Ukraine kama Nyumbani kunazidi kunoga

Ukraine kama Nyumbani kunazidi kunoga

Javelin mkuu Putin hatakaa asahau hayo makombora ya Kg 12 tuuView attachment 2182036View attachment 2182038
Sasa hivi Ukraine anapewa hizi latest Starstreak Manpads
Screenshot_20220410-043851.jpg
 
nato yakupuuzwa tu... wanajifanya wako bize kumtembelea huyo msanii kipindi hiki Russia ameishabomoa nchi yote na kusepa halafu wao ndo eti wanajifanya wanakuja kuwatia moyo wa Ukraine.. mi nitaona wa maana wakiweza kukaa msitari wa mbele kuikomboa donbass na krimea
Donbas haianguki na na Crimea inarudi , na Russia italipa Gharama, kaa Kwa kutulia ,
 
Twende taratibu Hau🤣🤣

Kwanza Ukraine si taifa dhaifu KIUCHUMI NA KISILAHA....

Zelensky alijua iko siku mwamba Putin atamuingilia KYIV....

Akajiandaa vyema....maandalizi yakihusisha na kuunganisha TUNNELS zenye kila kitu kutoka kila jumba moja kuelekea jingine DOWNTOWN Kyiv......

Kwa hiyo jamaa wanapigana sana GORILLA FIGHT.....na hii si rahisi hata kidogo....ni hatari sana kwa INFANTRY wa URUSI.....

Gorilla Fight ilitumiwa sana na TALIBAN dhidi ya Urusi na hata dhidi ya marafiki zako AMERICA.....

Simlaumu Putin bali kuyaondosha majeshi amejifunza kitu na anakwenda KUJIPANGA UPYA.....

Unaweza kutuwekea na zile athari za majengo yaliyoshukiwa na SUPERSONIC MISSILES za kamarada Putin ?!!! 🤣

Je naongopa kuwa ZELENSKY amekubali kuwa UKRAINE haitojiunga NATO ?!!!

Je huu si USHINDI kwa Comandante Putin?!!!

Udhaifu wa kiuchumi au kijeshi ni relative. In relation to Russia Ukraine ni dhaifu mno. Hapo ndipo ya kijana mdogo kutikisa mbuyu yanapokuja.

Kuchukua tahadhari dhidi ya hatari haumaanishi kuwa unajua hatari inakuja.

Kuchukua hatari kujihami hakuhalalishi Russia kumvamia Ukraine kwa kisingizio Kwamba kwanza alisha chimba na Luanda safer houses na exits ardhini.

Kuyaondoa majeshi kujipanga upya ni ushahidi wa wazi kuwa anakabiliwa na a new reality. Jambo la kheri tu.

Uzalendo ni kuifia nchi mjomba majengo kitu gani?

Kwamba Zelensky hataingia NATO? Kuthibitisha hilo labda uwe Kerubi.

Kwamba Putin kashinda vita? Kwani vita imekwisha, au?
 
Mbona hujiulizi mashoga na wenye mlengo huo wanashabikia Ukraine?

Yumkini utakuwa shoga wewe. Hayupo mwuungwana mmoja anashabikia vita.

Makelele unayosikia ni kulaani udhwalimu na kupigania haki zikiwamo za Job Yustino Ndugai. Kwani Ndugai kama kina Ben, Azory au Lijenje yuko wapi?

Mashoga mashabiki pande za Buza kwa Mpalange mko hapo mnawakilisha:

IMG_20220302_115525_094.jpg
 
CRIMEA ile ni RUSSIA
kama unawaza kwamba eti CRIMEA itarejea UKRAINE waza tena
watu wanataka kupita na LUHANSK DONEST MAURIPOL ODESSA nk
RUSSIA sio ZIMBABWE

Hata Amini alisema hivyo kwa Kagera.

Kauli kama hizi wewe kama siyo Kerubi ni za kujiliwaza kwa muda tu.
 
Wampelekee Matingatinga, hata used, akakusanye vifusi, asafishe nchi!
Idiot of a comedian, wanakimbilia kutafuta kampuni zao kupata contract za Ku rebuild. Kusafisha mabaki ya silaha, na kumuuzia silaha!

Ukraine yuko tayari kufa kuipigania nchi yake. Ukraine si Tanzania, sorry to say:

IMG_20220405_124518_576.jpg


Habari ndiyo hiyo.
 
look like
hakuna vita ya dunia kuna OP maalum tuuu

Kuna ushahidi wa vita zaidi ya huu?

IMG_20220410_002330_133.jpg


Hilo limetokea Russia likitembea lenyewe.

Walikuja na nywele kichwani wamerudi na vinara kama marope.
 
nato yakupuuzwa tu... wanajifanya wako bize kumtembelea huyo msanii kipindi hiki Russia ameishabomoa nchi yote na kusepa halafu wao ndo eti wanajifanya wanakuja kuwatia moyo wa Ukraine.. mi nitaona wa maana wakiweza kukaa msitari wa mbele kuikomboa donbass na krimea
Kwa taarifa tu, NATO ndio wamemzuia kichaa Putin kuiteka Ukraine. Na hapo NATO iliwekeza kiduchu tu, Putin kachanganyikiwa hadi kaondoa majeshi. Je, wakisema wanaingia jumla, si ndani ya masaa mawili NATO inatinga Kremlin na Putin anakuwa mgeni wa lazima wa Kiduku!!!
 
Fake news hio

Jumbe Brown kuna wito wako huku.

Hata hivyo ndugu mjumbe, kwamba kipi si kweli?

1. Njaa Kenya?
2. Unguli wa diplomasia wa Russia?
3. Kenya ni small boy?
4. U mbuyu wa Russia?
5. Kujishika makalio kwa small boy?

Ukweli unajulikana kwa uchungu wake lakini.
 
Hatushabikii vita ila tunasimama na haki. Hii ndiyo tofauti yetu sisi kwa Mtogole.

Hakuna asiyejua Crimea kama Donbas na Lohansk hivi sasa zinakaliwa na Urusi kama ilivyokuwa Kagera na Amini.

Kupanua mipaka ya nchi kijeshi ni kinyume na sheria za kimataifa.

Vita ndiyo kwanza kungali asubuhi.
Hivi nyie mbwa mnaokesha kuongelea haki mnaijua haki.??

Iraq, Libya, Palestina, etc hamkuona hao mnawashabikia walichofanya huko.? MiTanzania ni mbwa sana..
 
Jumbe Brown kuna wito wako huku.

Hata hivyo ndugu mjumbe, kwamba kipi si kweli?

1. Njaa Kenya?
2. Unguli wa diplomasia wa Russia?
3. Kenya ni small boy?
4. U mbuyu wa Russia?
5. Kujishika makalio kwa small boy?

Ukweli unajulikana kwa uchungu wake lakini.
Hakuna mahali Putin aliongea hivyo, ndo maana nikasema fake news.
 
Hakuna mahali Putin aliongea hivyo, ndo maana nikasema fake news.
Hukuwahi kusikia mwenye macho haambiwi tazama?

Kwani:

1. Kenya inajitosheleza kwa chakula?
2. Kenya wazoefu kidiplomasia kuliko Russia?
3. Kenya ni big brother wa Russia?
4. Russia ni kama mchicha?
5. Kujishika makalio si kama kujishika kifuani au kwapani tu?

Ni kawaida mkuu ukweli huwa mchungu.

Kunywa maji mengi.
 
Back
Top Bottom