Ukraine: Wafungwa wenye uzoefu wa kijeshi kuachiwa ili wasaidie kupambania nchi yao

Ukraine: Wafungwa wenye uzoefu wa kijeshi kuachiwa ili wasaidie kupambania nchi yao

Kuna haja ya kila mtu kupitia jeshini Hii vita inatufunza mengi hawa watu hawakutegemea kwa karne Hii ingekua hivi siku 1 walikua wanaona nchi za kiarab na Africa tu
hakuna Nchi ya Afrika kwa sasa ina weza pigwa tena zote ni makoloni yao kwa sasa wana ziongoza wao!!
 
Back
Top Bottom