Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Waingie wanangojea nnKwa taarifa tu, NATO ndio wamemzuia kichaa Putin kuiteka Ukraine. Na hapo NATO iliwekeza kiduchu tu, Putin kachanganyikiwa hadi kaondoa majeshi. Je, wakisema wanaingia jumla, si ndani ya masaa mawili NATO inatinga Kremlin na Putin anakuwa mgeni wa lazima wa Kiduku!!!
Au wanapenda haya yanayofanywa na PUT IN
RUSSIA sio ZIMBABWE