Ukraine wakomboa mji wa Snihurivka. Hivi ile kura ya maoni nini ilikuwa maana yake?

Ukraine wakomboa mji wa Snihurivka. Hivi ile kura ya maoni nini ilikuwa maana yake?

[emoji3][emoji3][emoji3] Mkuu ni heri kukaa kimya tu wakati mwingine.Unasema watu wanasindikizwa kwa shangwe au unatania tu.Kwanini basi hao watu wasisimame nao hao wanajeshi 'kulinda ardhi ya Russia ya kwenye makaratasi ya referrudum'.Hao raia watakuwa wanawatimua pia au hujui msemo wa akufukuzae hakwambii toka utaona tu kwa vitendo.
Kremlin bado inachukulia eneo la Kherson kuwa sehemu ya Urusi. Na haioni chochote cha kufedhehesha kutokana na kitendo cha kuondoa vikosi vyake kutoka eneo la Kherson.

Msemaji wa rais wa Urusi Dmitry Peskov alisema kuwa kuondolewa kwa wanajeshi wa Urusi kutoka Kherson hadi benki ya kushoto ya Dnieper hakutabadilisha hali ya eneo la Kherson lililoshikiliwa na Urusi.

"Hili ni somo la Shirikisho la Urusi, hali hii inafafanuliwa kisheria na kulindwa. Hakuna na hawezi kuwa na mabadiliko yoyote hapa," aliwaambia waandishi wa habari.

Peskov alikataa kujibu swali kutoka kwa waandishi wa habari kuhusu jinsi Vladimir Putin alichukua ripoti ya Jenerali Sergei Surovikin kuhusu hali ya Kherson na uamuzi wa Waziri wa Ulinzi Sergei Shoigu kuondoa kikundi cha kijeshi cha Urusi kutoka kwa jiji hilo.

"Kulikuwa na [uamuzi] wa Waziri wa Ulinzi, kwa hivyo nakuomba uwasiliane na Wizara ya Ulinzi, sina la kusema juu ya mada hii," Peskov alisema.

Akijibu swali kutoka kwa BBC, Peskov alisema kuwa Kremlin haioni kuwa ni fedheha kuondoka kutoka Kherson.
 
Jibu swali kwanini maeneo yaliyopigiwa kura Ukraine wamekomboa mpaka russia kulazimika kuondoa vikosi vyao
Nitajie maeneo yaliyopigiwa kura amvayo Russia kaondoka.

Kuhusu kerson nshakuonesha ramani ni kaeneo kadoooogo kenye dots za blue haya we njoo na ramani inayoonesha eneo lolote walilorudisha
 
naomba ushaid wa IS na wafadhir wao ,
Nina ushahidi wa video ya Waziri mkuu wa Italia akiliongelea hilo suala,sema sina skills za kuiweka hapa hiyo video, ila kwa muda wako itafute upate kumsikia.
 
Nitajie maeneo yaliyopigiwa kura amvayo Russia kaondoka.

Kuhusu kerson nshakuonesha ramani ni kaeneo kadoooogo kenye dots za blue haya we njoo na ramani inayoonesha eneo lolote walilorudisha
Kadoogo maana yake nini? Putin alisema atalinda kwa nuclea ukitoa Kherson kuna mj wa Lyman ambao ni katika miji iliyopigiwa kura, layman ni hub ya usafiri ilikuwa kwa russia kuingiza silaha na vifaa vyao vyote kwa ardhini sasa wamefurushwa kote.,

Mimi sina muda kuangalia ramani ulidownload google, sisi tunaangalia kwenye uwanja wa vita kumejiri nini kila saa na kila dakika

Ata putini kwenye makabati yake Kremlin kumejaa makaratasi tele na sheria kwamba majimbo yale ni yake, lakini ukija field kumejaa bendera za Ukraine katikati ya mji wa Kherson.,

Putin vita alii miscalculate vibaya, wacha yamkute maamae
 
Mpaka sasa nani anaita Mma.

Russia alishapigana miaka 8 mzee
Alikuwa wapi kupigana miaka hiyo hadi kanchi kadogo kama Spain kakamshinda..??

Huyo mandonga wako ameuza eneo la nchi yake (Alaska) kwa mmarekani akihofia kupigwa na kunyan'ganywa..

Huyo mandonga wako amesaidiwa mara ngapi na U.S.A kipindi kile mjerumani amevurugwa alimdunda kama ngoma...😅😅😅
 
Kremlin bado inachukulia eneo la Kherson kuwa sehemu ya Urusi. Na haioni chochote cha kufedhehesha kutokana na kitendo cha kuondoa vikosi vyake kutoka eneo la Kherson.

Msemaji wa rais wa Urusi Dmitry Peskov alisema kuwa kuondolewa kwa wanajeshi wa Urusi kutoka Kherson hadi benki ya kushoto ya Dnieper hakutabadilisha hali ya eneo la Kherson lililoshikiliwa na Urusi.

"Hili ni somo la Shirikisho la Urusi, hali hii inafafanuliwa kisheria na kulindwa. Hakuna na hawezi kuwa na mabadiliko yoyote hapa," aliwaambia waandishi wa habari.

Peskov alikataa kujibu swali kutoka kwa waandishi wa habari kuhusu jinsi Vladimir Putin alichukua ripoti ya Jenerali Sergei Surovikin kuhusu hali ya Kherson na uamuzi wa Waziri wa Ulinzi Sergei Shoigu kuondoa kikundi cha kijeshi cha Urusi kutoka kwa jiji hilo.

"Kulikuwa na [uamuzi] wa Waziri wa Ulinzi, kwa hivyo nakuomba uwasiliane na Wizara ya Ulinzi, sina la kusema juu ya mada hii," Peskov alisema.

Akijibu swali kutoka kwa BBC, Peskov alisema kuwa Kremlin haioni kuwa ni fedheha kuondoka kutoka Kherson.
Hayo ni maelezo ya msemaji wa Kremlin,sasa nipe ya kwako endapo Kherson ni sehemu ya Russia na wakati huo huo Majeshi ya Russia yamepakimbia huoni kama hiyo ni fedheha?
 
Back
Top Bottom