Ukraine Kusafirisha Ngano Kwenda China Na Misri Wakati Meli Tano Zikiingia "Black Sea"

Halafu mbona Egypt ilijuunga na brics halafu jina likaendelea kuwa brics tulitegemea litabadilika
 
Kwa hivyo marafiki zake wanamzunguka kufanya biashara na adui yake?.
Hawamzunguki,
Chakula muhimu kwake na kwa washirika wake.

Kwanini hukushangaa alipoendelea kumuuzia Ukraine mafuta yanayotumika kwenye vita dhidi yao?

Kwanini aliendelea kufanya nae biashara ya gesi Hadi miundombinu ilipo lipuliwa?

Kwanini aliendelea na anaendelea kuwauzia Marekani madini Titanium yanayo tumika kwenye ndege na vifaa vingine vya viwandani na usafiri?

Think big, mwisho wa siku kuna mambo mengine fumbo kubwa kwa watu wenye kufikiria karibu au sasa na siyo mbali au kesho.
 
Eti huyu ndo alitaka msumbua USA
 
sio serikal ya urusi ni makampun ya urusi je ayazuie yafe njaa ?
 
Nyie kweli hamna akili au hamsikii kuwa kila siku urusi anashambulia bandari za Ukraine?
Lengo la awali la Urusi halikuwa kushambulia bandari bali ilikuwa kuitawala serikali ya Kyv na kumuondoa Raisi zennesky madarakani.Baada ya kubuma ndio ameanza vitimbi vya kushambulia hovyo mpaka raia🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…