Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Korofi ni NATO,, baada ya vita baridi walikubaliana NATO na warsaw pact zivunjwe ,, mrusi akatimiza,, marekani na wenzake wakaendelea na NATO huku wakinyakua nchi kuizunguka Russia,,Sasa kwneye huu mgogoro Urusi yeye si ndo korofi?maana naona navunja ahadu yake ya kundo ingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote ya kigen.
Russia wamestuka kusa wanazidi kuzungukwa tu, ndiposa wameweka jeshi tayari