T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Umechanganya kidogo mkuu. Iris-T ni air to air missile mbadala wa Sidewinder ambayo imezeeka. Kwanza Ujerumani sidhani kama wamemaliza hiyo project mpaka kuwa na excess missiles. Na kwa vile ni mpya, its unlikely inaweza tolewa hata ingekuwa Marekani. Na Ujerumani inaringa kiasi kwenye utoaji.Nadhani mdau anazungumzia/anataka kujua kuhusu IRIS-T air defense systems na sio Gepard
My bad. Nimechanganya ni Iris-T SLM ambayo Ujerumani imesema itaipa Ukraine miezi miwili ijayo. Hii inadaka mpaka cruise missiles,nadhani ndo huyo mdau alitaka kuifahamu km nitakua sijakosea.Umechanganya kidogo mkuu. Iris-T ni air to air missile mbadala wa Sidewinder ambayo imezeeka. Kwanza Ujerumani sidhani kama wamemaliza hiyo project mpaka kuwa na excess missiles. Na kwa vile ni mpya, its unlikely inaweza tolewa hata ingekuwa Marekani. Na Ujerumani inaringa kiasi kwenye utoaji.
US ana Abrams model ya kwanza zaidi ya 100 ila nimesoma somewhere kwamba hawezi zitoa kwa kuwa sheria inazuia kufanya exportation ya armour plates za vile vifaru
Fedha ya Mrusi iliyozuiawa nje ndio itatumika kulipia gharama hizo, Na ukraine hata pata shida ktk ujenzi wa nchi yake kamwe, kwani karibu dunia nzima imeona kabisa kuwa ameonewa, hivyo misaada atapata sana!!!Na ndio maana hata raia wake waliokimbia vita nchi nyingi za ulaya zilikuwa zinawakimbilia kuwapa hifadhi.naona deni la ukraine kwa wamerekani linazidi kuongezeka. patamu hapo. hakuna cha bure katika mataifa ya kibepari.
Hahaaaa!!na ndio maana mzee BIDEN, amemuonya ole wake ajaribu , kwani wameshamuona hati tete!!na ki ukweli hata kile kidogo alichokichukua mwaka 2014(crimea)kinaenda mponyoka sasa!!Kwa jinsi hali inavyokwenda kuna kila dalili kwa Urusi pumzi kukata mapema. Njia pekee kwa sasa kwa Russia kuweza kushinda hii vita ni kufyatua Nyuklia tu, tofauti na hapo hata kule Crimea atakimbizwa mazima.
Washamjua Putin na Russia yenyewe hivyo wamalize mapema ili Ukraine ielekeze nguvu kujiunga NATO ili mengine yaendeleeHebu kidogo....tulikubaliana hii vita ichukue muda mrefu mbona mnataka kuimaliza mapema...??
Usiwe mtoto mwenye Deni ni US aliyeomba ardhi ya Ukraine itumike kutambua uwezo wa PUT innaona deni la ukraine kwa wamerekani linazidi kuongezeka. patamu hapo. hakuna cha bure katika mataifa ya kibepari.
Haiwez tungua kila kitu, drone ya 20k ulipue na bomb la 500kHIMARS ni za kufanya mashambulizi, ila NASAMS ni ya kulinda, kwa kifupi ukiwa na nazo kila kombora analotuma Mrusi linashushwa, kila ndege ikijichanganya kuingia anga la Ukraine inapigwa chini, kila drone chini, yaani unabaki na anga safi, huku wanajeshi wako wa ardhini wanasafirisha HIMARS zinajongea kuendelea na mashambulizi.
Mkuu ilikuwa yale madude ya Iran yalipita mpk kupiga kambi za USA pale Iraq kwenye mifumo yote ya ulinzi wa anga NASAMS?THAAD ni kwa ajili ya missiles aina zote zikiwa terminal phase ambayo ndio ya mwisho. Wakati missile ikiwa launched satellite inaona, missile inakuwa boosted kupanda juu na kuingia anga la nje inakuwa tracked na discriminated na radars, kisha inakuja phase ya katikati kuambaa angani na mwishoni inaanza kushuka hapo ndio THAAD inatuma interceptor missile. Ukisikia Marekani imetoa taarifa kwamba North Korea wamefyatua kombora siku fulani saa fulani hapo wanakuwa hatua za kwanza za utambuzi ila kwa kuwa hizo missiles za Korea zinaelekezwa baharini basi zinakuwa discriminated kwamba sio threat. Zikikosea njia kuingia Japan au South Korea ndipo THAAAD itafyatua interceptor.
NASAMS ni air defence system ya kuzuia ndege na cruise missiles kama Tomahawk na Kalibr za adui. Hii ni short to medium range, inalinda anga muhimu kama New York. Long range ni MIM Patriot.
Aegis ni system ya kuzuia ballistic missiles zikiwa kwenye boost phase na kabla ya reentry phase. Hizi ziko kinyume na THAAD, Aegis zinabidi ziwe karibu na adui ili akifyatua kombora zifanye response mapema. THAAD inakuwa sehemu ambapo adui anatarajiwa kupiga. Ndio maana US hakuna Aegis systems zote imezipeleka karibu na wakorofi.
Russia ana doctrine yake mwenyewe hasa anapenda layered defense
Military budget ya marekan = 778bilion USDSilaha za magharibi nazo mchemsho tu, ni mbwembwe kibao ila hamna kitu.
Kukurukakara zote hizo, vikao kibao vya EU pamoja na misaada lukuki kutoka nchi mbalimbali ila bado wameshindwa kumchimbua mrusi hapo Ukraine...hovyo!
Kwa tathimini ya jumla, Putin bado ni kisiki.
Walisema hawakuwa na mfumo wowote, baadae baada ya kupigwa walipeleka PatroitMkuu ilikuwa yale madude ya Iran yalipita mpk kupiga kambi za USA pale Iraq kwenye mifumo yote ya ulinzi wa anga NASAMS?
Kama ni kweli basi mrusi atataka suluhuHIMARS ni za kufanya mashambulizi, ila NASAMS ni ya kulinda, kwa kifupi ukiwa na nazo kila kombora analotuma Mrusi linashushwa, kila ndege ikijichanganya kuingia anga la Ukraine inapigwa chini, kila drone chini, yaani unabaki na anga safi, huku wanajeshi wako wa ardhini wanasafirisha HIMARS zinajongea kuendelea na mashambulizi.
NASAMS hazipo Iraq walikopiga. Na hawakuwa kwenye hali ya hatari, sio kila radars zinawashwa 24/7 miaka yote. Utaingia maintenance cost kubwa na gharama kubwa za uendeshaji kama utafanya delicate systems kubwa operational muda woteMkuu ilikuwa yale madude ya Iran yalipita mpk kupiga kambi za USA pale Iraq kwenye mifumo yote ya ulinzi wa anga NASAMS?
Unafahamu kama ile kambi iliyoko IRAQ ndiyo kambi kubwa ya kijeshi kuliko zote pale Mashariki ya kati kwa USA? unamini kweli Base kubwa midle east yenye wanajeshi wote wa USA isiwe na Mfumo wa ulinzi wa anga?Walisema hawakuwa na mfumo wowote, baadae baada ya kupigwa walipeleka Patroit
Sasa kumbe pale Iraq walikuwa wanatumia mfumo gani wa ulinzi wa anga ao USA? yani awape Ukraine Ulinzi wa anga ila wanajeshi wake pale Iraq asiwe ulinzi huku anajua fika kuwa pale adui zake na vitisho tosha anavyopata toka Iran!NASAMS hazipo Iraq walikopiga. Na hawakuwa kwenye hali ya hatari, sio kila radars zinawashwa 24/7 miaka yote. Utaingia maintenance cost kubwa na gharama kubwa za uendeshaji kama utafanya delicate systems kubwa operational muda wote
sawa team rainbow wa yombo dovya. tumekusikia.Fedha ya Mrusi iliyozuiawa nje ndio itatumika kulipia gharama hizo, Na ukraine hata pata shida ktk ujenzi wa nchi yake kamwe, kwani karibu dunia nzima imeona kabisa kuwa ameonewa, hivyo misaada atapata sana!!!Na ndio maana hata raia wake waliokimbia vita nchi nyingi za ulaya zilikuwa zinawakimbilia kuwapa hifadhi.