- Thread starter
- #61
hakuna vita ya 3
labda huko UKRAINE ndio wanaona hvyo ila kule RUSSIA hio ni OP maalum kama yakuja kukamata wavuta unga mitaani
kwa RUSSIA hapo UKRAINE hakuna vita
Kwa Mtogole pande zipi hiyo mkuu?
Vita vya dunia huko wanatwambia wao. Buza nawe una yako.
Tuwaamini wao au wewe Mrusi wa Buza?