Ukraine kuanzisha kitovu cha nafaka bandari ya Mombasa kukabiliana na uhaba wa chakula Afrika Mashariki

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Ukraine kuanzisha kitovu cha nafaka katika bandari ya Mombasa ili kukabiliana na uhaba wa chakula Afrika Mashariki, asema Rais Ruto baada ya mazungumzo na Rais Zelensky.

Haya yametokea wakati Ruto akiwa kwenye ziara nchini Marekani, ambapo alimpongeza Rais Zelensky kwa kuendelea kupambana na Urusi na kumwambia kuwa waelewe kuwa Kenya inawaunga mkono, katika mazunguzo hayo Rais Zelensky alimkaribisha Rais Ruto kutembelea Kyive, Ukraine.



Your browser is not able to display this video.
 
Kazi tunayo ila inashangaza inakuaje Nchi ya Ukraine ije kuweka Kitovu Cha nafaka Kenya wakati sisi Tanzania tupo tungeweza kuweka hicho Kitovu hapo Kunyaland?

Anyway hapa production cost ndio itaamua mteja akanunue wapi maana italeta ushindani mkubwa kwetu.
 
the way Kunyaland inajiaibisha aisee yaani ka-Ukraine kaliko kwenye vita ndo kalishe East Africa?
 
Kwamba Tanzania ina njaa kuliko Kenya....mkuu acha vituko utwchekwa.
Mimi mwenyewe nimeshangaa wakati wa KE tulikuwa tukiwauzia mpaka mahindi...

Lakini sasa hizo ndio takwimu, na bila shaka zimefanywa na watu waliofanya intensive research!!

Lakini, yawezekana hizo takwimu ni mahususi kwa kipindi flani, labda!!
 
Uwe specific siyo kuisemea Afrika mashariki yote
 
Ukraine hiihii inamlamba miguu Mrusi aruhusu nafaka anayoishikilia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…