Ukraine walipua shehena la silaha za Urusi kule Crimea

Ukraine walipua shehena la silaha za Urusi kule Crimea

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Taratibu hiyo Crimea mtaitema tu, wizi wa ardhi ya watu ni laana.

An explosion in the north of occupied Crimea has destroyed Russian missiles being transported by rail, Ukraine's defence ministry said.

The Russian-installed head of the city of Dzhankoi said the area had been attacked by drones.
Ukraine announced the explosions but, as is normal, did not explicitly say it was behind the attack.

If confirmed, it would be a rare foray by Ukraine's military into Crimea, which has been occupied since 2014.

"The [explosions] continue the process of Russia's demilitarisation and prepares the Ukrainian peninsula of Crimea for de-occupation," the defence ministry statement said.
Kyiv said the missiles were intended for use by Russia's Black Sea fleet.

Ihor Ivin, the Russia-installed administrator, said a 33-year-old man was hospitalised after suffering a shrapnel injury from a downed drone.

Russia's state news agency TASS quoted Mr Ivin as saying on Krym-24 TV that several buildings had caught fire, and the power grid was damaged.

Ukraine said the Russian Kalibr-KN cruise missiles it destroyed had an operational range of more than 2,500km (1,550 miles) on land and 375km at sea.

 
Himars ndio zilibadilisha mkondo, Mrusi alishindwa kupiga hata moja.
Wacha uongo wako wa kitoto, je, siku hizi hizo HIMARS unazisikia zikitamba tena baada ya Urusi kuzisoma na kuzipatia PANADOL, zilizo baki wanazoficha maporini na kwenye mahandaki inatolewa moja moja usiku wa manane, lakini hata hivyo roketi zake zinakuwa swep out of the sky like flies by formifable Russian ADS.

We endelea na ngonjera zako za kila siku tutaona mwisho wake hivi karibuni.
 
Mtanzania yeyeto anae ishabikia russia hajui kitu mbaya aliyotufanyia mrussi wakati Iddi Amin alipo tuvamia na kuzuka vita ya Kagera!

[emoji116][emoji116]
Mrusi alimsaidia idi amini kwa kumuuzia ndege vita na kutupa masharti magumu tulipo muomba atuuzie heat seaking missiles ambazo zilituishia!

Kukosa Hekima ya Nyerere Kuomba msaada wa Anti aircraft Missiles Msumbiji na Algeria na wao Kutusaidia amini angeendelea kutamba kule Mwanza na ndege vita alizo pewa na mrusi!

Ile vita ingekuwa endelevu na kuwa fursa kwa mrusi kubalance vita ili kuwa ili Iwe fursa yake ya kuuza silaha [emoji56][emoji15]

Au Tatizo ww inawezekana ulikuwa bado unanyonya hujui uchungu na athari za kuvamiwa?!
 
Deuteronomy 27:17
[17]Cursed be he that removeth his neighbour's landmark. And all the people shall say, Amen.
Na alaaniwe aondoaye mpaka wa jirani yake. Na watu wote waseme, Amina.

Sema!; AMINA!
Soma biblia vizuri ndugu ..hata wayahudi walipomtenda Mungu Dhambi kuna wakati aliwafanya mateka kwenye nchi yao....Kuna wakati walitumikishwa na washami, wakati mwingine wamidiani, na hata wakati mwingine walipelekwa Utumwani Babeli kwa miaka 70 na hekalu lao lilivunjwa vibaya sana na kutiwa unajisi...na tena baada ya hayo Mungu anamuita Aliyeyafanya hayo yaani Nebukadreza Mungu anamtambua kama Mtumishi wake.

Yeremia 25:9 Angalieni nitapeleka watu na kuzitwaa jamaa zote za upande wa Kaskazini, asema Bwana, Nami nitatuma ujumbe kwa Nebukadreza mfalme wa Babeli , mtumishi wangu, nami nitawaleta juu ya nchi hii, na juu yao wakaao ndani yake, na juu ya mataifa haya yote yaliyo pande zote, nami nitawaangamiza kabisa, na kuwafanya kitu cha kushangaza na kitu cha kuzomewa, na ukiwa Daima.
 
Soma biblia vizuri ndugu ..hata wayahudi walipomtenda Mungu Dhambi kuna wakati aliwafanya mateka kwenye nchi yao....Kuna wakati walitumikishwa na washami, wakati mwingine wamidiani, na hata wakati mwingine walipelekwa Utumwani Babeli kwa miaka 70 na hekalu lao lilivunjwa vibaya sana na kutiwa unajisi...na tena baada ya hayo Mungu anamuita Aliyeyafanya hayo yaani Nebukadreza Mungu anamtambua kama Mtumishi wake.

Yeremia 25:9 Angalieni nitapeleka watu na kuzitwaa jamaa zote za upande wa Kaskazini, asema Bwana, Nami nitatuma ujumbe kwa Nebukadreza mfalme wa Babeli , mtumishi wangu, nami nitawaleta juu ya nchi hii, na juu yao wakaao ndani yake, na juu ya mataifa haya yote yaliyo pande zote, nami nitawaangamiza kabisa, na kuwafanya kitu cha kushangaza na kitu cha kuzomewa, na ukiwa Daima.
Kama ww ni Mtu Sema!; AMINA![emoji109][emoji123][emoji123][emoji106]
Kama sio Mtu ilaha jeen na Hutaki kusema AMINA kambishie Aliyesema!;
[emoji116][emoji116]
Deuteronomy 27:17
[17]Cursed be he that removeth his neighbour's landmark. And all the people shall say, Amen.
Na alaaniwe aondoaye mpaka wa jirani yake. Na watu wote waseme, Amina.

Mimi nimenukuu Sauti ya Mungu![emoji120]
 
Wacha uongo wako wa kitoto, je, siku hizi hizo HIMARS unazisikia zikitamba tena baada ya Urusi kuzisoma na kuzipatia PANADOL, zilizo baki wanazoficha maporini na kwenye mahandaki inatolewa moja moja usiku wa manane, lakini hata hivyo roketi zake zinakuwa swep out of the sky like flies by formifable Russian ADS.

We endelea na ngonjera zako za kila siku tutaona mwisho wake hivi karibuni.

Uwongo upi mpuzi, kama sio HIMARS mngetukojolea humu kwa makelele, ndio zilibadilisha Mrusi akakimbia na mpaka leo hajui ziko wapi, amezisaka azilipue ila wapi, na hapo ufahamu Ukraine hawakupewa tabaka la HIMAR lenye uwezo wa long range.
 
Mtanzania yeyeto anae ishabikia russia hajui kitu mbaya aliyotufanyia mrussi wakati Iddi Amin alipo tuvamia na kuzuka vita ya Kagera!

[emoji116][emoji116]
Mrusi alimsaidia idi amini kwa kumuuzia ndege vita na kutupa masharti magumu tulipo muomba atuuzie heat seaking missiles ambazo zilituishia!

Kukosa Hekima ya Nyerere Kuomba msaada wa Anti aircraft Missiles Msumbiji na Algeria na wao Kutusaidia amini angeendelea kutamba kule Mwanza na ndege vita alizo pewa na mrusi!

Ile vita ingekuwa endelevu na kuwa fursa kwa mrusi kubalance vita ili kuwa ili Iwe fursa yake ya kuuza silaha [emoji56][emoji15]

Au Tatizo ww inawezekana ulikuwa bado unanyonya hujui uchungu na athari za kuvamiwa?!
We utakuwa mrundii au mnyamlenge,, kama sio shoga,,!
 
We utakuwa mrundii au mnyamlenge,, kama sio shoga,,!
Tatizo kipindi alichotuvamia idi amini ww ulikuwa bado upo kiunoni mwa babako!
La sivyo usingeinua bakuli lako na kusema Tz ilivamiwa sababu ni mashoga na warundi....[emoji35][emoji35]
 
Back
Top Bottom