Sasa Russia kwa nini apate tabu si awe tu mpole kisha atume maombi aruhusiwe kujiunga na Nato. If you can't beat them join them.Korofi ni NATO,, baada ya vita baridi walikubaliana NATO na warsaw pact zivunjwe ,, mrusi akatimiza,, marekani na wenzake wakaendelea na NATO huku wakinyakua nchi kuizunguka Russia,,
Russia wamestuka kusa wanazidi kuzungukwa tu, ndiposa wameweka jeshi tayari