Ukraine kama Nyumbani kunazidi kunoga

Ukraine kama Nyumbani kunazidi kunoga

Hilo ni baadaye sasa hivi lengo ni kuhakikisha vita inakuwa localized Ukraine na Russia anafurushwa kote Ukraine hadi Crimea.
CRIMEA ile ni RUSSIA
kama unawaza kwamba eti CRIMEA itarejea UKRAINE waza tena
watu wanataka kupita na LUHANSK DONEST MAURIPOL ODESSA nk
RUSSIA sio ZIMBABWE
 
Wiki 3 zijazo Ukraine atakuwa na vifaa hatari mno
unahisi kwanini wasingempa week moja baada ya kuvamiwa
unadhani anaweza akazitumia kuwaondoa RUSSIA kwenye ardhi ya UKRAINE
UKRAINE kaponzwa akaponzeka atasagwa sagwa sana huyu DOGO
 
CRIMEA ile ni RUSSIA
kama unawaza kwamba eti CRIMEA itarejea UKRAINE waza tena
watu wanataka kupita na LUHANSK DONEST MAURIPOL ODESSA nk
RUSSIA sio ZIMBABWE

Hatushabikii vita ila tunasimama na haki. Hii ndiyo tofauti yetu sisi kwa Mtogole.

Hakuna asiyejua Crimea kama Donbas na Lohansk hivi sasa zinakaliwa na Urusi kama ilivyokuwa Kagera na Amini.

Kupanua mipaka ya nchi kijeshi ni kinyume na sheria za kimataifa.

Vita ndiyo kwanza kungali asubuhi.
 
Imani zote za ujamaa ulizo zitaja Putin kazivunja.

Udhwalimu ni uporaji wa haki za wengine. Putin kawavamia Ukraine na kuwakalia kwa sababu zisizokubalika.

Hana tofauti na Amini, Kagera, Bush, Afghanistan au Israel, Gaza.

Udhwalimu wowote ni uovu wa kukemewa bila kujali anayekemewa ni mbuyu au mchicha.

Udhwalimu wowote si wa kuvumiliwa.
Ni kweli...UDHALIMU ni wa kukemewa....

Ila......

Unawezaje kuuzuia UDHALIMU bila kufuata njia ambazo nazo hazitoonekana ni za wema ?!!!!

Ikiwa MADHALIMU wa magharibi hawataki DEMOKRASIA ya kweli.....wameitimbanga iitwayo DEMOKRASIA na kufikia kubaki katika makabrasha ya rejea za waasisi wake kule UGIRIKI.......je wa kulaumiwa ni nani?!! Putin ?!!!!

Tuanze nyuma kidogo.... WHITE SUPREMACISM imeibaka DEMOKRASIA na kusimama kuwa ADUI wa wanyonge WASIOTAKA kutawaliwa.....WHITE SUPREMACISM imeigawa dunia pande 4......pande 3 zote zinatafsiriwa kuwa ZINAKALIWA NA WANADAMU NUSU....isipokuwa upande wa MAGHARIBI TU.....

Magharibi kumejaa watu wenye macho ya BULUU NA KIJANI.....

Putin naye ana macho kama yao.....ila tu bahati mbaya yake yuko UPANDE ULE WA LAANA(MASHARIKI)......

Wanamuona Putin adui mkubwa kwao kwani ni "ARYAN"mwenzao....

Saddam hakuwa Aryan.....
Gaddafi hakuwa Aryan....
Chavez hakuwa Aryan.....
Mao Tse Tung si Aryan......

La kufurahisha ni moja tu....kiupekee EL COMANDANTE VLADIMIR PUTIN anawapinga ARYAN wenzake na ndio maana anasema ADUI WAO NI "NEO NAZISTS"............

Hitler unamkumbuka vyema tu ...japo wamagharibi walimpinga na wanaendelea kumpinga HADHARANI ....ila si SIRINI.....

Hau eee THESIS + ANTI-THESIS=SYNTHESIS.........

Karibu CHUPA la kahawa hapa nikisubiria kula DAKU alias SUHOOR........

#Hasta La Victoria El Comandante Julius Kambarage Nyerere ,Siempreeeee🙏
 
Hatushabikii vita ila tunasimama na haki. Hii ndiyo tofauti yetu sisi kwa Mtogole.

Hakuna asiyejua Crimea kama Donbas na Lohansk hivi sasa zinakaliwa na Urusi kama ilivyokuwa Kagera na Amini.

Kupanua mipaka ya nchi kijeshi ni kinyume na sheria za kimataifa.

Vita ndiyo kwanza kungali asubuhi.
Ewe mkazi wa Kwa Mtogole Kwa Manjunju Uji Wa Mwana nisikilize kidogo miye kijana mnywa GAHWA maarufu hapa kwa bi Nyau......

Hau ee ,ni kwamba UNAJISAHAULISHA ama hujui kuwa USSR ilivunjwa makusudi ili ZIPATIKANE NCHI ZITAKAZOKUWA KINYUME NA ITIKADI YA KISOVIETI ya URUSI YA SASA ?!!!!

Mtu gani makini asiyejua kuwa UKRAINE ilikuwa ni miongoni mwa nchi zilizokuwa ndani ya USSR ?!!!!
 
Ni kweli...UDHALIMU ni wa kukemewa....

Ila......

Unawezaje kuuzuia UDHALIMU bila kufuata njia ambazo hazitoonekana ni za wema ?!!!!

Ikiwa MADHALIMU wa magharibi hawataki DEMOKRASIA ya kweli.....wameitimbanga iitwayo DEMOKRASIA na kufikia kubaki katika makabrasha ya rejea za waasisi wake kule UGIRIKI.......je wa kulaumiwa ni nani?!! Putin ?!!!!

Tuanze nyuma kidogo.... WHITE SUPREMACISM imeibaka DEMOKRASIA na kusimama kuwa ADUI wa wanyonge WASIOTAKA kutawaliwa.....WHITE SUPREMACISM imeigawa dunia pande 4......pande 3 zote zinatafsiriwa kuwa ZINAKALIWA NA WANADAMU NUSU....isipokuwa upande wa MAGHARIBI TU.....

Magharibi kumejaa watu wenye macho ya BULUU NA KIJANI.....

Putin naye ana macho kama yao.....ila tu bahati mbaya yake yuko UPANDE ULE WA LAANA(MASHARIKI)......

Wanamuona Putin adui mkubwa kwao kwani ni "ARYAN"mwenzao....

Saddam hakuwa Aryan.....
Gaddafi hakuwa Aryan....
Chavez hakuwa Aryan.....
Mao Tse Tung si Aryan......

La kufurahisha ni moja tu....kiupekee EL COMANDANTE VLADIMIR PUTIN anawapinga ARYAN wenzake na ndio maana anasema ADUI WAO NI "NEO NAZISTS"............

Hitler unamkumbuka vyema tu ...japo wamagharibi walimpinga na wanaendelea kumpinga HADHARANI ....ila si SIRINI.....

Hau eee THESIS + ANTI-THESIS=SYNTHESIS.........

Karibu CHUPA la kahawa hapa nikisubiria kula DAKU alias SUHOOR........

#Hasta La Victoria El Comandante Julius Kambarage Nyerere ,Siempreeeee🙏

Umeandika mambo ya kufikirika.

Hakuna anayependa udhwalimu. Mtoto mdogo anaujua na kuuchukia udhwalimu.

Iko hivi Russia alipo hakuna mmoja anamwunga mkono wa dhati yake. Na akikaa hovyo atatimuliwa pia UN.

Neo Nazi? Unajua ma Nazi maadui zao wakuu walikuwa mayahudi? Hayupo Nazi mmoja mwenye uyahudi.

Kumbuka Zelensky ana asili ya mayahudi. U nazi wake anaopambana nao Putin uko wapi?

Sana sana wanaomwunga mkono Putin ni wale wenye madhwalimu yao:

North Korea, Eritrea, Iran, Afghanistan bila kuwasahau wale warusi mashuhuri wa kwetu Buza pichani wanawakilisha:

IMG_20220302_115525_094.jpg
 
Hatushabikii vita ila tunasimama na haki. Hii ndiyo tofauti yetu sisi kwa Mtogole.

Hakuna asiyejua Crimea kama Donbas na Lohansk hivi sasa zinakaliwa na Urusi kama ilivyokuwa Kagera na Amini.

Kupanua mipaka ya nchi kijeshi ni kinyume na sheria za kimataifa.

Vita ndiyo kwanza kungali asubuhi.
hii sio vita ni OP maalum tuu
RUSSIA haiwezi kuingia VITANI na UKRAINE
 
Umeandika mambo ya kufikirika.

Hakuna anayependa udhwalimu. Mtoto mdogo anaujua na kuuchukia udhwalimu.

Iko hivi Russia alipo hakuna mmoja anamwunga mkono wa dhati yake. Na akikaa hovyo atatimuliwa pia UN.

Neo Nazi? Unajua ma Nazi maadui zao wakuu walikuwa mayahudi? Hayupo Nazi mmoja mwenye uyahudi.

Kumbuka Zelensky ana asili ya mayahudi. U nazi wake anaopambana nao Putin uko wapi?

Sana sana wanaomwunga mkono Putin ni wale wenye madhwalimu yao:

North Korea, Eritrea, Iran, Afghanistan bila kuwasahau wale warusi mashuhuri wa kwetu Buza pichani wanawakilisha:

View attachment 2182116
kumuondoa RUSSIA huko UN sidhanii kama linawezekana
ila ikatokea likawezekana haitakua ndio dawa kwa UKRAINE
UKRAINE anashinda kuweni wapole
 
Ewe mkazi wa Kwa Mtogole Kwa Manjunju Uji Wa Mwana nisikilize kidogo miye kijana mnywa GAHWA maarufu hapa kwa bi Nyau......

Hau ee ,ni kwamba UNAJISAHAULISHA ama hujui kuwa USSR ilivunjwa makusudi ili ZIPATIKANE NCHI ZITAKAZOKUWA KINYUME NA ITIKADI YA KISOVIETI ya URUSI YA SASA ?!!!!

Mtu gani makini asiyejua kuwa UKRAINE ilikuwa ni miongoni mwa nchi zilizokuwa ndani ya USSR ?!!!!

Kwa hiyo Ukraine ni Russia? Kumbe mengine haya ni chokochoko za Putin tu?

Sasa kama Ukraine ni Russia mbona amekimbia mbio tokea kote alikokuwa Ukraine na anajaribu sasa kujiimarisha kwenye mawimbi hayo matatu peke yake?

Vipi u neo nazi umekwisha sasa? Vipi military operation to neutralize the Ukrainian army? Au mission aborted?

Mengine haya labda Lumumba mtawadanganya. Huku kweli na hoja hizi za cold war era, leo?
 
Kwani Russia anakabiliana pale na Ukraine peke yake?
hao wengine walojificha nasema hawapo nandio maana wanajificha
kama wanaweza watangaze kuingia mzigoni rasmi
RUSSIA anafanya ka OP kadogo tu kwahuyo bwana mdogo
 
kumuondoa RUSSIA huko UN sidhanii kama linawezekana
ila ikatokea likawezekana haitakua ndio dawa kwa UKRAINE
UKRAINE anashinda kuweni wapole

Hapa si suala la kudhani mkuu, labda kama wewe ni Kerubi? Wameanza na Human Rights Council. Tayari Russia out.

Kura zote zilizopigwa UN kwenye kadhia hii zimekuwa dhidi ya Russia.

Akikaa hovyo anafurushwa UN.

Kumbuka hivi ni vita vikuu vya III vya dunia vipiganiwe tu ndani Ukraine kwa mujibu wa makubaliano:

IMG_20220408_095229_824.jpg
 
Hapa si suala la kudhani mkuu, labda kama wewe ni Kerubi? Wameanza na Human Rights Council. Tayari Russia out.

Kura zote zilizopigwa UN kwenye kadhia hii zimekuwa dhidi ya Russia.

Akikaa hovyo anafurushwa UN.

Kumbuka hivi ni vita vikuu vya III vya dunia vikipiganiwa ndani Ukraine:

View attachment 2182127
hakuna vita ya 3
labda huko UKRAINE ndio wanaona hvyo ila kule RUSSIA hio ni OP maalum kama yakuja kukamata wavuta unga mitaani
kwa RUSSIA hapo UKRAINE hakuna vita
 
hao wengine walojificha nasema hawapo nandio maana wanajificha
kama wanaweza watangaze kuingia mzigoni rasmi
RUSSIA anafanya ka OP kadogo tu kwahuyo bwana mdogo

Kwani unadhani wamejificha au hawapo? Mrusi alikuwa 20km kutoka down town Kyiv. Vipi angali yuko pale?

Mrusi amejiridhisha hasara kubwa ya watu na vifaa. Unadhani ni musuli wa Ukraine peke yake huo?

Labda kama unasema kumbe hata sisi tunaweza tu tukamdindia?!
 
Umeandika mambo ya kufikirika.

Hakuna anayependa udhwalimu. Mtoto mdogo anaujua na kuuchukia udhwalimu.

Iko hivi Russia alipo hakuna mmoja anamwunga mkono wa dhati yake. Na akikaa hovyo atatimuliwa pia UN.

Neo Nazi? Unajua ma Nazi maadui zao wakuu walikuwa mayahudi? Hayupo Nazi mmoja mwenye uyahudi.

Kumbuka Zelensky ana asili ya mayahudi. U nazi wake anaopambana nao Putin uko wapi?

Sana sana wanaomwunga mkono Putin ni wale wenye madhwalimu yao:

North Korea, Eritrea, Iran, Afghanistan bila kuwasahau wale warusi mashuhuri wa kwetu Buza pichani wanawakilisha:

View attachment 2182116
🤣🤣🤣

Ni kweli NAZI maadui wao wakuu walikuwa ni mayahudi.....

Unajua ni kwanini ?!!!

Mayahudi waasili si ARYAN(pure blood...white supremacists).....

Mayahudi walikuwa ni WANYONGE waliokimbilia uhamishoni....walikimbilia UKRAINE ,POLAND ,URUSI ,UJERUMANI ,HUNGARY ,BULGARIA ,UHISPANIA na kufika mpaka nchi za MAGHARIBI...yote ni kujiokoa na UDHALIMU waliofanyiwa na WARUMI.......

Zelensky ni kizazi cha mbali sana cha wayahudi hao........la ajabu hushangai anawezaje KUUNGANA MKONO na nchi za MAGHARIBI zenye CHUKI(WHITE SUPREMACISM) dhidi ya mababu zake....hapa unajifunza kitu kuwa "HE IS ALREADY INTERGRATED"...

Unamkumbuka "UNCLE TOM" yule wa filamu ya KINTA KINTE ?!!!!

Uncle Tom yule mweusi mwenzetu ambaye kwa UNYAPARA aliopewa na "slave masters" alijitapa katika MEZA YA BWANA ZAKE WEUPE kuwa YEYE SI MTU MWEUSI kwa kuwa tu mtu mweusi kamwe ASINGEWEZA KUALIKWA KATIKA HAFLA NA STAFTAHI YA MABWANA WEUPE huku akipigiwa VINUBI na watumwa weusi🤣🤣

Uncle Tom akafika mbali na kusema MTUMWA MWEUSI hawezi akavaa SUTI wanazovaa MABWANA WEUPE....ZELENSKY HAS SOLD OUT........

Cutting a long story short ,kuna kitu nimejifunza kwako....WEWE UMUUMINI mzuri sana wa DEMOKRASIA ILIYO PURE....kudos kwa hilo 👏👏👏

Unfortunately it does not exist anymore.....secretely it has been used as a weapon to TERRORISE others(SUB-HUMANS) and spreading NEO COLONIALISM.......

Sorry to say I stand with El Comandante Vladimir Putin though he is a human being with lots of mistakes....
 
Wampelekee Matingatinga, hata used, akakusanye vifusi, asafishe nchi!
Idiot of a comedian, wanakimbilia kutafuta kampuni zao kupata contract za Ku rebuild. Kusafisha mabaki ya silaha, na kumuuzia silaha!
Bambushka dada mwenye FIKRA PANA maa shaa Allah 💪

Kudos 👏👏👏
 
Wampelekee Matingatinga, hata used, akakusanye vifusi, asafishe nchi!
Idiot of a comedian, wanakimbilia kutafuta kampuni zao kupata contract za Ku rebuild. Kusafisha mabaki ya silaha, na kumuuzia silaha!
🤣🤣😍
 
Back
Top Bottom