wake,lakini haikusaidia kitu.
Hapana siyumbi.
Umetolea mfano Iraq,perfect..Sasa niambie baada ya majeshi ya marekani kuingia Iraq,vipi nchi ilitawalika?..Unafahamu kwamba nusu ya wanajeshi wa marekani waliofariki walikufaa baada ya marekani kuingia Baghdad?..Yaani kila week lazima mabox ya maiti yapelekwe Marekani,kila mtu alikuwa na bunduki na wengine walikuwa wanajitoa muhanga tu
 
Hakuna vita hapo mkwala tu Dunia ya leo vita baina ya nchi na nchi sio rahisi. Vita iliyopo ni ya ndani ya wenyewe kwa wenyewe sio nchi na nchi.
Wenye kwa wenyewe kina nani? Urusi na Ukraini si jamii moja ila kuna muingiliano baina yao.
 
Unayumba sana Mkuu Sir Chief!
Nakumbuka raia kama Hawa walishika bunduki pia nchini Iraq dhidi ya majeshi ya Marekani na washirika wake,lakini haikusaidia kitu.
Mh? Achana na propaganda embu ludi kitabuni
 
Media zimefanya watu wawaogope warusi wako Poa tu mpaka uwachokoze nilikua najifunza kirussia and met 3 Russians they were so cool and willing to help nawakubali sana compared to those Americans and English people kwanza most of them are mean.
Kwenye huu mgogoro Russia wakosea wapi?
 
Wawape taarifa watu wao kuwa urusi ana kombora lisiloonekana ile kuliona limeshatua wajipange na hilo.
 
Back
Top Bottom