Ukraine itume mabalozi wake kwenda Mkoa wa Mara kuchukua wapiganaji, mkoa huu unapenda sana kazi za Jeshi

Nitumie nauli yangu kwenda kufia nchi yao. Mbaya zaidi hata manati sijui kuyatumia, mi nilikuwa nazikimbia tu stress za mke wangu na mchepuko, maana wameunganisha nguvu kuninyanyasa kijinsia
wenzako mateso ya mbususu ni starehe tupu...zikikutesa tu unafunua....unalia kidogo unapewa tena ukirudi ivi zinajitapikia hovyo unavua nguo unabeba matapishi unafua zinashangaa...unapewa za moto baaasi buruuudaniiiiiii....utaomba usife mapema.
 
...kuanzia wajita, wakurya, wajaluo, Wazanaki, Wangoreme, Wasuba, Waikizu, Waisenye, Waikoma, Wakwaya, Waluli, Washashi, Wanata na Wasweta
πŸ˜‚πŸ˜‚
Acha mbwembwe bhana!
Ungesema tu:
Wakurya, Wajita, Wajaluo basi..
Hayo majina mengine ni ya Koo, siyo makabila!!!
 
Unataka wafe kama kumbikumbi ? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
wenzako mateso ya mbususu ni starehe tupu...zikikutesa tu unafunua....unalia kidogo unapewa tena ukirudi ivi zinajitapikia hovyo unavua nguo unabeba matapishi unafua zinashangaa...unapewa za moto baaasi buruuudaniiiiiii....utaomba usife mapema.
🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…