Ukraine itume mabalozi wake kwenda Mkoa wa Mara kuchukua wapiganaji, mkoa huu unapenda sana kazi za Jeshi

Ukraine itume mabalozi wake kwenda Mkoa wa Mara kuchukua wapiganaji, mkoa huu unapenda sana kazi za Jeshi

Nitumie nauli yangu kwenda kufia nchi yao. Mbaya zaidi hata manati sijui kuyatumia, mi nilikuwa nazikimbia tu stress za mke wangu na mchepuko, maana wameunganisha nguvu kuninyanyasa kijinsia
wenzako mateso ya mbususu ni starehe tupu...zikikutesa tu unafunua....unalia kidogo unapewa tena ukirudi ivi zinajitapikia hovyo unavua nguo unabeba matapishi unafua zinashangaa...unapewa za moto baaasi buruuudaniiiiiii....utaomba usife mapema.
 
...kuanzia wajita, wakurya, wajaluo, Wazanaki, Wangoreme, Wasuba, Waikizu, Waisenye, Waikoma, Wakwaya, Waluli, Washashi, Wanata na Wasweta
😂😂
Acha mbwembwe bhana!
Ungesema tu:
Wakurya, Wajita, Wajaluo basi..
Hayo majina mengine ni ya Koo, siyo makabila!!!
 
wenzako mateso ya mbususu ni starehe tupu...zikikutesa tu unafunua....unalia kidogo unapewa tena ukirudi ivi zinajitapikia hovyo unavua nguo unabeba matapishi unafua zinashangaa...unapewa za moto baaasi buruuudaniiiiiii....utaomba usife mapema.
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom